UONGOZI WA EFM: Huyu mtangazaji wenu mnazi wa Yanga, Twalib Omar aka Muwa, sio proffessional na anapiga kelele tu kuutetea Uyanga wake

UONGOZI WA EFM: Huyu mtangazaji wenu mnazi wa Yanga, Twalib Omar aka Muwa, sio proffessional na anapiga kelele tu kuutetea Uyanga wake

ToniXrated

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
1,134
Reaction score
2,993
Amani iwe nanyi

Moja kwa moja nauendea uongozi wa EFM radio juu ya mtangazaji wao wa kipindi cha Esports anayefahamika kwa jina la Twalib Omar aka Muwa, kwa muda mrefu nimekuwa nikisikiliza kipindi chenu cha mchezo cha asubuhi, huyu mtangazaji wenu anashindwa kusimama katika professionalism ya kazi yake badala yake amekuwa ni mtu wa kelele na hata katika majadiliano amekuwa ni mtu wa kupiga kelele kutetea Yanga bila ya facts na anasahau kuwa yupo live kwenye kipindi.

Muonyeni abadilike kutokana na hiyo tabia yake, tunafahamu kuwa ana mapenzi na ukaribu sana na viongozi wa klabu ya Yanga na huenda anapokea bahasha yake pale ili tu aipiganie Yanga kwenye kipindi cha michezo cha radio, EFM.

Twalibu Omar nikueleze wazi kuwa unakera.

Cc: Majizo
 
anaweza akamuuliza swali mwenzake akianza kujibiwa anamkatiza kwa sauti kubwa sijui alikuwa kondakta yule jamaa au mpiga debe, peaneni nafasi za kuongea ,radio siyo kijiwe cha kahawa hata usi po shout bahasha za salamander utapewa tu mzee SUGARCANE
 
Leo alikuwa na agenda yake kuwa Primero de agosto ni wabovu.Maestro akamuuliza wabovu kivipi? Akaanza kusema kuwa kwenye transition , maestro akamwambia kuwa hebu tueleze ubovu wao kwenye transition ulikuwaje, uelezee tu ili watu wasiofahamu wajue!

Akaanza kusema kwa kelele hayo masuala ya kupanga koni uwanjani,mara sijui hatuwezi kuanza kufundishana blabla anasahau kuwa yupo kwenye kipindi cha michezo redioni.
 
Amani iwe nanyi

Moja kwa moja nauendea uongozi wa EFM radio juu ya mtangazaji wao wa kipindi cha Esports anayefahamika kwa jina la Twalib Omar aka Muwa, kwa muda mrefu nimekuwa nikisikiliza kipindi chenu cha mchezo cha asubuhi, huyu mtangazaji wenu anashindwa kusimama katika professionalism ya kazi yake badala yake amekuwa ni mtu wa kelele na hata katika majadiliano amekuwa ni mtu wa kupiga kelele kutetea Yanga bila ya facts na anasahau kuwa yupo live kwenye kipindi.

Muonyeni abadilike kutokana na hiyo tabia yake, tunafahamu kuwa ana mapenzi na ukaribu sana na viongozi wa klabu ya Yanga na huenda anapokea bahasha yake pale ili tu aipiganie Yanga kwenye kipindi cha michezo cha radio, EFM.

Twalibu Omar nikueleze wazi kuwa unakera.!!!!!!

Cc: Majizo
Toa mfano
 
Kwa kweli anaboa, nilijua naona mimi tu.
Kibaya zaidi mwenzake akianza kumwaga facts yeye anadakia kwa juu na kuongea kitu ambacho alishaongea hadi sisi wasikilizaji tunakosa madini ya wastaarabu.

Ujue huwa siamini kabisa kuwa pale jangwani kuwa wenye akili ni wawili. Lakini kuna muda ukimsikiliza mwanayanga akiiongelea yanga yake unaona mbona kama ile kauli ina ukweli kidogo.
 
Wachambuzi wa michongo wanaokotwa barabarani kisa wana connection na mabosi wa radio wanageuka watangazaji ghafla.

Matokeo yake kipindi kinageuka cha kupiga porojo, ule ushabiki wa mtaani unahamishiwa studio, na kale kasichana nacho ni full ushabiki, ukiongezea na jinsi walivyo wengi kwenye kipindi, hawapeani muda,wa kuzungumza ni makelele tupu.

Kile kipindi bila Maestro na Jemedari Saidi kingekuwa uchafu mtupu.
 
Wachambuzi wa michongo wanaokotwa barabarani kisa wana connection na mabosi wa radio wanageuka watangazaji ghafla.

Matokeo yake kipindi kinageuka cha kupiga porojo, ule ushabiki wa mtaani unahamishiwa studio, na kale kasichana nacho ni full ushabiki, ukiongezea na jinsi walivyo wengi kwenye kipindi, hawapeani muda,wa kuzungumza ni makelele tupu.

Kile kipindi bila Maestro na Jemedari Saidi kingekuwa uchafu mtupu.
Jemedari kashamjulia twalib, akianza kuropokaropoka yeye huwa anatulia kimya.Jamaa anakera sana...huwa namkubali Maestro, jemedari na Geof lea tu.
 
Amani iwe nanyi

Moja kwa moja nauendea uongozi wa EFM radio juu ya mtangazaji wao wa kipindi cha Esports anayefahamika kwa jina la Twalib Omar aka Muwa, kwa muda mrefu nimekuwa nikisikiliza kipindi chenu cha mchezo cha asubuhi, huyu mtangazaji wenu anashindwa kusimama katika professionalism ya kazi yake badala yake amekuwa ni mtu wa kelele na hata katika majadiliano amekuwa ni mtu wa kupiga kelele kutetea Yanga bila ya facts na anasahau kuwa yupo live kwenye kipindi.

Muonyeni abadilike kutokana na hiyo tabia yake, tunafahamu kuwa ana mapenzi na ukaribu sana na viongozi wa klabu ya Yanga na huenda anapokea bahasha yake pale ili tu aipiganie Yanga kwenye kipindi cha michezo cha radio, EFM.

Twalibu Omar nikueleze wazi kuwa unakera.

Cc: Majizo
Jamaa ni empty kichwani mdengeleko yule sijui mzaramo lopolopo
 
Wachambuzi wa michongo wanaokotwa barabarani kisa wana connection na mabosi wa radio wanageuka watangazaji ghafla.

Matokeo yake kipindi kinageuka cha kupiga porojo, ule ushabiki wa mtaani unahamishiwa studio, na kale kasichana nacho ni full ushabiki, ukiongezea na jinsi walivyo wengi kwenye kipindi, hawapeani muda,wa kuzungumza ni makelele tupu.

Kile kipindi bila Maestro na Jemedari Saidi kingekuwa uchafu mtupu.
Unamaanisha kale kasichana karembo Tunu binti Hassan Shenkome siyo??!!
 
mpe kazi bosi, hapo ndipo anapata kula sio lazima umuelewe wewe in short usilazimishe aongee unavyopenda
 
Huyoooo jamaa Hajawahi kuwa mtangazaji, ni mpuuzi mpuuzi flani hivii
Kiufupi ni kipa katokaa huyoooo
 
Back
Top Bottom