Ambilikisye anna
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 561
- 501
Magufuli kazindua mradi wa awamu ya pili wa reli ya kisasa jamani sijui mnalijua hilo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
InshalllahHEHEE...MKUU napenda mademu wenye shape matata ile mbaya sema time ile nilikuwa na watetea wanaopnda ma miss...lakini huyu yuko vizuri mnooooo"' nikiwa na mtoto kama Huyo nasahau kabisa uwepo wa ma big boot ...huo unywele daahhh umenimaliza kabisaa indeed
Sawa mkuu
Una nia mbaya na mbavu zangu. Maana si kwa kucheka huku! Eti wanaume muwage siriaz wakati mwingine, he!!!Write your reply...ni kwel kabisa bila kusahau chura bila hvyo huyo anakua mwanaume mwenzio .mfano kama mkiambiaji riadha wa south Africa semenya ila utakuta kuna mdau amekufa ameoza wanaume tuwage seriously SAA nyngne
Nyie watu, kha!!!Sura hata mbuzi anayo, mwanamke takoooo!
Kwani kuna mtu mwaka huu 2018 bado anasema mwanamke tabia??
Unakuta mdada amepaka poda kama vile mizimu ya bongo movie na wigi lake kichwani kama kabeba kuku..unaanzaje kumuoa?
Mwanamke chura bwana