Uongo wa karne huu: Mwanamke sura! Tabia inatengenezwa

Dah sjajua nyie wenye sura mbaya tuwasaidiaje .ila wanaume wanaume wanaopenda sura mbaya wapo .ila kuwen nao makini wameamua kujilipua huwez ishi na mwanamke ana sura kama nsyuka halafu dishi kichwan likawa sawa
 
Sasa kwanini uoe nwanamke asiyependwa na watu wengine?
 
Kila mwanadamu anadeserve to love and be loved ...upendo ndo mwisho wa yote ukiwa na upendo ubaya wa mwenzi wako hutouona....tujifunze upendo kilamtu anastahiri na anahaki ya kupenda na kupendwa
Huyo wa pembeni alieshika mike anaitwa Lizzie Velásquez she is suffering from marfan syndrome Mwaka 2006 alikuta video yenye picha zake YouTube zikimuongelea kama the most ugliest woman in world na sisi yeye aliweka wenzake walikuwa wakimsakama na hali yake pind yupo high school.najua sio vizur kusema MTU kutokana na hali yake binadamu wote sawa every one deserve love.swali langu je unaweza ukaoa huyo ?tukiangalia na reference kile ulichosema hapo juu ?
 
Kuulizia sawa ila unaulizia tabiaa zake na mwenendo wake.

Sio uulizie mzurieeeeh?

Unaonaje shepu yake au sura yakee?

Ninachokimaanisha ni kuwa kupenda jinsi alivyo kimaumbile unatakiwa uiskilize nafsi yako,lakini kuhusu tabia na mwenendo wake lazima uwaulize wanaomfahamu vizuri.

Kuuliza hakuna mafungamano na kupenda.

Au utawaulia. Kama wamempenda au
Ulizia majirani mwanamke unayetaka kumwoa.
 
Safuha, Nakupata vizuri ujue...nabaki pale pale.

Kwanini umpende mtu asiyependwa na watu?

Wewe ndiye mwokozi wake.!
 
Hakuna mtu mbaya. Kwako akiwa mbaya kwa wengine mzuri.
 
Upendo sio lazima umuoe hpana kumjari kumthamini kumuonesha kuwa ni wathamani na wakipekee katika hii dunia kuwa karibu nae kumsikiliza ,kutembea nae njiani ukiwa umemshika mkono yan kumake sure anafeel good upendo ni mpana sana mkuu kwaio uyo mwanamke anastairi kupendwa na kutendewa matendo ya upendo refer wimbo wa ambwene mwasongwe UPENDO
 
Macho yako yatakuwa yana matatizo mkuu embu muuangalie vizur .ukimtambulisha mbele za watu unaweza ambiwa umeoa mwanaume mwenzako
Usiishi kutokana na watu wanasemaje mkuu ukiwa na upendo ata huoni kama anasura ya baba
 
Hapa kwenye huu uzi wanazungumzia upendo wa kuoa
 
Mwanamke ni bidhaa kwa mujibu wa mila za kiAfrika ndio maana tunalipia mahari. Suala la msingi ni kuchagua bidhaa ambayo gharama yake unaweza kuimudu.
Hiyo midori unayoisifia, ni ngumu kuimudu kama hautakuwa na pesa za kuchezea.
Kumbuka mwanamke hatulii wala kutulizwa, mpaka ajitulize mwenyewe na Mwanaume, hatulii mpaka atulizwe.
Suala la msingi ni kutafuta atakayeweza kukidhi haja ya moyo wako na mahitaji yako.
 
Hiyo ya Adam kuwa alikua black naisikia kwa mara ya pili.. Nitaifuatilia, ila ukiingia deep utasaidia mkuu....
 
Kupenda unakokuzungumzia ni kupi?

Tabiaa zake?

Au maumbile yake jumla alivyo?

Alafu pia ikiwaa watu hawajapenda muonekano wa mkeo kimaumbile alafu ikawa wewe umempenda jee utamuacha kwa kuwa watu hawajampenda maumbile yake tu?
Nakupata vizuri ujue...nabaki pale pale.

Kwanini umpende mtu asiyependwa na watu?

Wewe ndiye mwokozi wake.!
 
Kupenda unakokuzungumzia ni kupi?

Tabiaa zake?

Au maumbile yake jumla alivyo?

Alafu pia ikiwaa watu hawajapenda muonekano wa mkeo kimaumbile alafu ikawa wewe umempenda jee utamuacha kwa kuwa watu hawajampenda maumbile yake tu?
Kisichopendwa na wengine hata Mungu hakipendi.

Asiyependwa na binadamu wengine isipokuwa wewe tu jua mnakasoro wote.

Nakuonya tena " Usimpende mwanamke asiyependwa na watu" kwani unapooa unaolea jamii hauoi kwa ajili yako tu.

Nimemaliza.
 
Kisichopendwa na wengine hata Mungu hakipendi.

Asiyependwa na binadamu wengine isipokuwa wewe tu jua mnakasoro wote.

Nakuonya tena " Usimpende mwanamke asiyependwa na watu" kwani unapooa unaolea jamii hauoi kwa ajili yako tu.

Nimemaliza.
Wasiompenda watu hapendwi na Mungu kwa lipi?

Ina maana hata mimi nikisema mke wa fulsni sijapenda wembamba wake ina maana hata Mungu hampendi huyo mke wa fulani kwa kuwa mimi simpendi?

Huyo mungu atakuwa ni wewe mkuu.
 
Wasiompenda watu hapendwi na Mungu kwa lipi?

Ina maana hata mimi nikisema mke wa fulsni sijapenda wembamba wake ina maana hata Mungu hampendi huyo mke wa fulani kwa kuwa mimi simpendi?

Huyo mungu atakuwa ni wewe mkuu.
Hatuelewani.....Nikutakie Wakati mwema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…