Uongo wa vifurushi vya Intaneti vya Airtel Tanzania

Uongo wa vifurushi vya Intaneti vya Airtel Tanzania

Hiki kitu nilishawaambiaga humu, unanunua 1GB ila kimsingi unaungwa na qouta ya O.6GB, kwa sisi wenye uelewa kidogo na system zinavyofanya kazi ni rahisi tu, una edit statement tu ya ku display ujumbe unaandika uongo.

Mfano:
if (qouta ==O.6) {
print = "Umefanikiwa kujiunga na kifurushi cha week cha 1GB toka Airtel";
}

Ambacho utaona wewe ni huo ujumbe wa 1GB ila system imekuachia O.6GB kiuhalisia so unakuwa umepigwa 4OOMB bila kujua.
Umenikumbusha c++,Matlab, and the like.
 
Back
Top Bottom