Uongozi wa Simba mlifanyie hili kazi

Leta takwimu zinazoonyesha Simba alikuwa Bora zaidi ya yanga, sio maneno matupu!
 
Waambiage hao.
 
Wakati Simba inapata ushindi wa dhulma dhidi ya Azam na Dodoma JiJi wadau wali lalamika juu ya maamuzi mabovu ya Marefa.
Msemaji wa Simba akihojiwa na waandishi juu ya malalamiko ayo ya wadau na vilabu alisema: Malalamiko yapelekwe Tff kwakua Kuna Sanduku la maomi.

Mimi nafikri mleta bandiko unge fuata ushauri wa msemaji wa Simba usinge andika Uzi wa namna hii.
 
Yanga Wana mbinu nyingi sana. Wakiona mchezaji ana wasumbua Wana mwumiza makusudi kabisa. Walimvunja Hamza kwa makusudi kabisa.
Walimwumiza hata Kibu ile Mechi ya 5 kwa 1
Mwinyi Kazimoto pia waliwahi kumuumiza mchezaji waliyemshindwa ni konde boy
 
Wewe ni shabiki wa mpira?
 
Comments reserved
 
Msitumie misiba ya watu kuhalalisha vichaa vyenu, Majid anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo muda mrefu, kifo chake kimetokana na kushindwa kumudu gharama za matibabu mbona hamkuchangia pesa za matibabu mbwa nyinyi?

Msemaji wenu kaja kwenye msiba mbona sijaona rambirambi yoyote kutoka makao makuu? Shwaini kabisa.

Acheni ushabiki wa kipuuzi kuumiza hisia za waliompoteza mpendwa wao.
 
Aaaahaaaa
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu).
 
UKISHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA AUTOMATICALY AKILI ZA KICHWANI ZINAANZA KUYEYUKA.

CAPO.
 
Huyu Aliandaa hili Bango hukuwa na fikra pana, bango hili litakuja kukuwasulubu huko mbeleni, kama silaha ya kejeli subiri mtaona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…