Uongo wa karne huu: Mwanamke sura! Tabia inatengenezwa

Uongo wa karne huu: Mwanamke sura! Tabia inatengenezwa

HEHEE...MKUU napenda mademu wenye shape matata ile mbaya sema time ile nilikuwa na watetea wanaopnda ma miss...lakini huyu yuko vizuri mnooooo"' nikiwa na mtoto kama Huyo nasahau kabisa uwepo wa ma big boot ...huo unywele daahhh umenimaliza kabisaa indeed
Inshalllah
 
😀😀😀naunga mkono hoja!

ilapia oa kulingana na uwezo wako unavyoruhusu..
 
Nimekaa na kufikiri sana na kugundua kuwa wanaosema mwanamke mwenye tabia nzuri ndo mwenye kufaa kuoa au kuwa mke napingana nao sana tena sana kwa kuwa najua mwanamke yeyote duniani anarekebishika tabia Ila mwenye sura kama anapiga chafya habadiliki

Na afadhali awe na kasura kazuri hats akikuuzi utakuwa unaangalia kale kasura kake unamsamehe kuliko uwe na mwanamke sura mbovu tabia mbovu akikuudhi ukimwangalia unatamani umkimbize kwao Ila ndo hivyo unakuwa ushajiingiza mwenye kitanzii

NAWASIHI WANAUME OENI WANAWAKE WENYE SURA NZURI HATA UKIMTAMBULISHA KWA WENZAKO UNAPATA AMANI YA MOYO SIYO SURA MBOVU UKIMTAMBULISHA UNAANZA KUMSIFIA OOOOH MUSIMWONE HIVI ANA TABIA NZURIII ANAJUA KUHUDUMIA WATOTO OOOOH ANAJITUMA SANA OOOOH ANA AKILI

TAMBULISHA HUYU NDO MKE WANGU KAMA KASURA NA KAUMBO KANALIPA
 
Write your reply...ni kwel kabisa bila kusahau chura bila hvyo huyo anakua mwanaume mwenzio .mfano kama mkiambiaji riadha wa south Africa semenya ila utakuta kuna mdau amekufa ameoza wanaume tuwage seriously SAA nyngne
 
Write your reply...ni kwel kabisa bila kusahau chura bila hvyo huyo anakua mwanaume mwenzio .mfano kama mkiambiaji riadha wa south Africa semenya ila utakuta kuna mdau amekufa ameoza wanaume tuwage seriously SAA nyngne
Una nia mbaya na mbavu zangu. Maana si kwa kucheka huku! Eti wanaume muwage siriaz wakati mwingine, he!!!
 
Back
Top Bottom