Uongo Wa Vipimo Vya Corona Tanzania: Kwanini Waziri Mkuu Na Waziri Wa Afya wasijiuzulu?

Hakuna ushahidi wa kisayansi unao watuhumu Waziri Mkuu na Waziri wa Afya.
Raisi kaonyesha dukuduku ya wingi wa positive kwa eneo ambalo anadai analifahamu vizuri.
Lakini yawezekana hizo samples was contaminated
Kuchukuwa samples kuna procedures, na katika hizo procedures from fetching a sample mpaka hatua ya mwisho makosa yaweza kufanyika ndio tunaita HUMAN ERROR au Equipment Error n.k
Tusitafute mbuzi wa kafara,huo ni mchezo mchafu.
 
Aliyepeleka sampuli za mapapai badala ya sampuli zilizokusudiwa ndo ana tatizo, mtaalamu atapima kile alichopelekewa na kusoma majibu. Ukimpotosha kwa kumpa kitu tofauti apime linakuwa siyo tatizo lake.....ina maana unataka afanye kazi ya ziada ya 'forensic' ili aweze kugundua kama hiyo sampuli ni genuine na hilo linaweza kufanywa na maabara tofauti au na wataalaamu tofauti, huna haja ya kufuata mlolongo wote huo....kuna namna bora ya kuthibitisha majibu ya vipimo hasa kama utakuwa umefanya 'rapid test' itabidi ufanye 'confirmatory test' hasa kwa zile sampuli ambazo ni positive au zile ambazo una mashaka na majibu yake......ila chonde chonde usipeleke sampuli ambazo hazikukusudiwa kwa lengo la kuwalaghai wapimaji...
 
Hii kitu ya COVID kwa TZ naona kama kawaida yetu imegeuka kuwa jambo fulani kama tamthiliya vile
 
Mkuu wala hakuna sababu ya kuwapa nafasi ya kujitafajari, Kama aliyewateua anajielewa anapaswa kuwafuta kazi Mara moja,haiwezekani mama kilango Malechela aliyedanganya issue ya wafanyakazi hewa pale shinyanga atumbuliwe Mara moja lakini hawa waliotoa taarifa zilizozua taharuki ndani na nje ya nchi kiasi Cha kuua sector ya utalii,kuzuia watoto wa wanyonge kuendelea na masomo kwa miezi sasa,kuikosesha wanyonge ajira, kuisababishia serikali hasara za kununua masanduku na sanda na kuwazika watu usiku wapewe muda wa kujitafakari.haiwezekani
 
Dah!..baraza la mawaziri litavunjwa miezi michache ijayo kupisha uchaguzi,Sasa wakijiuzulu hicho kiinua mgongo chao (pension) utawapa wewe?
 
wajiuzulu kwa sababu gani?watangaza data kama zilivyokuja.ulitaka wawabishie bila kuwa na reaearch.wapinzani tumieni akili siyo makalio kufikiri.juzi mmelazimisha data zitoke leo ooh wajiuzulu。you are like cameleon !!!Mliomba corona iingie nchini leo mnalialia .
 
Nina wasi wasi ukipeleka hata sampuli ya kuku unaweza kuta corona

Sasa kama papai zina corona tatizo ni nini!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UDSM ni chuo bora hufundisha kuwa kila mgogoro anza kuchambua source (causes) si effects!! kwa mawazo yangu hapa hakuna mtu kujiuzulu, wa kurara nae mbere kwa mbere na kutupa selo ni Afisa au Waziri yule alienunua vifaa feki vya maabara vya kupima Covid19, kisha kushitaki WHO na kudai pesa yetu kwa kampuni au kiwanda ambako vifaa vilipotoka, kwanza sheria ya manunuzi ilifuatwa? kisha kukagua kama bajeti ya kununua vifaa hivyo ni sawa na pesa iliyolipwa, kisha kuangalia miamala ya pesa na benki akaunti za watu waliolipa pesa ya serikali kununua vifaa hivyo, kisha kuangalia kama vifaa vyetu ni bora na ndivyo aina hiyo hiyo vyatumika US na UK kwa Boris!! kisha kuangalia kama Vifaa vyetu ni tekno au apple!!!

Tunaweza pia kuazima Kenya , US na UK vifaa wanavyotumia kupimia Covid19 ili tujiridhishe kisha tukarushia humo zile samples za mapapai na mafenesi na mbuzi na mbwa na za sokwe mtu na za wabunge na kuona majibu kama ni the same na mashine zetu inamaana nao wana takwimu feki!! Mzee Baba kwa hili ni Genius tuache wivu na uadui wa vyama ni lazima tumpongeze ni haki yake!
 
Mkurungenzi mkuu wa maabara ya Taifa mara baada ya hutuba ya Rais hivi leo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…