Uongo wa ndugu yangu kipindi cha uchumba yagharimu ndoa Yake

Ishu nafikili ni jamaa kajitunza,
Afu pia kudanganywa.
 
Sasa Mwanaume bikira anajulikana vipi?,huyo mume aache ufala, huyo dada nae alishindwa kudanganya kuwa imetoka wakati akiendesha baiskeli?....wapo wapi hao wanandoa niwaletee kile kindoo cha Kinaigeria ukikanyaga tu...kinacount nimalize hilo tatizo chap.
 
Labda jamaa ni mzoefu akadanganya tu hajawahi kufanya mapenzi si unajua hakuna ushaidi wa kumtia hatiani mwanaume. Demu ndie alizingua angesema tu ukweli tangu mwanzo
 
Labda alivyochomeka ikapita tuu.
Ila mambo ya aibu sana hasa kwa Bibie sijajua anahali gani. Daaaa
Trust me kama haujawahi kusex for real kujua ambayo ni bikra na ambayo si bikra ni ngumu labda akubali mwenyewe maana kuna bikra hazina hymen though katundu kanakuwa kadogo na hata damu inaweza isitoke kabisa .
 
Labda jamaa ni mzoefu akadanganya tu hajawahi kufanya mapenzi si unajua hakuna ushaidi wa kumtia hatiani mwanaume. Demu ndie alizingua angesema tu ukweli tangu mwanzo
Yeah nimewaza hili pia , mkulungwa alifanya kati ya haya

1. Alimlazimisha kutoa siri zake za nyuma
2. Alishakichafua sana sana na anajua tofauti ya used na sealed
 
Inaonekana picha lilianza ,papu kijana anaingiza anakutana na powered gonorrhea ,hajakaa sawa usaha huo kwa kuwa hajui ni nini akauliza mbona nimepizi mara moja lakini leo siku ya tatu tena shahawa zimeanza kutoka bila hiari yangu ,kama zake wakamwambia shituka huo ni usaha,akauliza bikira usaha umetoka wapi ndo najua demu siku moja kabla ya harusi kapigwa Mande
 
Huyo kijana kama alijitunza na hakujua msichana mpaka ndoa anawezaje kuijua bakra????
Huyo nae muhuni tu. Msichana nae kama angekuwa muhuni angekomaa nae kiwa umeitoa siku ya kwanza mana hyo kesi wa kuthibitisha ni yeye na huyo msichana tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…