GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mkiruhusu Wachezaji wafuatao watakuwa wanachezea sana Vipigo vyangu kwani ndiyo Wanatugharimu pakubwa Simba SC ila kwa Unafiki na Upopoma wetu tunajifanya hatujui na hatuoni.....
1. Clatous Chama
2. Henock Inonga
3. Said Ntibanzonkiza
4. Pape Ousmane Sakho
5. Shomary Kapombe
6. Kibu Denis
7. Saido Kanoute
Na kuna Mchezaji Mmoja tajwa hapa Kiwango chake Kinashuka haraka kwakuwa karudia Upuuzi wake wa Kuagiza Malaya kutoka South Africa na Kunywa Pombe kijiweni Kwake Beach Kidimbwi muda mwingine akiungwa mkono na Rafiki yake Wakili Chizi wa Jangwani Mafurikoni akiwa na Demu wake DJ wa Mawingu FM aishiye Mbezi Maua katika Nyumba ya Rubani maarufu wa ATCL.
1. Clatous Chama
2. Henock Inonga
3. Said Ntibanzonkiza
4. Pape Ousmane Sakho
5. Shomary Kapombe
6. Kibu Denis
7. Saido Kanoute
Na kuna Mchezaji Mmoja tajwa hapa Kiwango chake Kinashuka haraka kwakuwa karudia Upuuzi wake wa Kuagiza Malaya kutoka South Africa na Kunywa Pombe kijiweni Kwake Beach Kidimbwi muda mwingine akiungwa mkono na Rafiki yake Wakili Chizi wa Jangwani Mafurikoni akiwa na Demu wake DJ wa Mawingu FM aishiye Mbezi Maua katika Nyumba ya Rubani maarufu wa ATCL.