Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Ni Astra-Zeneca? Hizi chanjo kinachonishangaza nikwamba hazikupi uhuru kuwa hutaweza kupata maambukizi.....anyway kwahizi chanjo kila mtu atumie akili yake tuRais wa Kenya na mke wake wamekuwa miongoni mwa Wakenya wa mwanzo kabisa kujipatia chanjo ya Corona
View attachment 1735138
Hii ita motivate Wakenya wengi kupata chanjo na hatimaye kumaliza tatizo la corona nchini mwao .
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya