Uongo wa karne huu: Mwanamke sura! Tabia inatengenezwa

Uongo wa karne huu: Mwanamke sura! Tabia inatengenezwa

Una nia mbaya na mbavu zangu. Maana si kwa kucheka huku! Eti wanaume muwage siriaz wakati mwingine, he!!!
Ni kwel mkuu tuwage seriously ukute huyu ndo anakufanya ulali unakaz ya kulia na kulewa
cxcDKNyKT2OtUKP_aksYQoUhwmZddP5lIWKhieAqgqajfeZw0HfHYW963MVInV0QLnBucIJzC1NEV7aXqAMYmA%3Ds750.jpeg
 
Kama ana chura na sura tutavumilia tu waache watuonee watuchune tu mama mjamzito anavumilia uchungu ata sisi tutashindwaje watugalagaze watumalize tu maana hakuna namna
Mkishaoa sura na makalio baada ya miezi kadhaa mnarudi humu kulia lia!! "Ooooh!! Mke wangu hii mke wangu haaa!!"

Mvumiliage tu!!
 
Nimekaa na kufikiri sana na kugundua kuwa wanaosema mwanamke mwenye tabia nzuri ndo mwenye kufaa kuoa au kuwa mke napingana nao sana tena sana kwa kuwa najua mwanamke yeyote duniani anarekebishika tabia Ila mwenye sura kama anapiga chafya habadiliki

Na afadhali awe na kasura kazuri hats akikuuzi utakuwa unaangalia kale kasura kake unamsamehe kuliko uwe na mwanamke sura mbovu tabia mbovu akikuudhi ukimwangalia unatamani umkimbize kwao Ila ndo hivyo unakuwa ushajiingiza mwenye kitanzii

NAWASIHI WANAUME OENI WANAWAKE WENYE SURA NZURI HATA UKIMTAMBULISHA KWA WENZAKO UNAPATA AMANI YA MOYO SIYO SURA MBOVU UKIMTAMBULISHA UNAANZA KUMSIFIA OOOOH MUSIMWONE HIVI ANA TABIA NZURIII ANAJUA KUHUDUMIA WATOTO OOOOH ANAJITUMA SANA OOOOH ANA AKILI

TAMBULISHA HUYU NDO MKE WANGU KAMA KASURA NA KAUMBO KANALIPA
Hii kauli mkuu siwezi kuikataa moja kwa moja,lakini ikiwa ni hivi nadhani tutaangukia pua tukiwa na maamuzi haya au mfano wa haya.

Unajua kaka kwa watu waliooa tunajua fika kwamba uzuri wa sura haumati sana kiasi iwe kigezo cha kuoa ni sura tu pasi na kuangslia tabia,au iwe kigezo cha kuoa ni chura tu pasi na kuangalia tabia.

Mwanamke ukimpenda umbo lake,ukaipenda tabia yake,ukaipenda sura yake hata kama wengine wakamuona sio mzuri lakini kwa kuwa umempenda basi hilo ndo linahitajika kwa mwanaume ili amuoe mwanamke.

Lakini sasa mwanaume unapoangalia sura tuuuu ukasahau tabia,au ukaangalia chura tuuu ukasahau tabiaa huku hivyo ndo vigezo vyako vya kuchagua basi hapo hakiya Mungu utaangukia pua tu.

Ni kwa sababu ya uhalisia kwamba mwanaume anahitaji mwanamke ambaye atamuona mzuri machoni mwake,mwanaume anahitaji heshima ya kusikilizwa ndani,kuheshimiwa na kutiiwa pamoja kumjulia mume huyo.

Uzuri wa sura bwana ni rahisi kutengeneza kuliko kutengeneza uzuri wa tabia,yaani kuifanya sura iwe nzuri ni rahisi sana,lakini kuifanya tabia iwe nzuri aisee hapo ni kasheshe kuuuuuuubwaaa sana.

Unajua uzuri wa tunayemuona upo machoni mwetu,wakati huo tabia ipo kwa yule mtu mwenyewe.

Yaani nskusudia,unaweza kumuona mwanamke fulani mzuri alafu ajabu anakuja mtu anasema mbona wa kawaida tuuuuuu? Ni kuonyesha tu kwambaa uzuri wa mtu fulani watu wanaweza kutofautiana.

Ila mtu akiwa na tabia nzuri zinazojulikana kuna watu wanaweza sema kwamba mbona mimi tabia ile kwangu sio nzuri?

Yaani mfano mtu aseme yule binti fulani anawaheshimu watu mpole ila mbons kwangu tabia hizo sio nzuri? Yupo huyo mtu timamu? Bila shaka hayupo..

Sasa hapo ndo tunajua kwamba uzuri wa tabia ni kitu ambacho kinafahamika kwa watu woteeee hawatofautiani.

Ni muhimu sana kuchagua mwenye sura unayoipenda lakini usitupe na kusema unataka miss wa dunia,usichague saaaana.inatakiwa uoe mwanamke uweze kumkemea,kumuelekeza,kumnunia n.k.

Hhawa wanawake bhana akiwa na tabia njemaa romantic analishwa vizuri,anakunwa vizuri furaha tele utamuona mzuri tuuuu mkuu.

Watu wanakula mahouse girl zao baada ya kuwaleaa weeeee alafu mwisho wa siku wanawaona wananona,wanawaona wazuriiii kumbe macho yao wakati ungine.


Ushauri wangu ni tuangalie vigezo vyetu tunavyopenda lakini tabis ndio nguzo kuu,ndoa ina shida na raha,lszims upate mwanamke imara.

Sio mpo katika dhiki mwanaume uwe na kszi mbili,yaani kazi ya kwanza kupambana na dhiki alafu kazi ya pili ni kumuelwesha na kumuaminisha mkeo kwamba mupo kwenye dhiki alafu ukute hakuelewi,hapo ndo utaona kwamba kumbe kuna haja ya kuchagua tabia naayo.

Mwanamke mwema mkiwa kwenye dhiki anakuliwaza nafsi na kukutia moyo huku ukipunguza kazi mojs ambayo muoa sura na chura inamkabili.

Uzuri25% + chura25%+tabia 50%= ndoa imara
 
Uzur 49% chura 50% tabia 1% itarekebishwa tu
Hii kauli mkuu siwezi kuikataa moja kwa moja,lakini ikiwa ni hivi nadhani tutaangukia pua tukiwa na maamuzi haya au mfano wa haya.

Unajua kaka kwa watu waliooa tunajua fika kwamba uzuri wa sura haumati sana kiasi iwe kigezo cha kuoa ni sura tu pasi na kuangslia tabia,au iwe kigezo cha kuoa ni chura tu pasi na kuangalia tabia.

Mwanamke ukimpenda umbo lake,ukaipenda tabia yake,ukaipenda sura yake hata kama wengine wakamuona sio mzuri lakini kwa kuwa umempenda basi hilo ndo linahitajika kwa mwanaume ili amuoe mwanamke.

Lakini sasa mwanaume unapoangalia sura tuuuu ukasahau tabia,au ukaangalia chura tuuu ukasahau tabiaa huku hivyo ndo vigezo vyako vya kuchagua basi hapo hakiya Mungu utaangukia pua tu.

Ni kwa sababu ya uhalisia kwamba mwanaume anahitaji mwanamke ambaye atamuona mzuri machoni mwake,mwanaume anahitaji heshima ya kusikilizwa ndani,kuheshimiwa na kutiiwa pamoja kumjulia mume huyo.

Uzuri wa sura bwana ni rahisi kutengeneza kuliko kutengeneza uzuri wa tabia,yaani kuifanya sura iwe nzuri ni rahisi sana,lakini kuifanya tabia iwe nzuri aisee hapo ni kasheshe kuuuuuuubwaaa sana.

Unajua uzuri wa tunayemuona upo machoni mwetu,wakati huo tabia ipo kwa yule mtu mwenyewe.

Yaani nskusudia,unaweza kumuona mwanamke fulani mzuri alafu ajabu anakuja mtu anasema mbona wa kawaida tuuuuuu? Ni kuonyesha tu kwambaa uzuri wa mtu fulani watu wanaweza kutofautiana.

Ila mtu akiwa na tabia nzuri zinazojulikana kuna watu wanaweza sema kwamba mbona mimi tabia ile kwangu sio nzuri?

Yaani mfano mtu aseme yule binti fulani anawaheshimu watu mpole ila mbons kwangu tabia hizo sio nzuri? Yupo huyo mtu timamu? Bila shaka hayupo..

Sasa hapo ndo tunajua kwamba uzuri wa tabia ni kitu ambacho kinafahamika kwa watu woteeee hawatofautiani.

Ni muhimu sana kuchagua mwenye sura unayoipenda lakini usitupe na kusema unataka miss wa dunia,usichague saaaana.inatakiwa uoe mwanamke uweze kumkemea,kumuelekeza,kumnunia n.k.

Hhawa wanawake bhana akiwa na tabia njemaa romantic analishwa vizuri,anakunwa vizuri furaha tele utamuona mzuri tuuuu mkuu.

Watu wanakula mahouse girl zao baada ya kuwaleaa weeeee alafu mwisho wa siku wanawaona wananona,wanawaona wazuriiii kumbe macho yao wakati ungine.


Ushauri wangu ni tuangalie vigezo vyetu tunavyopenda lakini tabis ndio nguzo kuu,ndoa ina shida na raha,lszims upate mwanamke imara.

Sio mpo katika dhiki mwanaume uwe na kszi mbili,yaani kazi ya kwanza kupambana na dhiki alafu kazi ya pili ni kumuelwesha na kumuaminisha mkeo kwamba mupo kwenye dhiki alafu ukute hakuelewi,hapo ndo utaona kwamba kumbe kuna haja ya kuchagua tabia naayo.

Mwanamke mwema mkiwa kwenye dhiki anakuliwaza nafsi na kukutia moyo huku ukipunguza kazi mojs ambayo muoa sura na chura inamkabili.

Uzuri25% + chura25%+tabia 50%= ndoa imara
 
Write your reply...ni kwel kabisa bila kusahau chura bila hvyo huyo anakua mwanaume mwenzio .mfano kama mkiambiaji riadha wa south Africa semenya ila utakuta kuna mdau amekufa ameoza wanaume tuwage seriously SAA nyngne
SSA umegusaaaa
 
Kwani kuna mtu mwaka huu 2018 bado anasema mwanamke tabia??
Unakuta mdada amepaka poda kama vile mizimu ya bongo movie na wigi lake kichwani kama kabeba kuku..unaanzaje kumuoa?
Mwanamke chura bwana
Nimependa wigi kama kabeba kuku
 
Huu uzi haujatendewa haki maana hamnepo hata kapicha!
 
Back
Top Bottom