The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Sasa wewe hizo rumours unataka Nani azijibu? Au umechagua kuziamini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kunivuta kwenye kiwango chako ukanishinda kwa uzoefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wewe hizo rumours unataka Nani azijibu? Au umechagua kuziamini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndiye unajiaibisha kwa kujipaka kinyesi, hiki ni kinyesi wewe hukioni au ushabiki maandazi!!!Waziri Mkuu na waziri wa Afya wanapelekewa ripoti tu hata km una ujinga mwingi acha kujiaibisha
Waziri Mkuu na waziri wa Afya wanapelekewa ripoti tu hata km una ujinga mwingi acha kujiaibisha
Mkuu wala hakuna sababu ya kuwapa nafasi ya kujitafajari, Kama aliyewateua anajielewa anapaswa kuwafuta kazi Mara moja,haiwezekani mama kilango Malechela aliyedanganya issue ya wafanyakazi hewa pale shinyanga atumbuliwe Mara moja lakini hawa waliotoa taarifa zilizozua taharuki ndani na nje ya nchi kiasi Cha kuua sector ya utalii,kuzuia watoto wa wanyonge kuendelea na masomo kwa miezi sasa,kuikosesha wanyonge ajira, kuisababishia serikali hasara za kununua masanduku na sanda na kuwazika watu usiku wapewe muda wa kujitafakari.haiwezekaniLeo Rais wa Tanzania amehutubia taifa na kusema, utaratibu mzima wa upimaji na utoaji majibu ya vipimo kwa wahisiwa wa ugonjwa wa COVID-19 hapa Tanzania yamezungukwa na uongo, ujanja ujanja na ulaghai mkubwa. Hivyo takwimu zote za COVID-19 hapa Tanzania zilizotolewa na Waziri Mkuu au Waziri wa Afya zinapaswa kutiliwa mashaka na kutokuchukuliwa maanani tena. Ni upuuzi mtupu!
Sasa katika vita hii ya kupambana na Corona, jukumu la moja kwa moja lilikuwa chini ya Waziri Mkuu (Kassim Majaliwa) na waziri wa Afya (Ummy Mwalimu) huku pesa nyingi zikielekezwa huko. Wao ndio waliwahakikishia watanzania toka mwezi January, 2020 kabla ya Corona kuingia nchini Tanzania kuwa, Serikali ilikuwa imejipanga vyema katika mapambano hayo kuanzia kupima, kuzuia na kujaribu kutibu maambukizi ya Corona. Na mpaka kufikia leo wao ndio waliokuwa wamesimama mstari wa mbele kutetea na kusimamia juhudi za upimaji na utoaji majibu ya Corona kwa Tanzania.
Pasipo kuegemea upande wowote (iwe shutuma hizi za Rais ni kweli au ni uongo uliozushwa), nadhani huu ni wakati muafaka kwa Mheshimiwa Kassim Majaliwa na Mama Ummy Mwalimu kutafakari namna ya kuachia ngazi.
Sababu za kufanya hivyo ni hizi hapa.
1. Kukubali kwao kuwajibika moja kwa moja kwa hizo shutuma dhidi yao (ikiwa ni kweli) na kulinda hadhi ya serikali na hadhi ya Rais aliyewateua.
2. Kukaa pembeni ili kulinda heshima zao au kuonyesha kutokukubaliana na hiyo kauli ya mheshimiwa Rais (ikiwa shutuma hizo ni uongo).
3. Kupisha uchunguzi kamili na wahusika wengine wachukue nafasi zao ili nao wawajibike kwa namna tofauti (maana juhudi zao za mwanzo zimeonekana ni uchafu na upuuzi mtupu mbele ya yule aliyewateua)
Nadhani Lugola alishindwa kudefine what is CatalystWaziri Mkuu na waziri wa Afya wanapelekewa ripoti tu hata km una ujinga mwingi acha kujiaibisha
Umeshapatikana msemoWaziri mkuu aache kazi kwasababu ya mapapai
wajiuzulu kwa sababu gani?watangaza data kama zilivyokuja.ulitaka wawabishie bila kuwa na reaearch.wapinzani tumieni akili siyo makalio kufikiri.juzi mmelazimisha data zitoke leo ooh wajiuzulu。you are like cameleon !!!Mliomba corona iingie nchini leo mnalialia .Leo Rais wa Tanzania amehutubia taifa na kusema, utaratibu mzima wa upimaji na utoaji majibu ya vipimo kwa wahisiwa wa ugonjwa wa COVID-19 hapa Tanzania yamezungukwa na uongo, ujanja ujanja na ulaghai mkubwa. Hivyo takwimu zote za COVID-19 hapa Tanzania zilizotolewa na Waziri Mkuu au Waziri wa Afya zinapaswa kutiliwa mashaka na kutokuchukuliwa maanani tena. Ni upuuzi mtupu!
Sasa katika vita hii ya kupambana na Corona, jukumu la moja kwa moja lilikuwa chini ya Waziri Mkuu (Kassim Majaliwa) na waziri wa Afya (Ummy Mwalimu) huku pesa nyingi zikielekezwa huko. Wao ndio waliwahakikishia watanzania toka mwezi January, 2020 kabla ya Corona kuingia nchini Tanzania kuwa, Serikali ilikuwa imejipanga vyema katika mapambano hayo kuanzia kupima, kuzuia na kujaribu kutibu maambukizi ya Corona. Na mpaka kufikia leo wao ndio waliokuwa wamesimama mstari wa mbele kutetea na kusimamia juhudi za upimaji na utoaji majibu ya Corona kwa Tanzania.
Pasipo kuegemea upande wowote (iwe shutuma hizi za Rais ni kweli au ni uongo uliozushwa), nadhani huu ni wakati muafaka kwa Mheshimiwa Kassim Majaliwa na Mama Ummy Mwalimu kutafakari namna ya kuachia ngazi.
Sababu za kufanya hivyo ni hizi hapa.
1. Kukubali kwao kuwajibika moja kwa moja kwa hizo shutuma dhidi yao (ikiwa ni kweli) na kulinda hadhi ya serikali na hadhi ya Rais aliyewateua.
2. Kukaa pembeni ili kulinda heshima zao au kuonyesha kutokukubaliana na hiyo kauli ya mheshimiwa Rais (ikiwa shutuma hizo ni uongo).
3. Kupisha uchunguzi kamili na wahusika wengine wachukue nafasi zao ili nao wawajibike kwa namna tofauti (maana juhudi zao za mwanzo zimeonekana ni uchafu na upuuzi mtupu mbele ya yule aliyewateua)
Siyo Kisa Oili Ya Gari Ina Corona Virus Diseases19Waziri mkuu aache kazi kwasababu ya mapapai
Lazima Ajisikie Vibaya 🙄😏😐😐 Kisu Kimegonga MfupaUmeshapatikana msemo
Aliyetakiwa kujiuzulu ni rais kwa kuamini mambo ya ajabuuuuWaziri Mkuu na waziri wa Afya wanapelekewa ripoti tu hata km una ujinga mwingi acha kujiaibisha
Absolutely YESKufanya kazi na Jiwe inahitaji uwe kama mwendawazimu!