Uongo wa vifurushi vya Intaneti vya Airtel Tanzania

Uongo wa vifurushi vya Intaneti vya Airtel Tanzania

Halotel naogopoga sana kuweka bando mara kibao nikicheki kwenye data usage nakupigia hesabu Mb nilizoziona nakuta nimepigwa kama mb 160 na kitu kwenye GB2 vilevile watu kibao wanalalamika linaisha kwa haraka.

Sasa nipo Voda sijutii kuwa huku kabisa coz

bando linaisha kihalali
mi naona kama halotel ndo hawamalizi bando fasta mana nshawah kuunga bando la tgo asee ndan ya nusu saa bando kwisha
 
Nadhani ifikie hatua tuache kulalamikia huu WIZI..mimi ninajipanga kuwafungulia kesi ya madai ili UTAPELI HUU UKOME...niliweka GB 2.7 AMBAZO WANAUZA ELF 5, baada ya matumizi ya siku 2 tu wakasema nimetumia asilimia 75 ya bando, ile namaliza kuisoma tu hiyo msg inafuata nyingine nimetumia asilimia 100!!! yaani kuna ujambazi mkubwa kwenye hii sekta....
 
Weka bei za bando zenu hapa tuthaminishe
Huku tunajinunulia vile tupende ya mfano leo nimefungua kwa 1000/-nimepata mb 680,raha yake ni limitless, unatumia bando lako weee mpaka hata kesho kutwa try this side you shalln't tegrets
 
Hawa jamaa wa Airtel naona wana matatizo na hizi settings zao za msg,unajiunga na kifurushi sasa hivi baada ya dk 5 unaletewa ujumbe kuwa umemaliza kifurushi chako lkn wakati huo huo ukifungua data unaendelea kubrowse kama kawaida.
 
Lakini haya makampuni yanapata faida sana kwa sababu kuna watu wengi wanajiunga vifurushi kwa hizi simu za nokia ya tochi na unakuta mb hazitumiki kwa hiyo wanabaki na backup kubwa wanafanya tu kumhamishia mwingine hizo mb.
 
Hivi hamna uwezekano wa kuwafungulia mashtaka kwa kosa la udanganyifu.
 
Kuna mitandao ina ahueni kama Voda na Tigo kwa mbali kwani vifurushi vyao wakikutumia sms umemaliza wewe mwenyewe una ridhika na unajisemea sina cha kuwadai.
Sure, nina laini ya tigo at least kuna ukweli.
 
Back
Top Bottom