Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu.We umejuaje kama Mungu hatambui dini?
Nilikuwa na amini uislamu ni dini ya haki kumbe ni genge la wafuga majiniUkristo ni dini kumbe ni genge la wahuni na wavuta bangi tu
Yes, dini ni mpango wa wanadamu wakijaribu kumtafuta MUNGU. wokovu ni mpango wa MUNGU akiwatafuta wanadamu ili awaokoe na maangamizi ya milele. Hivyo tuachane na dini tuambatane na neema ya wokovu iliyopo sasa, kwa kumwanimi Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yetu ili hatimaye tuupate uzima wa milele. Huu ndio mpango wa MUNGU kwa wanadamu wote. YOHANA 3:166. Dini Ni za Mungu kumbe Mungu Mwenyewe ahazitambui dini
hiyo Iko wazi mkuu. kuna tofauti ya kupaa kwa ndege (aeroplane) na kupaa kwa kutumia ungo. African is a cursed race. myself am not an African but a Hebrew---GALATIANS 3:29View attachment 2675358
Uchawi unategemea Nani anafanya.
Wakifanya wazungu uchawi mzuri ila wakifanya weusi uchawi mbaya.
nilidhani wanawake wanapenda handsome boys.... kumbe wanapenda yule mzee mwenye kipara kwenye dollar ya marekani [emoji23]
Samahani mkuuhiyo Iko wazi mkuu. kuna tofauti ya kupaa kwa ndege (aeroplane) na kupaa kwa kutumia ungo. African is a cursed race. myself am not an African but a Hebrew---GALATIANS 3:29
YESU NI BWANA NA MWOKOZI
7. Kusoma thread hii nikijua Kuna kitu nitajifunza nimeishia kusikitikia MB zangu!View attachment 2674030
Ni uongo gani uliwahi kufanikiwa kukamata akili yako au maisha yako kwa muda mrefu.
Mimi binafsi
1. Shule
Nilienda kutafuta majibu ya maswali amabayo sikuwa nayo. Kumbe kusoma koote kule ilikuwa najifunza namna ya kujifunza.
2. Serikali
Nilidhani ipo kwaajiri yetu kumbe ipo kwa ajili ya watu hata tusiowajua. Nilidhani kuwa Serikali in awamu lakini kumbe Kuna Serikali Permanent ( Deep State ) ambapo wote ni vibaraka .
3.Sayansi
Niliamini Mambo mengi yamegunduliwa na Sayansi kumbe ilikuwa inajaribu kuelezea namna yalivyo tu.
Niliamini inatatua matatizo lakini kumbe ndio mfadhili namba Moja wa matatizo. Inatatua Moja inaleta kumi.
4.Cancer ni ugonjwa
Nilikuja kustuliwa kuwa kansa ni symptom.
Signo ( Tafsiri/ Ujumbe ) mbaya au protini kuwa mbaya. Gene zinapokea signal zincode protini inayotakiwa. Na Kama cell zote ni protin bhasi cell zinaundwa kutokana na signal ,mfano ukiwa na kidonda Autosignal inatoa taarifa regeneration ya ngozi inafanyika.
5. Kuweka akiba Benki unapata faida.
Ebhana weee ni mengi .
Ndugu msomaji funguka yako asee
Hapa tulipigwa kakaMama anapika kuliko wote Duniani! ... ni KWELI asee! 😅
Alooo6. Dini Ni za Mungu kumbe Mungu Mwenyewe ahazitambui dini