Uongozi wa Simba SC nawaombeni sana Mechi zetu Mbili za Berkane na Gendamarie zote tuchezee Uhuru na siyo kwa Mkapa tena Saa 9 Alasiri

Uongozi wa Simba SC nawaombeni sana Mechi zetu Mbili za Berkane na Gendamarie zote tuchezee Uhuru na siyo kwa Mkapa tena Saa 9 Alasiri

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwanini......?

1. Kiufundi Uwanja wa Uhuru ni mdogo hivyo utawapa Changamoto akina Gendamarie na Berkane wanaopenda na waliozoea Viwanja vyao Vikubwa huko Kwao Niger na Morocco hivyo Kuwafunga kiurahisi.

2. Kiufundi Uwanja wa Uhuru ni mzuri kwakuwa Mashabiki 35,000 ambao wataruhusiwa wa Simba SC wakiingia Wote Nyomi litakuwa Kubwa, Watu watakuwa karibu na Uwanja na Shangilia yetu wana Simba SC basi Kelele zetu zinaweza kuwafanya hata Wenyewe akina Gendamarie na Berkane wawe kila mara tu Wanajifunga Magoli kwa Hofu na Ushangiliaji.

3. Kiufundi Uwanja wa Uhuru utatufaa Wazee wa Fitna na Umafia kwani kuna Umafia wa uhakika ( wafk Kimchezo ) tunataka Kuufanya Kimkakati hapo ili Waweze kupata vipigo Vitakatifu wote tu .
 
Kwa nini wasikuangalizie hata nafasi kilabuni kwa simba?
Maana unaushauri mzuri
 
Mechi ichezwe saa 7 mchana
Ila tuna uhakika kuwa Siku hiyo Jua litakuwa Kali ili nao Wakome kama walivyotukomesha Sisi kutuchezesha katika Baridi Kali Kwao?
 
Kwa nini wasikuangalizie hata nafasi kilabuni kwa simba?
Maana unaushauri mzuri
Tunaojitoa tena Kiupendo na Kiuchungu kama Sisi hatutakiwi, tunapuuzwa na wanaokubalika na Kupendwa hasa ni wale Wanafiki, Waongo, Wasiojua na Wapigaji ( Wazee wa 10% ) Mkuu.
 
Mechi za kimataifa bongo ni viwanja 2tu vimerusiwa sio kila kiwanja mech za caf zinachezwa
 
Hata mkicheza saa saa tano, bado sioni mkitoboa.
Ni Wivu wa mama wa nyumbani tu kwa mumewe.Tatizo hapa ni mama Yanga kufikiri kwamba mumewe simba huko nje anakoenda kucheza ana nyumba ndogo . Subiri bwana alete riziki , ule, unye , ukajaze choo na kisha ulale.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1]
 
Ni Wivu wa mama wa nyumbani tu kwa mumewe.Tatizo hapa ni mama Yanga kufikiri kwamba mumewe simba huko nje anakoenda kucheza ana nyumba ndogo . Subiri bwana alete riziki , ule, unye , ukajaze choo na kisha ulale.
Huu ni mfano mfu, zaidi wanamwona kahaba, kila akitoa mguu nyumbani unasikia kaliwa, tena kavu.
 
Huu ni mfano mfu, zaidi wanamwona kahaba, kila akitoa mguu nyumbani unasikia kaliwa, tena kavu.
Sina hakika kama wewe ni shabiki wa mpira labda rede. Hakuna timu isiyofungwa katika Ulimwengu huu wa soka. Vilabu vikubwa vinapigika hadi nyumbani. Iweje uone maajabu simba kufungwa , tena ugenini?
 
Mechi za kimataifa bongo ni viwanja 2tu vimerusiwa sio kila kiwanja mech za caf zinachezwa
Mkachezee ule uwanja wenu mpya mliojenga hivi karibuni.Naona hamvitaki viwanja vyote vya bongo🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom