mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Mpira ni mchezo wa kihuni utake usitake.
Siku mtoto wa mjini Zachary Hans Pope anafariki nikajua ubingwa basi tena.
Mpira unataka wahuni na watoto wa mjini wenye uwezo wa kupora mchezaji anayetaka kusajiliwa na mahasimu kibabe, sasa Simba imekuwa ya kuporwa wachezaji airport kweli, bila wachezaji wazuri huwezi kuchukua ubingwa.
Simba inahitaji wahuni wa mpira na watoto wa mjini, kule utopwinyo kuna GSM msiwachukulie poa, hawa ndio home shopping center, hao ndio silent ocean, kipindi cha awamu ya nne kidogo wauze nchi. Nani asiyejua umafia wao na figisu zao bandarini enzi za awamu ya nne,ila mwamba Hans Pope alipambana nao kimafia.
Wasingeweza kushindana na mafia aliyetaka kumpindua Nyerere.
Simba SC wapisheni wahuni na watoto wa mjini ,hapo sio kanisani wala msikitini
Siku mtoto wa mjini Zachary Hans Pope anafariki nikajua ubingwa basi tena.
Mpira unataka wahuni na watoto wa mjini wenye uwezo wa kupora mchezaji anayetaka kusajiliwa na mahasimu kibabe, sasa Simba imekuwa ya kuporwa wachezaji airport kweli, bila wachezaji wazuri huwezi kuchukua ubingwa.
Simba inahitaji wahuni wa mpira na watoto wa mjini, kule utopwinyo kuna GSM msiwachukulie poa, hawa ndio home shopping center, hao ndio silent ocean, kipindi cha awamu ya nne kidogo wauze nchi. Nani asiyejua umafia wao na figisu zao bandarini enzi za awamu ya nne,ila mwamba Hans Pope alipambana nao kimafia.
Wasingeweza kushindana na mafia aliyetaka kumpindua Nyerere.
Simba SC wapisheni wahuni na watoto wa mjini ,hapo sio kanisani wala msikitini