hakomana sekemesekeme
JF-Expert Member
- Oct 15, 2023
- 646
- 1,568
nikikukamata nakupeleka jelaYa JamiiForums FC.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nikikukamata nakupeleka jelaYa JamiiForums FC.
Yanga wakati wanatumia pesa kusajili wachezaji wa as vita makolo wakawa wanabeza ni wa mkopo,timu gani itamtoa mchezaji wake tegemeo kwa mkopo,wameshindwa kumnunua mpenzu toka as vita wakaona bora waendelee na onana 😂Usajili ni fedha ndugu
Uko sahihi 100% kwa Maelezo yako. Naona Dili la Mpenzu Boss kaona litammalizia Faida yake yote ya Mo Energy Drink.Yanga wakati wanatumia pesa kusajili wachezaji wa as vita makolo wakawa wanabeza ni wa mkopo,timu gani itamtoa mchezaji wake tegemeo kwa mkopo,wameshindwa kumnunua mpenzu toka as vita wakaona bora waendelee na onana 😂
Kwanini Mkuu?nikikukamata nakupeleka jela
😂😂😂Ya JamiiForums FC.
unamakosa mengisana uongo,uzushi na kiburiKwanini Mkuu?
Msisahau kama onana ndo.sababu ya kwenda robo fainal akiikanda wydad bao 2 vp kama onana asinge zama kamban af wapinzani wenu wakenda robo fainal nyie mkaishia makindi ingekua aibu kiasi gani ???Tafadhali achaneni nae kwani hana jipya wala msaada wowote ule Kikosini.
Mchezaji gani Kutwa anawaza kwenda Saluni, Kujiremba na Kujipodoa tu?
Binafsi simtaki ndani ya Kikosi chetu na naomba nae apewe Thank You upesi sawa?
Na hayo ambayo Wewe Ndorobo unayaona ni Makosa Kwangu ndizo Sifa Kuu za Mtu yoyote ambaye ni Mwerevu tukuka.unamakosa mengisana uongo,uzushi na kiburi
Nachukia sana kusoma Posts za Watu ambao hawajui na hawaujui Mpira.Msisahau kama onana ndo.sababu ya kwenda robo fainal akiikanda wydad bao 2 vp kama onana asinge zama kamban af wapinzani wenu wakenda robo fainal nyie mkaishia makindi ingekua aibu kiasi gani ???
Onana msimu jana haukua vizur kwanzia viongozi mpk wachezaji ata performance ya chama ilipungua kwasabbu kulikua hakuna muunganiko mzur wa viongozi, msimu mmoja makocha wa 3 tofaut tofaut duuh🤔🤔
Onana acha apewe muda uyo ndo CR7 wa simba bila kusahau fred michael funga funga top score msimu ujao kama muunganiko utakua mzuri
Bonge la Swali. Heko sana Mkuu.Kama wanaweza kumuona onana ni mchezaji, je! tunaweza kuwaamin hao wengine waliotusajilia?
Kwani ndugu yangu wewe timu ganiHalafu hapo kaachwa general phiri, kabaki onana, sijui kwasababu wajina wake anacheza Manchester united 🤣😂
Hilo la kwenda saloon ni maisha yake binafsi unatakiwa uelewe hiloTafadhali achaneni nae kwani hana jipya wala msaada wowote ule Kikosini.
Mchezaji gani Kutwa anawaza kwenda Saluni, Kujiremba na Kujipodoa tu?
Binafsi simtaki ndani ya Kikosi chetu na naomba nae apewe Thank You upesi sawa?
Magoma FC huyoKwani ndugu yangu wewe timu gani
ok tutaonaNa hayo ambayo Wewe Ndorobo unayaona ni Makosa Kwangu ndizo Sifa Kuu za Mtu yoyote ambaye ni Mwerevu tukuka.
Dili la Mpanzu ni gumu kwakua ndio alikua mbadala wake Mabosi wa AS Vital Wameweka dau la 250,000usd ili wamuachie,hapo ndio ugomu uliopo ndio maana Onana alichelewa hata kutumiwa ticket arudi alikua ni moja ya watu wanaoondokaTafadhali achaneni nae kwani hana jipya wala msaada wowote ule Kikosini.
Mchezaji gani Kutwa anawaza kwenda Saluni, Kujiremba na Kujipodoa tu?
Binafsi simtaki ndani ya Kikosi chetu na naomba nae apewe Thank You upesi sawa?
Ha ha ha ha ha ha haPamoja na yote technical bench watengeneze Psychology ya wachezaji.
Fighting spirit haikuwepo kabisa kwa wachezaji last season.
Baada ya kupigwa 5- 1 timu ilipotea mpaka msimu ukaisha.
Magoma apewe funguo zake😄Ha ha ha ha ha ha ha
Na kwenye Ngao ya jamii kuna uwezekano Simba akatandikwa tena bao 3 mpaka 5.