Uongo uliowahi kufanikiwa zaidi

Uongo uliowahi kufanikiwa zaidi

View attachment 2674030
Ni uongo gani uliwahi kufanikiwa kukamata akili yako au maisha yako kwa muda mrefu.
Mimi binafsi

1. Shule
Nilienda kutafuta majibu ya maswali amabayo sikuwa nayo. Kumbe kusoma koote kule ilikuwa najifunza namna ya kujifunza.

2. Serikali
Nilidhani ipo kwaajiri yetu kumbe ipo kwa ajili ya watu hata tusiowajua. Nilidhani kuwa Serikali in awamu lakini kumbe Kuna Serikali Permanent ( Deep State ) ambapo wote ni vibaraka .

3.Sayansi
Niliamini Mambo mengi yamegunduliwa na Sayansi kumbe ilikuwa inajaribu kuelezea namna yalivyo tu.
Niliamini inatatua matatizo lakini kumbe ndio mfadhili namba Moja wa matatizo. Inatatua Moja inaleta kumi.

4.Cancer ni ugonjwa
Nilikuja kustuliwa kuwa kansa ni symptom.
Signo ( Tafsiri/ Ujumbe ) mbaya au protini kuwa mbaya. Gene zinapokea signal zincode protini inayotakiwa. Na Kama cell zote ni protin bhasi cell zinaundwa kutokana na signal ,mfano ukiwa na kidonda Autosignal inatoa taarifa regeneration ya ngozi inafanyika.

5. Kuweka akiba Benki unapata faida.

Ebhana weee ni mengi .
Ndugu msomaji funguka yako asee
Kwamba Rais Sadam Hussein ni hatari sana na anatengeneza Siraha za sumu
 
6.Uhuru na Serikali
Uwepo was Serikali ndio mwisho was Uhuru wako

7.Wewe ni Serikali
Mtu anayenyongwa ni ameamua kujinyonga kwa kua yeye ni Serikali basi Maamuzi ya Serikali ni Maamuzi yake.
 
View attachment 2674030
Ni uongo gani uliwahi kufanikiwa kukamata akili yako au maisha yako kwa muda mrefu.
Mimi binafsi

1. Shule
Nilienda kutafuta majibu ya maswali amabayo sikuwa nayo. Kumbe kusoma koote kule ilikuwa najifunza namna ya kujifunza.

2. Serikali
Nilidhani ipo kwaajiri yetu kumbe ipo kwa ajili ya watu hata tusiowajua. Nilidhani kuwa Serikali in awamu lakini kumbe Kuna Serikali Permanent ( Deep State ) ambapo wote ni vibaraka .

3.Sayansi
Niliamini Mambo mengi yamegunduliwa na Sayansi kumbe ilikuwa inajaribu kuelezea namna yalivyo tu.
Niliamini inatatua matatizo lakini kumbe ndio mfadhili namba Moja wa matatizo. Inatatua Moja inaleta kumi.

4.Cancer ni ugonjwa
Nilikuja kustuliwa kuwa kansa ni symptom.
Signo ( Tafsiri/ Ujumbe ) mbaya au protini kuwa mbaya. Gene zinapokea signal zincode protini inayotakiwa. Na Kama cell zote ni protin bhasi cell zinaundwa kutokana na signal ,mfano ukiwa na kidonda Autosignal inatoa taarifa regeneration ya ngozi inafanyika.

5. Kuweka akiba Benki unapata faida.

Ebhana weee ni mengi .
Ndugu msomaji funguka yako asee

Umesahau X-mas na Easter.
Bila kusahau siku kuu ya kuzaliwa.
 
4.Cancer ni ugonjwa
Nilikuja kustuliwa kuwa kansa ni symptom.
Signo ( Tafsiri/ Ujumbe ) mbaya au protini kuwa mbaya. Gene zinapokea signal zincode protini inayotakiwa. Na Kama cell zote ni protin bhasi cell zinaundwa kutokana na signal ,mfano ukiwa na kidonda Autosignal inatoa taarifa regeneration ya ngozi inafanyika.
Cancer ni ugonjwa mkuu,,,,
Naomba niweke sawa Hapa…..
Mwili una mfumo wa kusimamia kugawanyika, kuongezeka na kufa kwa seli za mwili,,,,

Iko hivi cancer ni ugonjwa unaosababishwa na mpangilio usio sahihi wa kujigawanya na kufa kwa seli za mwili,,,

Inategemea na sehemu Husika ya mwili, mfano seli za ngozi utapata cancer ya ngozi, seli za utumbo utapata cancer ya utumbo,seli za mapafu utapata cancer ya mapafu,,, seli za ubongo utapata cancer ya ubongo,,,,,n.k

Pia dalili zinategemea hiyo cancer ipo sehemu gani ya mwili.
 
Back
Top Bottom