Uongozi wa Simba SC acheni kucheza na Akili zetu, kwa huyu Kipa Mbrazili Jefferson Luis mmetutukana Tusi Kubwa Sisi Mashabiki wenu

Mnamkumbuka Obren Curckovic mserbia aliewahi kuidakia Yanga 2008-2011? Sina shaka na magoli kipa kutoka nje ya Africa.
 
Mnamkumbuka Obren Curckovic mserbia aliewahi kuidakia Yanga 2008-2011? Sina shaka na magoli kipa kutoka nje ya Africa.

Unajijua CAFCL.
SUPER CUP.
NBC PLEMIER LEAGUE.

Alcheza kwenye mashindano Madogo
Enzi za GIZA

Kabla ya Instagram, na watsup.
 
Simba hatuna viongozi wazuri, yaani unamwacha Kakolanya kwa kipa unayejua Manura akipona atakuwa anakaa benchi. isitoshe kaja kupunguza nafasi za kusajili kimataifa.

Ameziba nafasi ya Bangala.

Simba ingekuwa na Bangala INGECHEZA FAINALI MOJA KATI YA......

CAFCL.
SUPER CUP.
 
Siyo kwamba kila Siku GENTAMYCINE nikiwa Nawachokoza, Nawananga na Nawatania mno Watani zetu Yanga SC basi Kwetu huku ( Simba SC ) mkikosea nitawanyamazia.
uko Kijijini Kwao Kyaka Nkunde au Ikupilipa Nkoba.

Simba SC kwa Kipa tumekosea mno.
Punguza maneno na acha ujuaji, wewe huyu kipa ulimuona akidaka? Tuwe na akiba ya maneno. Wakati Diarra anakuja Yanga maneno yalikuwa kama haya. Watu walisema alifungwa goli 41 Kwa msimu, kipa boya maneno mengi ila mdaka mishale kawafunga midomo. Kama unaona hafai sajili wako, mpeleke Simba halafu mlipe mshahara.
 
Lazima watu tuseme!
 
Kwahiyo mkuu unataka kusema Simba kumejaa mazezeta?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kipa wa vpers alikua aje kwa bei nzuri,ila robertinho kamtaka mbrazil

Sasa ole wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…