Uongo Wa Vipimo Vya Corona Tanzania: Kwanini Waziri Mkuu Na Waziri Wa Afya wasijiuzulu?

Waziri Mkuu na waziri wa Afya wanapelekewa ripoti tu hata km una ujinga mwingi acha kujiaibisha
Imagine unatukanwa na mtu yuko mafichoni wewe ndo unarisk kwenye mikutano na misiba. Ila acha yatukanwe tu maana hawana namna hao ni walimu eeh wakiacha kazi watakula nini. Ukiambiwa kazi ni utumwa maana yake ndiyo hii.
 
Rais is a scientist who is very unscientific. Anataka kuleta vurugu tu. Hakuna vipimo ambavyo viko sahihi 100%. Viwe vya malaria, TB, huwa vina false positives na false negatives. Isitoshe vipimo hivi vilijaribiwa katika binadamu kwanza. Yeye ndiye wa kwanza kuvijaribu katika mapapai na kwale. Kama ilitokea vikawa positive kwa kwale haina maana kuwa positive zilizo kwa binadamu lazima ziwe za uongo. This is health science and not chemistry. Hakuna sababu ya ya msingi ya mtu yeyote kujiuzuru.
 
Kwamba PM anaweza pelekewa report yenye taarifa fake na kawajulisha Watanzania bado tuone ni kitu cha kawaida tu!! Labda sielewi maana ya Waziri Mkuu...Na nyie akina Bia yetu ndio mnapeleka taarifa za kijinga. Wapumbavu kabisa nyie
Waziri Mkuu na waziri wa Afya wanapelekewa ripoti tu hata km una ujinga mwingi acha kujiaibisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani wao ndiyo waliopima? Kazi yao ni kutangaza. Lazima kutofautisha kati ya data collectors/analyst na kuna disseminators.
 
Waziri Mkuu na waziri wa Afya wanapelekewa ripoti tu hata km una ujinga mwingi acha kujiaibisha
Kwa hiyo Uchunguzi wa Jiwe kautoa peke yake maabara au naye aliletewa?? Kumbuka wakati wa sakata la makinikia pia. Jiwe siyo wakumuamini hata kidogo labda kwa wenye akili kama zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…