Mburia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2022
- 2,369
- 3,488
Spidi ya konokono..Niandikapo ujumbe huu natumia ttcl, siibiwi bando, it's a time for ttcl to streach widely!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spidi ya konokono..Niandikapo ujumbe huu natumia ttcl, siibiwi bando, it's a time for ttcl to streach widely!
Acheni kulalamika,Angalieni settings za simu zenu. Unakuta mtu kaweka auto update, au download Whatsap huko halafu ana magroup yanayo tuma video. Ana lalamika tuu...Airtel sina hamu nao asee.., yaani nmejiunga kifurushi cha wiki nkaingia zangu jamii forum kidogo tu naambiwa Mb zimeisha
Ni kweli kabisa. Siku hizi internet inaisha tu hata bila kutumiaKutokana na matumizi makubwa ya fedha kwenye manunuzi ya vifurushi vya Internet. Tarehe 01/08/2022, nilijiunga na kifurushi cha Tsh.1500 (Mb850) na niliamua kuanza kufuatilia na kujipimia matumizi ya vifushi vya Internet kwenye simu yangu kupitia Mobile data usage ambapo nilipata fursa ya kuweka ukomo wa matumizi ya kifushi nilichojiunga kwa siku nisizidishe Mb100.
Lakini cha ajabu niliweza kutumia Jumla ya Mb490 pekee na kuletewa ujumbe kuwa nimetumia kifurushi cha Internet kwa 100%.
Nilishangaa sana na kugundua kuwa kumbe hivi viwango wanavyotuandikia ni Uongo mtupu. Huu mtandao wanafanya utapeli mkubwa sana.
Pamoja na maelezo haya nimeambatanisha screenshot za manunuzi ya kifurushi na matumizi.
Kama kuna mtu anaweza fuatilia pia ajaribu atajionea mwenyewe.
View attachment 2316699View attachment 2316700View attachment 2316701
Hapana ni wezi tu, mimi mwaka 4 internet natumia airtel ila recently wameshusha vifursh na wakaanza kutuibiaAcheni kulalamika,Angalieni settings za simu zenu. Unakuta mtu kaweka auto update, au download Whatsap huko halafu ana magroup yanayo tuma video. Ana lalamika tuu...
Mtandao unao kula Mb zaidi ni Voda Kwa sababu ya Kasi yake. Inayo fuata ni Halotel
Airtel?? [emoji28] . Unajiunga mpaka unajiuluza mbona mb haziishi?
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa..Siku hizi mbona kawaida tu, bando la wiki ila linaisha siku moja tu.!
Niende polisi nikatoe taarifa ya wizi halafu polisi wananiambia inabidi nichunguze...Kwa Nape usitegemee kitu kwani ana majibu meoesi na ya hovyo kwenye mambo muhimu na siriaz kama haya.View attachment 2316712
Wengi tutakua nyuma yako boss wew wafungulie tuNadhani ifikie hatua tuache kulalamikia huu WIZI..mimi ninajipanga kuwafungulia kesi ya madai ili UTAPELI HUU UKOME...niliweka GB 2.7 AMBAZO WANAUZA ELF 5, baada ya matumizi ya siku 2 tu wakasema nimetumia asilimia 75 ya bando, ile namaliza kuisoma tu hiyo msg inafuata nyingine nimetumia asilimia 100!!! yaani kuna ujambazi mkubwa kwenye hii sekta....
Nape amekuwa mtetezi wa makampuni. Ameji-position nafasi ya operation managers/CEO anayejua operation costs za kampuni.Kwa Nape usitegemee kitu kwani ana majibu meoesi na ya hovyo kwenye mambo muhimu na siriaz kama haya.View attachment 2316712
Jiandae muda si mrefu kuona ule ujumbe wa umetumia 75% ya bando lako.Baada ya mda mrefu kutumia zantel kwa internet, jana network yao ikawa mbovu nikashindwa kujiunga. Ngoja nione airtel watanifanyaje na hii 1.95GB.View attachment 2320778
Zamani xvidHiki kitu nilishawaambiaga humu, unanunua 1GB ila kimsingi unaungwa na qouta ya O.6GB, kwa sisi wenye uelewa kidogo na system zinavyofanya kazi ni rahisi tu, una edit statement tu ya ku display ujumbe unaandika uongo.
Mfano:
if (qouta ==O.6) {
print = "Umefanikiwa kujiunga na kifurushi cha week cha 1GB toka Airtel";
}
Ambacho utaona wewe ni huo ujumbe wa 1GB ila system imekuachia O.6GB kiuhalisia so unakuwa umepigwa 4OOMB bila kujua.
Wahuni sana hao mi nilihamia Zantel mazima huku walau mtandao ulikuwa chini ya mashehe wa kizenji wizi hakuna ila toka kanunua yule mwekezaji wa oysterbay polisi mambo yashaanza kuharibika sahizi huduma zimeungwa na Tigo.Zamani xvid
Hadi unachoka just 1Gb tu sa hivi video nne kwsha gb 1
Hahahahah wahuni sana jamaa bora kujiungia ile TTCL fibre ya 5O,OOO ya nyumbani halafu waiweke iwe kama dstv mobile kuwa kifurushi chako unaweza tumia ukiwa unatembea hata kama hauko home.Bando la wiki hata ujitahidi vipi humalizi siku tatu
Bando la mwezi ni wiki 2 tu na hapo umejitahidi sana
Hakuna Instagram, TikTok wala YouTube
Kweli mkuu,Jiandae muda si mrefu kuona ule ujumbe wa umetumia 75% ya bando lako.
Kumbe?nilitaka kuhiunga huko piaKawaida yao haloteli ndo usipime
Nenda kacheki data usage ili ujue uhalisia wa data zilizotumiwa na simu yako.Baada ya mda mrefu kutumia zantel kwa internet, jana network yao ikawa mbovu nikashindwa kujiunga. Ngoja nione airtel watanifanyaje na hii 1.95GB.View attachment 2320778