johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Ndio maana sigombei ubunge manka!Wewe mbona hutaki kufa ajili ya wengine?
Uongo Mandela alirudi kwao kuendeleza mapambano akadakwa Hadi kufungwa museveni alikuwa uhamushoni Tanzania lakini alirudi Uga da kuongoza Mapambano akina Kagame vivyo hivyo akina Raisi wa Burundi vivyo hivyo walirudi kuongoza Mapambano nchini mwao akina Kabila wa Kongo hivyo hivyo hawakukaa tu wakisubiri wengine waweke mazingira mazuri wait wakiwa kwenye AC ulaya na Canada wakila Pizza wakingoja tu waje Kama watalii kuja kugombea vyeo Kama Lisu alivyokuja kugombea uraisi na umakamu mwenyekiti ChademaHapo umekosea kama siyo hujui. Hapa Tanzania tulikuwa makazi wa viongozi wengi tu wa wapigania uhuru, jana tu yakitajwa maeneo aliyokaa Rais wa sasa wa Burudi. Wakati Hayati Mandela anafungwa na Serikali y makaburu kulikuwa na wengine walikuwa wakiishi nchi mbalimbali duniani wakiendeleza mapambano kutokea huko. Kabla hajasema swala lolote humu jitahidi kuyajua kabla.
Kwa sababu umezaliwa juzikati ni haki yako kusema Mbowe hana nguvu yoyote!Mbowe usimulinganishe na kitu cha ajabu Mkuu we unamsemea Magufuli ambae ulimtambua baada ya kua Rais kwa kutumia Mabavu kupitia nafasi yake ya Uraisi alikua anafanya chochote lakini Mbowe anapambana akiwa chini hana Nguvu yeyote kwenye hii Nchi tena anapambana na wenye Madaraka.
#Narudia usimfananishe MBOWE na Vitu Vingine vya ajabu
Lisu anagombea urais wakati kura zinahesabiwa kakimbilia nyumbani kwa balozi wa Ujerumani.Ni mpuuzi
Nilijua tu hujui, Museveni alirudi wakati gani? Kabila alirudi wakati gani? Kageme alirudi wakati gani.Uongo Mandela alirudi kwao kuendeleza mapambano akadakwa Hadi kufungwa museveni alikuwa uhamushoni Tanzania lakini alirudi Uga da kuongoza Mapambano akina Kagame vivyo hivyo akina Raisi wa Burundi vivyo hivyo walirudi kuongoza Mapambano nchini mwao akina Kabila wa Kongo hivyo hivyo hawakukaa tu wakisubiri wengine waweke mazingira mazuri wait wakiwa kwenye AC ulaya na Canada wakila Pizza wakingoja tu waje Kama watalii kuja kugombea vyeo Kama Lisu alivyokuja kugombea uraisi na umakamu mwenyekiti Chadema
Waongoza Mapambano wote akina walirudi nchini kwao joto likiwa juu na Mapambano Moto hawakuachia wengine wafanye hiyo kazi kwa niaba yao wao wakisubiri wingu jeupe ndio warudi kwa mbwembwe Kama Lisu kupokelewa Airport na kugombea!!!
Utagombeaje huna hata pakulala?Ndio maana sigombei ubunge manka!
Mbowe usimulinganishe na kitu cha ajabu Mkuu we unamsemea Magufuli ambae ulimtambua baada ya kua Rais kwa kutumia Mabavu kupitia nafasi yake ya Uraisi alikua anafanya chochote lakini Mbowe anapambana akiwa chini hana Nguvu yeyote kwenye hii Nchi tena anapambana na wenye Madaraka.
#Narudia usimfananishe MBOWE na Vitu Vingine vya ajabu
Kulikuwa na uchaguzi?Lisu anagombea urais wakati kura zinahesabiwa kakimbilia nyumbani kwa balozi wa Ujerumani.
Bure kabisa yule mnyaturu!
Kwahiyo Tundu Lisu na Lema wanapigania uhuru?Hapo umekosea kama siyo hujui. Hapa Tanzania tulikuwa makazi wa viongozi wengi tu wa wapigania uhuru, jana tu yakitajwa maeneo aliyokaa Rais wa sasa wa Burudi. Wakati Hayati Mandela anafungwa na Serikali y makaburu kulikuwa na wengine walikuwa wakiishi nchi mbalimbali duniani wakiendeleza mapambano kutokea huko. Kabla hajasema swala lolote humu jitahidi kuyajua kabla.
Sasa Lisu alikuja kufanya nini?!Kulikuwa na uchaguzi?
Wote walirudi ndani ya nchi kuongoza vita.wote Museveni aliongoza Vita ndani ya Uganda Alipewa dola elfu 50 na Kawawa akaanze Vita Uganda , Kagame pia aliongoza Vita Rwanda ndani na Kabila YouTube ziko kibao wakiwa vitani ndani ya nchi zao sio nje.Mandela Hadi alidakwa na kufungwa jela ndani ya Afrika ya kusini.Nilijua tu hujui, Museveni alirudi wakati gani? Kabila alirudi wakati gani? Kageme alirudi wakati gani.
Mandela unayemsema alirudi ndiyo,lakini alikuwa uhamishoni. Kwa nini alikuwa uhamishoni? Je umeambiwa hao inawatuhumu hawatarudi? Wote walirudi kwa wakati ufaao, hata hao unaowatuhumu watarejea kwa wakati ufaao
Mkuu hako kabavicha hakajui lolote, kasamehe bure!Uongo Mandela alirudi kwao kuendeleza mapambano akadakwa Hadi kufungwa museveni alikuwa uhamushoni Tanzania lakini alirudi Uga da kuongoza Mapambano akina Kagame vivyo hivyo akina Raisi wa Burundi vivyo hivyo walirudi kuongoza Mapambano nchini mwao akina Kabila wa Kongo hivyo hivyo hawakukaa tu wakisubiri wengine waweke mazingira mazuri wait wakiwa kwenye AC ulaya na Canada wakila Pizza wakingoja tu waje Kama watalii kuja kugombea vyeo Kama Lisu alivyokuja kugombea uraisi na umakamu mwenyekiti Chadema
Waongoza Mapambano wote akina walirudi nchini kwao joto likiwa juu na Mapambano Moto hawakuachia wengine wafanye hiyo kazi kwa niaba yao wao wakisubiri wingu jeupe ndio warudi kwa mbwembwe Kama Lisu kupokelewa Airport na kugombea!!!
Dikteta alikuwa anataka ushindani?Sasa Lisu alikuja kufanya nini?!
Mbona Tundu Lisu alienda Chato mara mbili kufanya kampeni?!!!Dikteta alikuwa anataka ushindani?
Tatizo juzi umelipwa posho yako ya mwezi SeptMbona Tundu Lisu alienda Chato mara mbili kufanya kampeni?!!!
Dah!...yaani umesahau Lissu alinusurika kifo?...ulitaka aendelee kubakia hapa nchini?Lissu na Lemao ni watu wa ngonjera sana
Arudi sasa anafanya nn huko na aliyemuua hayupoDah!...yaani umesahau Lissu alinusurika kifo?...ulitaka aendelee kubakia hapa nchini?
Hahahaaaa........ Dikteta mnaye hapo Ufipa!Tatizo juzi umelipwa posho yako ya mwezi Sept
Labda wapo wengi waliopanga kumuua tusiowafahamu sisi ila yeye anafahamu bado wapo ndio maana hajarudi.Arudi sasa anafanya nn huko na aliyemuua hayupo
Hahahaha babuHahahaaaa........ Dikteta mnaye hapo Ufipa!