Uongo uliowahi kufanikiwa zaidi

Uongo uliowahi kufanikiwa zaidi

Wanasiasa
Hebu angalia anaenda na chopper kusaidia ujenzi wa darasa la matope
Screenshot_20230701_213805_Instagram~2.jpg
 
Niliamini mtu mkubwa au ukiwa Baba basi haukosi hela [emoji23]
2. Niliamini mwenye kitambi hasikii njaa[emoji23]
3. Nlikua nikimuona mtu kavaa suti na tai nàjua kala pilau [emoji23]
 
Kwamba watu wazima wote wana hekima na busara kumbe watu wazima wajinga ni wengi saana.
 
6. Dini Ni za Mungu kumbe Mungu Mwenyewe ahazitambui dini
Yes, dini ni mpango wa wanadamu wakijaribu kumtafuta MUNGU. wokovu ni mpango wa MUNGU akiwatafuta wanadamu ili awaokoe na maangamizi ya milele. Hivyo tuachane na dini tuambatane na neema ya wokovu iliyopo sasa, kwa kumwanimi Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yetu ili hatimaye tuupate uzima wa milele. Huu ndio mpango wa MUNGU kwa wanadamu wote. YOHANA 3:16


hakika: BWANA YESU ni MWOKOZI.
 
“Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.”
— Wagalatia 3:29 (Biblia Takatifu)


Mimi ni mzao wa Ibrahimu. Mwebrania.
 
nilidhani wanawake wanapenda handsome boys.... kumbe wanapenda yule mzee mwenye kipara kwenye dollar ya marekani [emoji23]
 
Hawa watu wanaongozwa na hisia ..hawaelewek wanataka nn
nilidhani wanawake wanapenda handsome boys.... kumbe wanapenda yule mzee mwenye kipara kwenye dollar ya marekani [emoji23]
 
hiyo Iko wazi mkuu. kuna tofauti ya kupaa kwa ndege (aeroplane) na kupaa kwa kutumia ungo. African is a cursed race. myself am not an African but a Hebrew---GALATIANS 3:29



YESU NI BWANA NA MWOKOZI
Samahani mkuu
hizo taarifa za Africa is a cursed race ulizitoa wapi na kwa kosa gani mkalaaniwa?
 
View attachment 2674030
Ni uongo gani uliwahi kufanikiwa kukamata akili yako au maisha yako kwa muda mrefu.
Mimi binafsi

1. Shule
Nilienda kutafuta majibu ya maswali amabayo sikuwa nayo. Kumbe kusoma koote kule ilikuwa najifunza namna ya kujifunza.

2. Serikali
Nilidhani ipo kwaajiri yetu kumbe ipo kwa ajili ya watu hata tusiowajua. Nilidhani kuwa Serikali in awamu lakini kumbe Kuna Serikali Permanent ( Deep State ) ambapo wote ni vibaraka .

3.Sayansi
Niliamini Mambo mengi yamegunduliwa na Sayansi kumbe ilikuwa inajaribu kuelezea namna yalivyo tu.
Niliamini inatatua matatizo lakini kumbe ndio mfadhili namba Moja wa matatizo. Inatatua Moja inaleta kumi.

4.Cancer ni ugonjwa
Nilikuja kustuliwa kuwa kansa ni symptom.
Signo ( Tafsiri/ Ujumbe ) mbaya au protini kuwa mbaya. Gene zinapokea signal zincode protini inayotakiwa. Na Kama cell zote ni protin bhasi cell zinaundwa kutokana na signal ,mfano ukiwa na kidonda Autosignal inatoa taarifa regeneration ya ngozi inafanyika.

5. Kuweka akiba Benki unapata faida.

Ebhana weee ni mengi .
Ndugu msomaji funguka yako asee
7. Kusoma thread hii nikijua Kuna kitu nitajifunza nimeishia kusikitikia MB zangu!
 
Back
Top Bottom