#COVID19 Uongozi ni kuonesha njia: Uhuru Kenyata apata chanjo ya Corona

Ni Astra-Zeneca? Hizi chanjo kinachonishangaza nikwamba hazikupi uhuru kuwa hutaweza kupata maambukizi.....anyway kwahizi chanjo kila mtu atumie akili yake tu
 
Hii ni moja ya njia kuonyesha msaada ya korana inavyotumika kumbe geresha tu
 
Wa Belgium na wa Canada na,familia yake zipo chanjo kwa Wingi kule,je wamechanjwa tayari?
 
πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ Exactly!!!! Kunywa beers nne bill kwa BAK.
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ 🍻🍻🍻
 
Reactions: BAK

Unauhakika kama kile kilichokuwa kwenye sindano ni kinga ya uviko-19.
 
Kupiga chanjo na hatimae kumaliza Tatizo la Corona nchini Mwao.

Mkuu edit hiyo maneno, inaonesha you are so ignorant.
 
Teh teh teh,
Kwanza kwa u-ignorant wako hata unavyochapa habari hapa sijui huwa nani anakusaidiaga. Maana unaweza kuchapa, lkn maudhui ya kile unachochapa ni shidaaa.
CC: game over

hamna kitu hapo.

huyu ndio mmoja kati ya wale mitaji ya chadema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…