GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Onana mpe muda utakuja kunishukuru baadae huyo ni fundi sana sema ubishoo mwingi wa CR7 ndio unamuharibu,mpe mudaTafadhali achaneni nae kwani hana jipya wala msaada wowote ule Kikosini.
Mchezaji gani Kutwa anawaza kwenda Saluni, Kujiremba na Kujipodoa tu?
Binafsi simtaki ndani ya Kikosi chetu na naomba nae apewe Thank You upesi sawa?
Nafikiri kushindikana kwa dili la Mpanzu ndio kumepelekea abaki. Hata kwenda kambini amechelewa sana kuripoti.Halafu hapo kaachwa general phiri, kabaki onana, sijui kwasababu wajina wake anacheza Manchester united 🤣😂
Tajiri alituhakikishia anazo na zipo hivyo huu Utetezi wako ni Mfu na hauna Tija. Nasema tena Onana aachwe upesi sana.Usajili ni fedha ndugu
GENTAMYCINE nikikuambia fulani hajui Mpira kubali sawa? Nimeucheza, nina Utaalam na nao Nauchambua vile vile pia.Apewe muda
Kwahiyo tunaajiri Mtu kwa ajili ya Kulisha Familia yake ila huku katika Utendaji anaharibu na haonyeshi Ufanisi? Uko sawa Kichwani Wewe?Yupo kazini tumwache apige kazi kuna viumbe huko kwao wanamtegemea
Hajui Mpira Period. Mpira wake au Kiwango chake si cha Kuichezea Simba SC labda huko Ihefu au Singida Black Stars.Onana mpe muda utakuja kunishukuru baadae huyo ni fundi sana sema ubishoo mwingi wa CR7 ndio unamuharibu,mpe muda
ulichezea timu gani kubwa wewe simbilisi?GENTAMYCINE nikikuambia fulani hajui Mpira kubali sawa? Nimeucheza, nina Utaalam na nao Nauchambua vile vile pia.
Ya JamiiForums FC.ulichezea timu gani kubwa wewe simbilisi?
Kwahiyo abakishwe kwakuwa tu ana huto turasta twake?Kikubwa ana turasta
Eeee angalia sajili zote.Turasta ni mhimu kuwatishia utopwixKwahiyo abakishwe kwakuwa tu ana huto turasta twake?
Siku hizi na Wewe umeanza kuvuta Bange / Bangi?Eeee angalia sajili zote.Turasta ni mhimu kuwatishia utopwix