Baraka wa kwanza
Senior Member
- Mar 22, 2023
- 145
- 127
Mkuu sikumbuki Donald Trump alisema nini labda nikumbushe
Ila hizo taarifa za kwamba waafrika tumelaaniwa sina imani nazo au labda uniambie umetumia kigezo gani kufikia hitimisho hilo
[/QUOTUkute lisomi hilo.
Libwege namna hiyo Lina shika kiti cha uraisi tutegemee nini hapo.
Kwamba Rais Sadam Hussein ni hatari sana na anatengeneza Siraha za sumuView attachment 2674030
Ni uongo gani uliwahi kufanikiwa kukamata akili yako au maisha yako kwa muda mrefu.
Mimi binafsi
1. Shule
Nilienda kutafuta majibu ya maswali amabayo sikuwa nayo. Kumbe kusoma koote kule ilikuwa najifunza namna ya kujifunza.
2. Serikali
Nilidhani ipo kwaajiri yetu kumbe ipo kwa ajili ya watu hata tusiowajua. Nilidhani kuwa Serikali in awamu lakini kumbe Kuna Serikali Permanent ( Deep State ) ambapo wote ni vibaraka .
3.Sayansi
Niliamini Mambo mengi yamegunduliwa na Sayansi kumbe ilikuwa inajaribu kuelezea namna yalivyo tu.
Niliamini inatatua matatizo lakini kumbe ndio mfadhili namba Moja wa matatizo. Inatatua Moja inaleta kumi.
4.Cancer ni ugonjwa
Nilikuja kustuliwa kuwa kansa ni symptom.
Signo ( Tafsiri/ Ujumbe ) mbaya au protini kuwa mbaya. Gene zinapokea signal zincode protini inayotakiwa. Na Kama cell zote ni protin bhasi cell zinaundwa kutokana na signal ,mfano ukiwa na kidonda Autosignal inatoa taarifa regeneration ya ngozi inafanyika.
5. Kuweka akiba Benki unapata faida.
Ebhana weee ni mengi .
Ndugu msomaji funguka yako asee
View attachment 2674030
Ni uongo gani uliwahi kufanikiwa kukamata akili yako au maisha yako kwa muda mrefu.
Mimi binafsi
1. Shule
Nilienda kutafuta majibu ya maswali amabayo sikuwa nayo. Kumbe kusoma koote kule ilikuwa najifunza namna ya kujifunza.
2. Serikali
Nilidhani ipo kwaajiri yetu kumbe ipo kwa ajili ya watu hata tusiowajua. Nilidhani kuwa Serikali in awamu lakini kumbe Kuna Serikali Permanent ( Deep State ) ambapo wote ni vibaraka .
3.Sayansi
Niliamini Mambo mengi yamegunduliwa na Sayansi kumbe ilikuwa inajaribu kuelezea namna yalivyo tu.
Niliamini inatatua matatizo lakini kumbe ndio mfadhili namba Moja wa matatizo. Inatatua Moja inaleta kumi.
4.Cancer ni ugonjwa
Nilikuja kustuliwa kuwa kansa ni symptom.
Signo ( Tafsiri/ Ujumbe ) mbaya au protini kuwa mbaya. Gene zinapokea signal zincode protini inayotakiwa. Na Kama cell zote ni protin bhasi cell zinaundwa kutokana na signal ,mfano ukiwa na kidonda Autosignal inatoa taarifa regeneration ya ngozi inafanyika.
5. Kuweka akiba Benki unapata faida.
Ebhana weee ni mengi .
Ndugu msomaji funguka yako asee
Cancer ni ugonjwa mkuu,,,,4.Cancer ni ugonjwa
Nilikuja kustuliwa kuwa kansa ni symptom.
Signo ( Tafsiri/ Ujumbe ) mbaya au protini kuwa mbaya. Gene zinapokea signal zincode protini inayotakiwa. Na Kama cell zote ni protin bhasi cell zinaundwa kutokana na signal ,mfano ukiwa na kidonda Autosignal inatoa taarifa regeneration ya ngozi inafanyika.
Mungu anamtambua anaemuabuduWe umejuaje kama Mungu hatambui dini?