Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Too low for you....Peleka raisi wenu wa Twita achanjwe pia
Hivi bado wapo ?Subiri MATAGA waje.
Peleka raisi wenu wa Twita achanjwe pia
very poorPeleka raisi wenu wa Twita achanjwe pia
Mkuu ninauchungu raisi wangu kaondoka bado namuhitaj sana. Hafu wanamfanyia mzaha😢😢Too low for you....
Sas kuondokewa na Rais na chanjo wapi na wapiMkuu ninauchungu raisi wangu kaondoka bado namuhitaj sana. Hafu wanamfanyia mzaha😢😢
Leo naona itakua siku yangu ya mwisho kuonekana hili jukwaa la siasa....Nirudi nilipozoea
Nilijua kashapona kabisa.Bado hajamaliza za kutu siwajua vyuma vipo mwilini
Mtakufa nyie mtamuachaNilijua kashapona kabisa.
Mungu amtunze uhai wake muhimu kwa familia na wafuasi wake
Nilijua kashapona kabisa.
Mungu amtunze uhai wake muhimu kwa familia na wafuasi wake
Mungu ametuepushiaHuyu jamaa ni kiongozi, wa kwetu alikua Mnyampala.
Psychologically mada imeletwa kama Mpasho kwa mtu.Sas kuondokewa na Rais na chanjo wapi na wapi
Death it's so certain my dear.Mtakufa nyie mtamuacha
It's so Sad kwakweli.. ni wa kuombewa Mungu amvushe.Bado ana ka safari karefu ndo maana ana kelele nyingi. Aishi miaka tele aushuhudie urais twitter