Uongozi wa Simba SC, niliwatahadharisheni mapema mno kuhusu hili hapa JamiiForums na leo ndiyo mnalifanya acheni Dharau sawa?

Uongozi wa Simba SC, niliwatahadharisheni mapema mno kuhusu hili hapa JamiiForums na leo ndiyo mnalifanya acheni Dharau sawa?

Ungeandika kuhusu yale mambo ya kinyumenyume ningekuelewa
 
Kuna ukweli hapa miguu kama imefungwa magogo...
Mbona wale wanajificha huko Avic hawajionyeshi mazoezi yao
Chukua hii na Niamini kwa 100% kuwa performance mbaya ya Simba SC ya sasa inatokana na Wachezaji wa Simba SC Kurogwa kwa Majina yao Kufunikwa kabisa na Mtaalam Hatari wa Yanga SC kutoka Kilosa Mkoani Morogoro.

Je, unajua ni kwanini Fiston Mayele wa Yanga SC amewindwa mno na Waganga wa Simba SC ili wamemshindwa?

Je, unajua ni kwanini Clatous Chama wa Simba SC anawindwa mno na Waganga wa Yanga SC ila wamemshindwa?

Kwa sasa Majibu yao ninayahifadhi.
 
Toka mwanzo unaliongelea hili niliona ulikuwa sahihi sema tu watu walikuwa hawakuelewi
Asante Mkuu kwa Kunielewa haraka hapa JamiiForums. Kuna Watu wananichukulia poa ila hawajui tu Karama Kubwa niliyonayo.
 
GENTAMYCINE zaidi ya mara Tatu (tena hapa hapa) JamiiForums na Threads zangu zipo niliwaonyeni (niliwatahadharisheni) kuwa mkikaribia Kucheza Mechi Kubwa za Kimataifa na Kitaifa msiwe mnajiandaa (mnafanya Mazoezi) katika Uwanja wetu wa Bunju wa Mo Arena kwa sababu za ndani nilizowapa ila mkanipuuza.

Na tena GENTAMYCINE nikaenda mbele zaidi hadi Kuwaibieni Siri kuwa Wachezaji wa Simba SC Wamefungwa Miguu yao na Kiutendaji (Kiufanisi) Kiushirikina na Waganga wa Kienyeji wa Timu Moja (Kubwa nayo) nchini ili ifanye vibaya Kimataifa na katika Mechi za Kitaifa ila mkanipuuza Malaika Mimi wa Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi.

Simba SC niliwaambieni kuwa mnapokuwa mnafanya Mazoezi Kujiandaa na Mechi Muhimu za Kimataifa na hata za Kitaifa msiwe mnafanyia pale Bunju Mo Arena (bali Kajificheni eneo lingine) kwakuwa kuna Watu Wabaya (Wachawi) huveshwa Jezi za Simba SC na kila Wakija Kuangalia Mazoezi ya Simba SC huokota Udongo na Nyasi kisha Kuupeleka kwa Fundi (Mganga) ambaye huwa Anawaroga Wachezaji wetu wa Simba SC wasiwe na Viwango vyao na Wachoke kabisa.

Hongereni Uongozi wa Simba SC (japo mmechelewa mno) kwa sasa Kuamua (kile nilichowatahadharisheni b) kuhama huo Uwanja wa Bunju Mo Arena na kwenda Kufanyia Mazoezi eneo lingine kwa kile mlichosema kuwa Wachezaji wa Simba SC (Timu ya Simba SC ) inarogwa vibaya.

Sasa Viongozi wa Simba SC kama tu Rais Samia ananisoma GENTAMYCINE Kutwa ( 24/7 ) hapa JamiiForums na mengine ninayosema hapa huyafanyia Kazi Kwanini nyie huwa hamnisikii kila Nikiwaonya wakati mnajua kuwa Naipenda sana Simba SC yangu?
Mawazo ya kijima/kipopoma. Mjifiche, muwashe moto uwanjani au mpasue nazi njia panda, horoya lazima awapige.
 
Chukua hii na Niamini kwa 100% kuwa performance mbaya ya Simba SC ya sasa inatokana na Wachezaji wa Simba SC Kurogwa kwa Majina yao Kufunikwa kabisa na Mtaalam Hatari wa Yanga SC kutoka Kilosa Mkoani Morogoro.

Je, unajua ni kwanini Fiston Mayele wa Yanga SC amewindwa mno na Waganga wa Simba SC ili wamemshindwa?

Je, unajua ni kwanini Clatous Chama wa Simba SC anawindwa mno na Waganga wa Yanga SC ila wamemshindwa?

Kwa sasa Majibu yao ninayahifadhi.
Yani kabisaaaa.
 
Kama timu lenu bovu ni bovu tu
Tuache kutafuta mchawi ..timu ya Simba ni mbovu' tu na inahitaji 'overhaul ' Kwa wachezaji karibia zaidi ya 70 na kuiunda upya Kwa misimu ijayo...Hawa wachezaji wengi ndo uwezo umefika kwenye ceiling, na Kwa Sasa wanakula mishahara ya Bure tu, hats ukileta kocha gani itakuwa Bure!
 
img_2_1667389513507.jpg
Wachawi wanarogwaje?
 
Back
Top Bottom