Uongo wa ndugu yangu kipindi cha uchumba yagharimu ndoa Yake

Uongo wa ndugu yangu kipindi cha uchumba yagharimu ndoa Yake

Ila kuoa MWANAMKE Ambae sio bikira inataka moyo Sana. Kuna msichana alikuwa anataka nimuoe Ila alichakatwa Sana mbususu apo Kijijini kwao kila Kona ukipita watu wanakwambia yule afai. Yeye ananiambia eti amebadilika kwa sasa ametulia.
 
Habari Wana JF.

Kuna ndugu yangu mmoja mtoto wa kwanza wa Baba mdogo wangu wa kike.

Tulimuoza Mwaka Jana mwezi wa 1 ndoa kabisa ya kanisani. Aliolewa na kijana mmoja waliefahamiana chuoni.

Sasa hii ishu mimi nimepata last week na mpaka sasa imeshindikana kusolve Tangu mwaka Jana. Wazee walikuwa wanajua muda tuu ila mimi nimeambiwa last week. Iko hivi.

Yule kijana ni mtu ambaye alijitunza maisha Yake yote, Yani ni wale watu wa mimi se*y mpaka ndoa, Yani hakugusa KE yoyote kipindi Cha maisha yake ya usingle.

Sasa kwa taarifa nilizopata ni kuwa kipindi Cha uchumba, Bibie aliulizwa kuwa bikira ipo?

Ndugu yetu akajibu yeye anayo. Kijana inasemekana alisisitiza sana, akapewa majibu hayo.

Sasa baada ya ndoa kifungwa Tena ya kanisani, shemeji akakuta hakuna kitu. Ulibuka mgogoro baina Yao.

Mimi kwa kipindi chote nilikuwa sijui kwamba Kuna hio ishu. Hata wazee wameambiwa na baba mdogo mwezi wa 6 mwaka huu. Maana baada ya mgogoro kuibuka, Baada ya wao kuangaikia sana swala Hilo.

Bibie alimwambia kuwa yeye aliipoteza kipindi yupo secondary na baada ya hapo yeye Kawa kiumbe kipya baada ya kuachana na Tabia hiyo, majibu ambayo kijana aliyakataa.

Sasa ugomvi ulifika mpaka kwa mchungaji , na wazee wa kanisani kwao ila ilishindikana kusolve.

Sasa wakaamua kuita wazazi pande zote mbili ila still ulishindikana. Akaitwa mpk mchungaji aliyefungisha ndoa, ila wapi, Na kwa kipindi hicho Bibie yeye analia, Hana Cha kufanya , sasa nafikili kuwa anaona aibu.
Sijajua muhimu upo wapi kusolve hio ishu.

Mimi nimeambiwa last week na wazee nimeshangaa sana, sasa sijajua Bibie anahali gani mpka sasa maana kusolve imeshindikana.

Soma Pia: Tabia ya kukoroma inanivunjia ndoa yangu

Jamaa alitaka mwezie aliyefanana naye. Sasa nimeambiwa wachungaji wakamwambie tuu Bibie kuwa kama ulishaipoteza maana yake ilishaondoka Yani haipo Tena , kurudi kwa BWANA anakusamehe ila ishatoa kurudi hairudi so haukupaswa kumwambia uhongo.

Na kingine bibie anasema yeye alifikili anamtania tu(utani).

Nikipata mrejesho zaidi nitaleta wakuu.
Natafuta Ajira , Xi Jinping , Sang'udi , jokajeusi
 
Huyo kijana kama alijitunza na hakujua msichana mpaka ndoa anawezaje kuijua bakra????
Huyo nae muhuni tu. Msichana nae kama angekuwa muhuni angekomaa nae kiwa umeitoa siku ya kwanza mana hyo kesi wa kuthibitisha ni yeye na huyo msichana tu.
Hata kama mwanaume hujawahi kudinya, usisikie hata story kuwa bikra ni ngumu dudu kuzama na demu anakuwa anapata maumivu na damu kutoka, sasa jamaa kaingiza kakuta ni pango la Amboni Tanga.
 
Habari Wana JF.

Kuna ndugu yangu mmoja mtoto wa kwanza wa Baba mdogo wangu wa kike.

Tulimuoza Mwaka Jana mwezi wa 1 ndoa kabisa ya kanisani. Aliolewa na kijana mmoja waliefahamiana chuoni.

Sasa hii ishu mimi nimepata last week na mpaka sasa imeshindikana kusolve Tangu mwaka Jana. Wazee walikuwa wanajua muda tuu ila mimi nimeambiwa last week. Iko hivi.

Yule kijana ni mtu ambaye alijitunza maisha Yake yote, Yani ni wale watu wa mimi se*y mpaka ndoa, Yani hakugusa KE yoyote kipindi Cha maisha yake ya usingle.

Sasa kwa taarifa nilizopata ni kuwa kipindi Cha uchumba, Bibie aliulizwa kuwa bikira ipo?

Ndugu yetu akajibu yeye anayo. Kijana inasemekana alisisitiza sana, akapewa majibu hayo.

Sasa baada ya ndoa kifungwa Tena ya kanisani, shemeji akakuta hakuna kitu. Ulibuka mgogoro baina Yao.

Mimi kwa kipindi chote nilikuwa sijui kwamba Kuna hio ishu. Hata wazee wameambiwa na baba mdogo mwezi wa 6 mwaka huu. Maana baada ya mgogoro kuibuka, Baada ya wao kuangaikia sana swala Hilo.

Bibie alimwambia kuwa yeye aliipoteza kipindi yupo secondary na baada ya hapo yeye Kawa kiumbe kipya baada ya kuachana na Tabia hiyo, majibu ambayo kijana aliyakataa.

Sasa ugomvi ulifika mpaka kwa mchungaji , na wazee wa kanisani kwao ila ilishindikana kusolve.

Sasa wakaamua kuita wazazi pande zote mbili ila still ulishindikana. Akaitwa mpk mchungaji aliyefungisha ndoa, ila wapi, Na kwa kipindi hicho Bibie yeye analia, Hana Cha kufanya , sasa nafikili kuwa anaona aibu.
Sijajua muhimu upo wapi kusolve hio ishu.

Mimi nimeambiwa last week na wazee nimeshangaa sana, sasa sijajua Bibie anahali gani mpka sasa maana kusolve imeshindikana.

Soma Pia: Tabia ya kukoroma inanivunjia ndoa yangu

Jamaa alitaka mwezie aliyefanana naye. Sasa nimeambiwa wachungaji wakamwambie tuu Bibie kuwa kama ulishaipoteza maana yake ilishaondoka Yani haipo Tena , kurudi kwa BWANA anakusamehe ila ishatoa kurudi hairudi so haukupaswa kumwambia uhongo.

Na kingine bibie anasema yeye alifikili anamtania tu(utani).

Nikipata mrejesho zaidi nitaleta wakuu.
Kwahiyo hapo mwamba naye ameishaitoa yakwake
 
Huyo jamaa ni mwamba anaturudisha way back when wazee wetu walipokuwa lazima waoe bikira mpaka leo tunaona ndoa zao zinadumu

Hako kamalaya kaliweka standard aolewe na mwanaume mwenye kazi na provider, mwamba naye kaweka standard anataka bikira kameanza kujiliza

Si umeona hako kamalaya kanalia kanajua mistake aliyofanya kutombwa tombwa kumemfanya anakosa mume

Ndio ujue ni sisi wanaume tu tunatakiwa tuanze ku-raise standard ya kuoa bikira watajitunza wenyewe

Wamaza na wabibi miaka hiyo wakiwa mabinti walijitunza maana walijua akikutwa used ndoa hakuna

Lets Make Men Great Again
 
Labda dushe lilipita tuu bila breki nafikilia hivyo,
Sasa wachungaji sijajua kama walimuuliza au vipi.
Ila kama walimuuliza sijui alimwambia Nini, ila naamini walimuuliza Hilo.
Ila Binti nae alikili kuwa alimdanganya

Huyo jamaa ni mwamba anaturudisha way back when wazee wetu walipokuwa lazima waoe bikira mpaka leo tunaona ndoa zao zinadumu

Hako kamalaya kaliweka standard aolewe na mwanaume mwenye kazi na provider, mwamba naye kaweka standard anataka bikira kameanza kujiliza

Si umeona hako kamalaya kanalia kanajua mistake aliyofanya kutombwa tombwa kumemfanya anakosa mume

Ndio ujue ni sisi wanaume tu tunatakiwa tuanze ku-raise standard ya kuoa bikira watajitunza wenyewe

Wamaza na wabibi miaka hiyo wakiwa mabinti walijitunza maana walijua akikutwa used ndoa hakuna

Lets Make Men Great Again
Yes good
 
Habari Wana JF.

Kuna ndugu yangu mmoja mtoto wa kwanza wa Baba mdogo wangu wa kike.

Tulimuoza Mwaka Jana mwezi wa 1 ndoa kabisa ya kanisani. Aliolewa na kijana mmoja waliefahamiana chuoni.

Sasa hii ishu mimi nimepata last week na mpaka sasa imeshindikana kusolve Tangu mwaka Jana. Wazee walikuwa wanajua muda tuu ila mimi nimeambiwa last week. Iko hivi.

Yule kijana ni mtu ambaye alijitunza maisha Yake yote, Yani ni wale watu wa mimi se*y mpaka ndoa, Yani hakugusa KE yoyote kipindi Cha maisha yake ya usingle.

Sasa kwa taarifa nilizopata ni kuwa kipindi Cha uchumba, Bibie aliulizwa kuwa bikira ipo?

Ndugu yetu akajibu yeye anayo. Kijana inasemekana alisisitiza sana, akapewa majibu hayo.

Sasa baada ya ndoa kifungwa Tena ya kanisani, shemeji akakuta hakuna kitu. Ulibuka mgogoro baina Yao.

Mimi kwa kipindi chote nilikuwa sijui kwamba Kuna hio ishu. Hata wazee wameambiwa na baba mdogo mwezi wa 6 mwaka huu. Maana baada ya mgogoro kuibuka, Baada ya wao kuangaikia sana swala Hilo.

Bibie alimwambia kuwa yeye aliipoteza kipindi yupo secondary na baada ya hapo yeye Kawa kiumbe kipya baada ya kuachana na Tabia hiyo, majibu ambayo kijana aliyakataa.

Sasa ugomvi ulifika mpaka kwa mchungaji , na wazee wa kanisani kwao ila ilishindikana kusolve.

Sasa wakaamua kuita wazazi pande zote mbili ila still ulishindikana. Akaitwa mpk mchungaji aliyefungisha ndoa, ila wapi, Na kwa kipindi hicho Bibie yeye analia, Hana Cha kufanya , sasa nafikili kuwa anaona aibu.
Sijajua muhimu upo wapi kusolve hio ishu.

Mimi nimeambiwa last week na wazee nimeshangaa sana, sasa sijajua Bibie anahali gani mpka sasa maana kusolve imeshindikana.

Soma Pia: Tabia ya kukoroma inanivunjia ndoa yangu

Jamaa alitaka mwezie aliyefanana naye. Sasa nimeambiwa wachungaji wakamwambie tuu Bibie kuwa kama ulishaipoteza maana yake ilishaondoka Yani haipo Tena , kurudi kwa BWANA anakusamehe ila ishatoa kurudi hairudi so haukupaswa kumwambia uhongo.

Na kingine bibie anasema yeye alifikili anamtania tu(utani).

Nikipata mrejesho zaidi nitaleta wakuu.
Bikra ni usumbufu mno, jamaa akubali maana unaweza oa bikra baada ya kuonja ukuni akawa hakamatiki haya mambo huwa ni kuuchuna tuu maisha yaendelee
 
Mkuu una link tusome hicho kisa
Sikuchukua linki ila nilimkuta fb na insta pia. Huyo jamaa nilimuelewa sn ingwa mwanamke alikuwa akitoa povu kiwa kwanza ni mzee, jamaa naye akasema km ni mzee kwa nini alitaka kifunga nae ndoa. Akamuuliza mwandishi kwamba "kati yangu ambae sina mtoto na yeye mwenye watoto 2 wa baba tofauti, nani mzee".

Siku nikipata hiyo clip ntaileta hapa
 
Bikra ni usumbufu mno, jamaa akubali maana unaweza oa bikra baada ya kuonja ukuni akawa hakamatiki haya mambo huwa ni kuuchuna tuu maisha yaendelee
Mi nadhani kuwa BIKRA au kutokuwa BIKRA isingekuwa issue sana, shida ni kumhadaa/kumdanganya jamaa. In fact it pains a lot. Hata ktk ndoa hiyo jamaa hatakuwa na fraha naye.
 
Habari Wana JF.

Kuna ndugu yangu mmoja mtoto wa kwanza wa Baba mdogo wangu wa kike.

Tulimuoza Mwaka Jana mwezi wa 1 ndoa kabisa ya kanisani. Aliolewa na kijana mmoja waliefahamiana chuoni.

Sasa hii ishu mimi nimepata last week na mpaka sasa imeshindikana kusolve Tangu mwaka Jana. Wazee walikuwa wanajua muda tuu ila mimi nimeambiwa last week. Iko hivi.

Yule kijana ni mtu ambaye alijitunza maisha Yake yote, Yani ni wale watu wa mimi se*y mpaka ndoa, Yani hakugusa KE yoyote kipindi Cha maisha yake ya usingle.

Sasa kwa taarifa nilizopata ni kuwa kipindi Cha uchumba, Bibie aliulizwa kuwa bikira ipo?

Ndugu yetu akajibu yeye anayo. Kijana inasemekana alisisitiza sana, akapewa majibu hayo.

Sasa baada ya ndoa kifungwa Tena ya kanisani, shemeji akakuta hakuna kitu. Ulibuka mgogoro baina Yao.

Mimi kwa kipindi chote nilikuwa sijui kwamba Kuna hio ishu. Hata wazee wameambiwa na baba mdogo mwezi wa 6 mwaka huu. Maana baada ya mgogoro kuibuka, Baada ya wao kuangaikia sana swala Hilo.

Bibie alimwambia kuwa yeye aliipoteza kipindi yupo secondary na baada ya hapo yeye Kawa kiumbe kipya baada ya kuachana na Tabia hiyo, majibu ambayo kijana aliyakataa.

Sasa ugomvi ulifika mpaka kwa mchungaji , na wazee wa kanisani kwao ila ilishindikana kusolve.

Sasa wakaamua kuita wazazi pande zote mbili ila still ulishindikana. Akaitwa mpk mchungaji aliyefungisha ndoa, ila wapi, Na kwa kipindi hicho Bibie yeye analia, Hana Cha kufanya , sasa nafikili kuwa anaona aibu.
Sijajua muhimu upo wapi kusolve hio ishu.

Mimi nimeambiwa last week na wazee nimeshangaa sana, sasa sijajua Bibie anahali gani mpka sasa maana kusolve imeshindikana.

Soma Pia: Tabia ya kukoroma inanivunjia ndoa yangu

Jamaa alitaka mwezie aliyefanana naye. Sasa nimeambiwa wachungaji wakamwambie tuu Bibie kuwa kama ulishaipoteza maana yake ilishaondoka Yani haipo Tena , kurudi kwa BWANA anakusamehe ila ishatoa kurudi hairudi so haukupaswa kumwambia uhongo.

Na kingine bibie anasema yeye alifikili anamtania tu(utani).

Nikipata mrejesho zaidi nitaleta wakuu.
This is just medieval.

Haya mambo yalikuwa yanafanyqa na wafalme wa Ulaya wanapotaka kuoa. Kabla ya kuolewa mwanamke anapimwa bikra. Akikutwa hana bikra hamna ndoa.

Kama mnaoenda sana bikra fanyeni hivyo. Kuna madaktari kabisa wanaweza kupima.

Lakini ni ujinga tu, kwa sababu bikra inaweza kutoka hata mwanamke akipanda baiskeli tu, au akipanda farasi.

Sasa ukimkuta mwanamke hana bikra kwa sababu kaitoa kwwnye baiskeli, au kwenye kupanda farasi, hapi napo utasemaje?

Zaidi, kupima bukra ni kipimo cha kijinga cha chastity, kwa sababu mtu anaweza kuwa ana bikra mbwlw, nyuma hana, utampima nyuma?

Vipi bikra ya mdomoni, utapima kama kashatoa blowjob?

Vipi kama mwanamke bikra kimwili lakini mawazo yake ni kahaba wa kutupwa, utampima bikra ya akili pia?

Nilikuwa naangalia series ya "The Empress" on Netflix. Inaongelea historia ya The Hapsburg Empire na jinsi Queen Elisabeth (wa Hapsburg, sio wa Uingereza) wakati anaolewa alivyopimwa bikra ikaonekana haipo, wakasema "itakuwa imetoka katika kupanda farasi tu".

Wakampetesha.
 
Habari Wana JF.

Kuna ndugu yangu mmoja mtoto wa kwanza wa Baba mdogo wangu wa kike.

Tulimuoza Mwaka Jana mwezi wa 1 ndoa kabisa ya kanisani. Aliolewa na kijana mmoja waliefahamiana chuoni.

Sasa hii ishu mimi nimepata last week na mpaka sasa imeshindikana kusolve Tangu mwaka Jana. Wazee walikuwa wanajua muda tuu ila mimi nimeambiwa last week. Iko hivi.

Yule kijana ni mtu ambaye alijitunza maisha Yake yote, Yani ni wale watu wa mimi se*y mpaka ndoa, Yani hakugusa KE yoyote kipindi Cha maisha yake ya usingle.

Sasa kwa taarifa nilizopata ni kuwa kipindi Cha uchumba, Bibie aliulizwa kuwa bikira ipo?

Ndugu yetu akajibu yeye anayo. Kijana inasemekana alisisitiza sana, akapewa majibu hayo.

Sasa baada ya ndoa kifungwa Tena ya kanisani, shemeji akakuta hakuna kitu. Ulibuka mgogoro baina Yao.

Mimi kwa kipindi chote nilikuwa sijui kwamba Kuna hio ishu. Hata wazee wameambiwa na baba mdogo mwezi wa 6 mwaka huu. Maana baada ya mgogoro kuibuka, Baada ya wao kuangaikia sana swala Hilo.

Bibie alimwambia kuwa yeye aliipoteza kipindi yupo secondary na baada ya hapo yeye Kawa kiumbe kipya baada ya kuachana na Tabia hiyo, majibu ambayo kijana aliyakataa.

Sasa ugomvi ulifika mpaka kwa mchungaji , na wazee wa kanisani kwao ila ilishindikana kusolve.

Sasa wakaamua kuita wazazi pande zote mbili ila still ulishindikana. Akaitwa mpk mchungaji aliyefungisha ndoa, ila wapi, Na kwa kipindi hicho Bibie yeye analia, Hana Cha kufanya , sasa nafikili kuwa anaona aibu.
Sijajua muhimu upo wapi kusolve hio ishu.

Mimi nimeambiwa last week na wazee nimeshangaa sana, sasa sijajua Bibie anahali gani mpka sasa maana kusolve imeshindikana.

Soma Pia: Tabia ya kukoroma inanivunjia ndoa yangu

Jamaa alitaka mwezie aliyefanana naye. Sasa nimeambiwa wachungaji wakamwambie tuu Bibie kuwa kama ulishaipoteza maana yake ilishaondoka Yani haipo Tena , kurudi kwa BWANA anakusamehe ila ishatoa kurudi hairudi so haukupaswa kumwambia uhongo.

Na kingine bibie anasema yeye alifikili anamtania tu(utani).

Nikipata mrejesho zaidi nitaleta wakuu.
Huyo bikira wa kiume ana misimamo kweli kweli
 
Sasa baada ya ndoa kifungwa Tena ya kanisani, shemeji akakuta hakuna kitu.
Huyu shemeji naye tayari bikra yake kaipoteza kwa mtu asiye na bikra, hivyo ni bora akabaki na huyo huyo laghai, kwasabb amepoteza sifa za kutafuta bikra mwingine.
 
Huyu shemeji naye tayari bikra yake kaipoteza kwa mtu asiye na bikra, hivyo ni bora akabaki na huyo huyo laghai, kwasabb amepoteza sifa za kutafuta bikra mwingine.
Hawaishi pamoja ila nimeambiwa
 
Back
Top Bottom