Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Ni Astra-Zeneca? Hizi chanjo kinachonishangaza nikwamba hazikupi uhuru kuwa hutaweza kupata maambukizi.....anyway kwahizi chanjo kila mtu atumie akili yake tuRais wa Kenya na mke wake wamekuwa miongoni mwa Wakenya wa mwanzo kabisa kujipatia chanjo ya Corona
View attachment 1735138
Hii ita motivate Wakenya wengi kupata chanjo na hatimaye kumaliza tatizo la corona nchini mwao .
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya
Rais wa Kenya na mke wake wamekuwa miongoni mwa Wakenya wa mwanzo kabisa kujipatia chanjo ya Corona
View attachment 1735138
Hii ita motivate Wakenya wengi kupata chanjo na hatimaye kumaliza tatizo la corona nchini mwao .
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya
hiyo hoja ya kuganda damu imepuuzwaNgojeni kwanza asipoganda damu tutafuata mfano wake
Basi tungoje agande mavi ,maana tumeona hata ulaya wenyewe wame cease kwanza matumiz ya hayo madude baaΔa ya madhara kua makubwahiyo hoja ya kuganda damu imepuuzwa
Sas kuondokewa na Rais na chanjo wapi na wapi
Basi tungoje agande mavi ,maana tumeona hata ulaya wenyewe wame cease kwanza matumiz ya hayo madude baaΔa ya madhara kua makubwa
Ausindileee ?Uroho tu wa hela za wazungu.
Chanjo ni kwa raia sio kwa wakimbizi!Wa Belgium na wa Canada na,familia yake zipo chanjo kwa Wingi kule,je wamechanjwa tayari?
Was Belgium ni RAIA,Chanjo ni kwa raia sio kwa wakimbizi
Was Belgium ni RAIA,
KW nini mkimbizi hachanjwi?Anageuka Hazzard
ππππ π»π»π»ππΎππΎππΎππΎππΎππΎππΎππΎππΎ Exactly!!!! Kunywa beers nne bill kwa BAK.
hamna kitu hapo bomba tupu hiloRais wa Kenya na mke wake wamekuwa miongoni mwa Wakenya wa mwanzo kabisa kujipatia chanjo ya Corona.
View attachment 1735138
Hii ita motivate Wakenya wengi kupata chanjo na hatimaye kumaliza tatizo la corona nchini mwao .
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya
Rais wa Kenya na mke wake wamekuwa miongoni mwa Wakenya wa mwanzo kabisa kujipatia chanjo ya Corona.
View attachment 1735138
Hii ita motivate Wakenya wengi kupata chanjo na hatimaye kumaliza tatizo la corona nchini mwao .
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya
Kupiga chanjo na hatimae kumaliza Tatizo la Corona nchini Mwao.Rais wa Kenya na mke wake wamekuwa miongoni mwa Wakenya wa mwanzo kabisa kujipatia chanjo ya Corona.
View attachment 1735138
Hii ita motivate Wakenya wengi kupata chanjo na hatimaye kumaliza tatizo la corona nchini mwao .
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya
sasa mtu ambaye ni Ignorant anawezaje ku edit ?Kupiga chanjo na hatimae kumaliza Tatizo la Corona nchini Mwao.
Mkuu edit hiyo maneno, inaonesha you are so ignorant.