Uongozi wa Simba SC nawaombeni sana Mechi zetu Mbili za Berkane na Gendamarie zote tuchezee Uhuru na siyo kwa Mkapa tena Saa 9 Alasiri

Sina hakika kama wewe ni shabiki wa mpira labda rede. Hakuna timu isiyofungwa katika Ulimwengu huu wa soka. Vilabu vikubwa vinapigika hadi nyumbani. Iweje uone maajabu simba kufungwa , tena ugenini?
Wewe ni ile aina ya wale watu wa Rage alioshindwa kuwapunguza hapo Simba. Soma hoja yako ya awali ilikuwa nini na ni kipi umejibiwa.
 
Mkachezee ule uwanja wenu mpya mliojenga hivi karibuni.Naona hamvitaki viwanja vyote vya bongo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu biashara za jezi za Vunjabei zinadhalilisha wachezaji wa Simba. Hebu angalia hii picha
 
Wewe ni ile aina ya wale watu wa Rage alioshindwa kuwapunguza hapo Simba. Soma hoja yako ya awali ilikuwa nini na ni kipi umejibiwa.
Vipi kuhusu ule msemo wa Manara kwamba Kule usukuleni wote ni hamnazo ?
Na vipi kuhusu ule msemo wa Luc Eymael kwamba Mashabiki wa utopolo ni kama manyani?
Umejibiwa kirahisi baada kuangukia kwenye makundi hayo yote mawili yaani lile la Manara na lile la Eymael
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…