MUTUYAMUNGU
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,825
- 4,374
We jamaa una majungu sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pamoja na kuweka picha ya mtu anarekodi mazoezi ya jana pamoja na kukumbushia maelezo ya Barbara akisema milion 150 zilizochangwa na mashabiki kwenye nani zaidi zitajenga ukuta haraka sana sababu John boko alipeleka malalamiko kwa niaba ya wachezaji kwamba hakuna faragha ya mazoezi bado naambiwa nina majunguWe jamaa una majungu sana!
Yes Recreativo de libolo...Ezekiel kamwaga anakuambia hawakuwa na faragha ya mzoezi, alberto wa Libolo anawachora tu mazoezini, leo team ina uwanja wake lakini inashindwa ku control issue ndogo hiviFaah umenikumbusha ni ile mechi ambayo simba ilikalia liboro..........fc
Uko sahihi kabisa ni la kilimo cha matikiiti majiHili siyo jukwaa la michezo
PoaUko sahihi kabisa ni la kilimo cha matikiiti maji
BANGENTA akipandisha uzi hapa Mashabiki wenzake wa Simba wajiandae atamwaga shombo la tuhuma ile mbaya. Ila si kawaida yake kuwa kimya namna hii!!!
Iyo pesa Mo kailasi ndicho nilichouliza? si wana ubia na 4ks security? tunavyolalamika hivi ni kwamba wengine tunakerwa na mambo kama haya
Uongozi wenyewe ulisema Boko alienda kulalamika kukosekana kwa faragha kwenye mazoezi wakasema ujenzi wa ukuta utaanza fasta, kimya hadi leo kwa nini tusiamini milions 150 zimeliwa
KaolewaKama hajapigwa ban sijui binafsi nimeshangazwa sana.Ni muda sasa hajajitokeza.
Kala banMtani wangu GENTA kapotelea wapi??au kajitoa makolokoloni???maana yupo kimyaa sanaaa tangu ijumaa kapoteaa!!hahahah GENTA njoo bana tuendeleze utani wa jadi!!
uongozi umesababisha hadi wewe unatoa maneno kama haya? team mbovu au uongozi mbovuIla wakuu mbona hata pale avic town mashabiki wanakuwepo kushuhudia mazoezi ya wazi
Timu yenu MBOVU na muukubali ukweli
na hapo ndipo ninaposema kuna wazee wa hizo mbanga ni kama wamesusa, usasa uwepo lakini jadi ni lazimaBabra anaamini kwenye soka la kisasa hvyo hawezi kubali huo ushauri wako kama anaambiwa team isipite getini anakataa halafu uto wanazunguka geti lingine wanakupasua we utamshauri nini kiufupi babra haamini katika upande wa pili wa shilingi.
jasiri haachi asili.......🤔🤔🤔uongozi umesababisha hadi wewe unatoa maneno kama haya? team mbovu au uongozi mbovu
na hapo ndipo ninaposema kuna wazee wa hizo mbanga ni kama wamesusa, usasa uwepo lakini jadi ni lazima
Genta amajificha anafuatilia mechi zinazochezwa kimya kimya Ili angalao aweze pandisha Uzi hapa wa ushauri Kwa makolo fc,kwani Alisha nusa ubingwa kuyeyuka Asubuhi kabisa ya bariki kabla ya jua kuchomoza🤔Mtani wangu GENTA kapotelea wapi??au kajitoa makolokoloni???maana yupo kimyaa sanaaa tangu ijumaa kapoteaa!!hahahah GENTA njoo bana tuendeleze utani wa jadi!!
Yuko viwanjani anafukuzia ukocha Kwa makolo fc 😆Tulimshambulia sana mtani wangu GENTAMYCINE hatimae katukimbia na tumemis shombo zake.