Uongo wa Ali Kiba


Utaratibu wa tuzo n kila msanii anatuma nyimbo zke mwenywe ndo,maana nimesema kiba kadaganya Ana album ya mwana
 
Duuh ila asipanki hadi aseme uongo kama ipo ipo tu.. Mond alianza mdogomdogo leo yule xo asijili atafika ila now tunataka tz yny mabadiliko sio mbwembwe uchwara na uongo
 
Utaratibu wa tuzo n kila msanii anatuma nyimbo zke mwenywe ndo,maana nimesema kiba kadaganya Ana album ya mwana
mbona daimond katuma taarabu kadanganya ni bongofleva "nasema nawe"
 
we kedrick unajua kwa nn yule mtoto wamemuita tiffah badala ya sandra mama yake daimond????
 
Last edited by a moderator:
kama hawaangalii category kwa nn mzee yusuph hayupo na jahazi????

Mzee yusuph haja tuma nyimbo elewa kila msanii anatuma nyimbo yke afrima committee wanaichambua
 
tena badilisha title hapo juu andika "uongo wa daimond kwa tiffah" sawa kedrick
 
Last edited by a moderator:
tena badilisha title hapo juu andika "uongo wa daimond kwa tiffah" sawa kedrick

We mwnyw unanauhakika ka Hugo ndio baba yako.maisha ya mtu binafs yale watu maneno bhac atakuwa Mtoto wako ufurah
 
Last edited by a moderator:
We mwnyw unanauhakika ka Hugo ndio baba yako.maisha ya mtu binafs yale watu maneno bhac atakuwa Mtoto wako ufurah

unanijua? baba yangu unamjua??? naishi wapi??? jibu hayo maswali halafu mm sifuatiliwi ngoja tumfatilie yeye si ndo anataka hvyo sifa mwisho wake ni mbaya
 

Attachments

  • 1439845015799.jpg
    92.5 KB · Views: 114
We mwnyw unanauhakika ka Hugo ndio baba yako.maisha ya mtu binafs yale watu maneno bhac atakuwa Mtoto wako ufurah

mr icon wa taifa umemuona kavaaa??

anavaa hadi shanga huyo turudu kwenye mtoto mimba tumeonyeshwa kwa nn mtoto wafiche sura yake?? we endelea kubisha ataumbuka mwaka huu mwenzako yule
 

Attachments

  • 1439845234801.jpg
    19.4 KB · Views: 110
Mi naikubali Ukawa pia namkubali diamond cz kila day anawaza afanye nn ili aendelee limataifa zaid uyo mwngne nan sijui alishafulia na hakuutambulisha utanzania wetu kipnd anaimba,so nw anatembelea nyota ya diamond tu kama bongo movie na kanumba
 
Utaratibu wa tuzo n kila msanii anatuma nyimbo zke mwenywe ndo,maana nimesema kiba kadaganya Ana album ya mwana

Hahaahaaa!..mkuu hilo swala la kutuma nyimbo zao me nalijua sana hilo labda niongezee tu hawatumi KWA KUWAKABIDHI MKONONI ISIPOKUA NI DIGITAL FORMAT VIA DROPBOX ACCOUNT ZA AFRIMA,SASA NARUDIA TENA HIVII NATAKA UTULETEE HAPA "HIYO DIGITAL APPLICATION ALIYOFANYA ALIKIBA KWENDA KWA HAO AFRIMA"...ILI TUONE KWA MACHO YETU WENYEWE KWELI KIBA ALITUMA UONGO HUO UNAOSEMA WEWE KWA KUWADANGANYA WAANDAAJI WA HIZO TUZO KUWA MWANA NI ALBUM...MBALI NA HAPO WEWE NI MUONGO HATARI TENA WA KUOGOPWA SANA,maana tambua hao AFRIMA wanapokea kazi za wasanii wengi wa aina tofautitofauti tena kwa mwaka huu walisema wamepokea applications elfu-hamsini kutoka kwa wasanii sehemu mbalimbali africa na kuzichambua genre's zake kutokana na maadhi ya nyimbo husika...napia wanazisort izo kazi kwenye kila CATEGORY YA TUZO INAPOSTAHILI BAADA YA KUCONFIRM INASTAHILI HAPO...nasio kwamba wanazisort hizo nyimbo kutokana na msanii anavyowaambia wao na ingekuwa hivyo kila msanii angejichagulia category ya kuwekwa kutokana nayeye anavyohitaji na kupenda pia,KWA HIYO POINT YANGU YA MSINGI HAPO NI KUWA HAWAPANGI KAZI ZA WASANII KWENYE CATEGORY YOYOTE ILE KUTOKANA NA MSANII ANAVYOTAKA YEYE...hivyo punguza Mihemko kijana na sio unakuja na wivu wako hapa baada ya kuzidiwa category huko kwa kuleta nyuzi za kipuuzi kama hizi.
 
wakati alipozaliwa ukasema ana followers wengi na ukasema utatupa maendeleo ya mtoto sasa king laurence na uvani wanataka mtoto wao au hukuiona hiyo habari unahangaika na kiba stupi.d

Ivan bd anamtaka zari na anaamin kwa kuzaa nae ana uwezo wa kuwa bt mtoto wa tandale kashazalisha na bdo dem anataka kumzalia tna mtt wa tandale dat means ivan hana chake nae amekuwa kma ccm kwa propaganda za kitoto anaweka picha yake na yamtt wake wa kiume akat kapo kichanga af anadai nd tiffah akat uyo tiffah sura hawajaitoa yy kapta wap
Mi namkubal diamond kama nabyoikubal ukawa
 
Duuh ila asipanki hadi aseme uongo kama ipo ipo tu.. Mond alianza mdogomdogo leo yule xo asijili atafika ila now tunataka tz yny mabadiliko sio mbwembwe uchwara na uongo

Upo sahh mkuu
 

Naona shindano ina ime kuigia tulia ww
 
Naona shindano ina ime kuigia tulia ww

Hahaahaaa!...huna hoja wewe na nilijua hilo ndo jibu utakalolitoa,siku nyingine jifunze kuleta PROPERGANDA ZINAZOENDANA NA UKWELI ATA KIDOGO BHANA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…