Uongo wa ndugu yangu kipindi cha uchumba yagharimu ndoa Yake

Uongo wa ndugu yangu kipindi cha uchumba yagharimu ndoa Yake

Nadhani anamawazo ya kuwa huyu dada hawezi kuwa mwaminifu tena katika ndoa. Binafsi namuunga mkono sasa hivi ndoa ni tatizo wakaka wanaumizwa sana na akina Engonga.
Kwani bikra=kutulia kwenye ndoa? Kiukweli mimi ni pioneer kwenye ku support binti kuolewa bikra ila anayeoa na yeye awe bikra vile vile si unabaki kupigia watu kelele unataka bikra kumbe umeshapanga basi lako moja refu kweli kweli.

Ishu ni kwamba alijuaje binti si bikra hali ya kuwa hajawahi kuona hata huo uchi una sura gani live nilitaraji hata pa kuuweka tu akapigishwe pindi kwa mwamposa sasa wewe haujawahi ona mashine halafu siku ya kwanza tu ukajua si bikra ??? Haiingii akilini atueleze alijuaje si bikra.
 
Binti muongo ila jamaa naye Jinga tu ni kwamba ana bahati hajakutana na watoto wa mjini, wangemuwekea tomato source na kilio juu, inaumaaa, inaumaaa huku kabana miguu halafu anaiachia inazama waaa mitomato inaruka kila sehemu bikra kwaheri na ndo ushatapeliwa.
 
Daaaaah hapo ipo kazi binti asingekuwa mwongo tuuu
 
Binti naye kazubaa sana, zipo za kutengeneza na inakuwa km ile og kabisa na hivi msela mgeni kwenye mambo hayo aghh mbona kombe lilikuwa lake hilo 😜
 
Kijana bikira alijuaje mkewe hana bikira wakati hakuwah kuzagamua??
Labda dushe lilipita tuu bila breki nafikilia hivyo,
Sasa wachungaji sijajua kama walimuuliza au vipi.
Ila kama walimuuliza sijui alimwambia Nini, ila naamini walimuuliza Hilo.
Ila Binti nae alikili kuwa alimdanganya
 
Kwani bikra=kutulia kwenye ndoa? Kiukweli mimi ni pioneer kwenye ku support binti kuolewa bikra ila anayeoa na yeye awe bikra vile vile si unabaki kupigia watu kelele unataka bikra kumbe umeshapanga basi lako moja refu kweli kweli.

Ishu ni kwamba alijuaje binti si bikra hali ya kuwa hajawahi kuona hata huo uchi una sura gani live nilitaraji hata pa kuuweka tu akapigishwe pindi kwa mwamposa sasa wewe haujawahi ona mashine halafu siku ya kwanza tu ukajua si bikra ??? Haiingii akilini atueleze alijuaje si bikra.
Naamini lazima aliulizwa Hilo , ila kama wameshondwa kusolve inamaana imekuwa ngumu.
Ila pia Binti nae amekili kuwa alimdanganya.
 
Huyo dada yako kavuna ujinga wake. Wasichana wengi wanaotamani kuolewa lakini hawajabahatika, kusema Wana bikira ndo swaga zao ili kumvuta mwanaume kwa haraka. Tena hao ndo ukiwaambia mzagamuane kabla ya ndoa huwa wanakataa na kuruka mita mia. Kimbembe ni siku ya kufunga ndoa, km ilivyomtokea huyo jamaa utakutana na HANDAKI siyo SHIMO tena. Na hawa ndiyo husema mwanaume ana kibamia.

Huyo jamaa yupo sahihi kuachana naye maan keshaonesha uongo ktk uchumba na kwenye ndoa hapo ndo atadanganywa sana.

Kuna jamaa juzi kati hapa naye ka-trend sn mitandaoni baada ya kukimbia siku ya kufunga ndoa kutokana na kudanganywa na mchumba wake kuwa hana mtoto, kumbe anao 2 tena baba tofauti, wakati mipango ya jamaa ilikuwa kuoa mke asiye na mtoto. Siku ya kufunga ndoa jamaa hakutokea baadae katoa taarifa kuwa hataki ndoa tena maana mwanamke alikuwa kamdanganya. Hapo biashara ikafika mwisho licha ya mwanamke kumtupia kashifa kibao.

Huyo dada yako naye ngoja ale jeuri yake ya kujifanya bikirakumbe ana HANDAKI km yale ya HAMAS kule gaza. Wengine nao wajifunze, siyo kila mwanaume anapenda uongo, wengine uongo ni km dhambi isiyo tubiwa.
 
Binti amwambie Mwamba asije kudanganya mtu mwingine kama yeye ni bikra, kwani amesha njunja. Akitaka aende akatangaze kutafuta bikra nyingine.


Pia akumuukize mama yake aliolewa na hiyo kitu.
 
Wewe, familia yako na mchungaji wenu wote wajinga. Mje kusali roman catholic tu.
 
Bibie akubali yaishe, haikua rizki yake, akilzimisha sana jamaa asijemfanyia kitu mbaya.
Si akaokoke ili arudi mpya na bikra yake s mnavosemaga wakristo na huyo kijana mbona sio mkristo safi mchungaji keshaungama yy anakataa nn inaonesha mafunzo na uhalisia ni interchengiability
 
Marriages zishakuwa Scam.

Haiwezekani unatoa mahari mamilioni halafu kuna muhuni alikula bure.
 
Kuna jamaa juzi kati hapa naye ka-trend sn mitandaoni baada ya kukimbia siku ya kufunga ndoa kutokana na kudanganywa na mchumba wake kuwa hana mtoto, kumbe anao 2 tena baba tofauti, wakati mipango ya jamaa ilikuwa kuoa mke asiye na mtoto. Siku ya kufunga ndoa jamaa hakutokea baadae katoa taarifa kuwa hataki ndoa tena maana mwanamke alikuwa kamdanganya. Hapo biashara ikafika mwisho licha ya mwanamke kumtupia kashifa kibao.
Mkuu una link tusome hicho kisa
 
Back
Top Bottom