#COVID19 Uongozi ni kuonesha njia: Uhuru Kenyata apata chanjo ya Corona

#COVID19 Uongozi ni kuonesha njia: Uhuru Kenyata apata chanjo ya Corona

Why so late? Uhuru ni rais mtiifu sana kwa wakubwa kwa nini alichelewa kupata chango. Uhuru hana vurugu wala unuaji pale anaposema mkubwa sasa nauliza hadi leo kwa nini asichukuliwe hatua kwa kuchelewa?
Uhuru ni rais mnyenyekevu na mpole inapokuja ishu ya wakubwa sasa mbona kachelewa?
Tunajua uhuru hana ubishi wala ujanja mbele ya wadhungu sa imekuaje hadi leo?
Uhuru ni mfano mzuri wa marais africa watiifu waoga wasiotaka kujionesha wajuaji tunasikitika kwa kuchelewa kutoa support kwa wazungu.
Tofauti na nchi ya jirani jeuri maskini na haijali inabishia hata wadhungu bana. Kama vip basi tuuu
Shairi kali sana hili. [emoji1][emoji1][emoji1] Andika na la Museveni pia tuburudike tena.
ExeqsOIWYAA2GnY-750x617.jpg
 
Back
Top Bottom