Uongo wa karne huu: Mwanamke sura! Tabia inatengenezwa

Sasa kama pesa yako ni ya wasiwasi si uoe dizaini hii uondoe presha?
kwahiyo kina bakhresa ..bill gate .mack zuckerberg wote hao wameoa watembea uchi ...!!?
nambona lupita nyong'oo hana muonekano kama wa yule aliyevaa uchi uchi ..lakini huwezi kumpata kiboya kama huna cash pia ..so umbo sio tija stahiki boss
 
kwahiyo kina bakhresa ..bill gate .mack zuckerberg wote hao wameoa watembea uchi ...!!?
nambona lupita nyong'oo hana muonekano kama wa yule aliyevaa uchi uchi ..lakini huwezi kumpata kiboya kama huna cash pia ..so umbo sio tija stahiki boss
Baba hapa hatuongelei uchi wala nguo, hapa mjadala ni shepu.

Hayo mambo ya wazungu tuachane nayo, tuongelee flavor zetu blacks kwanza, maana kama hujui Mungu alimuumba adam akiwa black wazungu walitokea baadae sana, kuna ushahidi kuwa race ya wazungu inatokana na malaika walio asi, fallen angels.
 
Wadanganye!! Ni sawa na kununua Range Rover ukijipa moyo kwamba unywaji wa mafuta mtavumiliana. That's an objective factor and must cause objective results of its own kind,
Hakuna utaratibu wa asili wenye kukupa unafuu wa maumivu ya tabia mbaya ya mke wako kisa yeye ni mzuri huku akizini na kuliwaza wanaume wengine.

Wazuri wenye tabia mbaya, wapo kwaajili ya kujinufaisha wao bila kuwa na huruma, hata ukimhonga hamer hana shukrani na utazidi kujipendekeza kwako kuliko kuheshimiwa,

NB: ukitaka kuoa mwanamke angalia tabia then sura ama umbo na utimamu wa akili.
Wanawake wenye sura za kawaida ndio wife materials, ukitaka wazuri kakate kiu baani.
 
mkuu mbona kama hivi hujamuelewa mtoa mada ...mtoa mada hajazungumzia shape ya makalio tu pekee amezungumzia umbo means mwili mzima kuanzia shingoni kushuka chini mpaka miguuni ...ukizungumzia shape ..kama hips ama big boot means kuna waafrica ambao hawana hzo hips kubwa wala makalio makubwa kiasi cha sanchiworld lakini wanavutia vyema tu ..sasa wewe umeichukua hii mada nakuiweka ktika mtazamo wako mwenyew unaouona kuwa unafaa sio jambo baya kufanya hvyo ..bali yakupasa kuheshimu pia na Mawazo ya wenzako pindi wanapoleta mitazamo yao ktika jukwaa...nimeona kuna mtu alikwambia yule binti black uliyempost kuwa nimzuri but ukampinga ..wakati kila mtu anavigezo vyke
 
Sijampinga baba nimesema ndio kiwango chake, alafu kuhusu shepu mimi nimeweka mtazamo na flevor zangu sasa wewe nawe weka mtazamo wako na flevor zako hamna alie kuzuia utapata tu wa kukuunga mkono kama mimi, jua kua kuna ambao sahizi wanatumia hizo picha nilizo weka kujifariji na kimoja cha faster.
 
Inategemea na kiwango chako cha pesa unaweza ona hata huyu kisu pia.
Usidhani kuoa mzuri mpaka uwe na pesa, kuna watu laymen wana wanawake wazuri kuliko hata matajiri!!
Ni wewe tu
 
hahaaa giuse bhana ...wewe siulisema kuwa ni achane na wazungu "" halafu hapa wasema kuwa niweke flavor zangu ..wakati nilipokutolea mtazamo wakina lupita nyong'oo uliupinga geeeezzz ....
 
hahaaa giuse bhana ...wewe siulisema kuwa ni achane na wazungu "" halafu hapa wasema kuwa niweke flavor zangu ..wakati nilipokutolea mtazamo wakina lupita nyong'oo uliupinga geeeezzz ....
Samahani brother hearly sikujua kuwa wewe ni muzungu, lakini miss Nyong'o ni mblack pia.
 
Usidhani kuoa mzuri mpaka uwe na pesa, kuna watu laymen wana wanawake wazuri kuliko hata matajiri!!
Ni wewe tu
Nakubaliana na wewe sana, wapo mbili katika mia, lakini wana presha hao, ninao baadhi ya marafiki zangu wanamiliki vifaa vya ukweli lakini hawana pesa, hao wanawake wanachungwa kama nini, mmoja alikuwa wala haruhusu mama kwenda hata sokoni kaanza mruhusu baada ya umri kuanza kwenda, Mwingine akikuta rafiki yake mwenye uwezo kifedha kuliko yeye kakaa na waifu wake wanacheka jamaa anakasirika mbaya anahofu kugongewa, wengine wanaweka mpaka ulinzi wa ndumba ( tego)
 
Samahani brother hearly sikujua kuwa wewe ni muzungu, lakini miss Nyong'o ni mblack pia.
mimi sio mzungu lakini sioni kama kuna tatizo lakuwa interest na maumbo ya hao watu pia ...maana kuna blacks wenye maumbo ya kimiss kama wazungu pia ..ndio maana katika uchambuzi wangu nikamgusia lupita...any way ..we gud
 
Yes hiyo ndiyo adhabu ya wanawake wazuri ila tabia mbaya, hata ukiwa na pesa ataliwa tu, mi nna ushuhuda wa mke wa ndugu yangu wa karibu ana pesa, mke wake kisu baraa lakini anagawa K bureeee kwa walalahoi
 
Ni kweli mwanamke sura bwana asikudanganye mtu,shepu Na maumbile yake ni sehemu kuu ya uwanja wa kupendwa!

Ebu fuatilia mwanamke akishaolewa anaanza kufanana tabia Na Mwanaume aliyemuoa kwann? Kama Aliyeoa ni jambazi mwanamke ataanza mazoezi ya kumtetea mumewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…