rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Kwa kumbakiza Kocha Hitimana Simba SC na kumfukuza Kocha wa Viungo Zrane natamani leo tufungwe au 'tudroo' na Polisi Tanzania
Kuna Vitu vya Kipumbavu mno vinafanyika Simba SC na naomba leo Simba SC tufungwe au tutoke tu Sare na Police Tanzania ili Hasira zangu za Kufungwa 'Kimipango' na Jwaneng Galaxy nizijumuishe na za leo Usiku nije na Uzi wa Kusema Siri za Upumbavu wote uliopo na unaoendelea Simba SC. Hivi...www.jamiiforums.com
Ukimuona mtu leo anasema hivi kesho anageuka na kusema tofauti na alivyosema mwanzo ujue huyo ni MUHUNI. Maneno ya H.Polepole,mtu anayejitambua hawezi kusema Jambo bila kulifanyia utafiti wa kutosha Swot Analysis na akisema ujue ndiyo utakuwa msimamo wake.Watu wengi ambao leo husema hivi na baadae kubadilika hao ni wahuni wanasema Jambo kwa maslahi yao binafsi.Wewe na nafsi yako ipi ni enda wazimu? Mtu anayeandika hivi leo kisha kesho akayabadilika maandishi yake?
Kwa kumbakiza Kocha Hitimana Simba SC na kumfukuza Kocha wa Viungo Zrane natamani leo tufungwe au 'tudroo' na Polisi Tanzania
Kuna Vitu vya Kipumbavu mno vinafanyika Simba SC na naomba leo Simba SC tufungwe au tutoke tu Sare na Police Tanzania ili Hasira zangu za Kufungwa 'Kimipango' na Jwaneng Galaxy nizijumuishe na za leo Usiku nije na Uzi wa Kusema Siri za Upumbavu wote uliopo na unaoendelea Simba SC. Hivi...www.jamiiforums.com
Mchambuzi wa mchongo aka MuhuniMbele kwa Mbele na huwa sijali ya nyuma. Kwani nikiandkka kwa utofauti kulingana na Wakati na Mtizamo wangu kwa Hoja na Matukio Muhimu ni Kosa la Jinai au Tatizo?
Pumbavu.
Umeongea vema sana mkuu.Hakika ukimfatilia GENTAMYCINE threads zake zote utaona ni mtu mmoja hivi asiejielewaUkimuona mtu leo anasema hivi kesho anageuka na kusema tofauti na alivyosema mwanzo ujue huyo ni MUHUNI. Maneno ya H.Polepole,mtu anayejitambua hawezi kusema Jambo bila kulifanyia utafiti wa kutosha Swot Analysis na akisema ujue ndiyo utakuwa msimamo wake.Watu wengi ambao leo husema hivi na baadae kubadilika hao ni wahuni wanasema Jambo kwa maslahi yao binafsi.
Hii ndio ilikuwa sababu ya hayo yote yaliyotekea.Kwani ishu si ilikua ni sub ambayo kimsingi ilipaswa waingie wachezaji wawili kwa mpigo ila refa aliruhusu kuendeleza mpira wakati mchezaji mwingine yuko nje, na kumfanya pablo asimruhusu wawa kwasababu angefanya hivyo ni kosa ambalo lingeweza kuigharimu timu na kunyang'anywa point
mkuu umevizia kalewa amelala?
ukimuona online njoo pimana naye msuli[emoji1][emoji1]
Sindano imeshawaingia / imekuingieni.Hii Inaonesha ulivyo wa hovyo
Pimbi Babaako....!!!kocha ameshatolea ufafanuzi , mambo ya body language ni hisia zako za kipimbi
Msio na Akili mtakiamini hiki alichokisema hapa Kocha Mkuu Pablo Franco Martin, ila kwa Werevu tunajua kuwa kwa Kuleta Utulivu Kkosini, Kuficha Fukuto lililopo na Kufunika Kombe Mwanaharamu apite amelazimishwa na Uongozi kutoa aina hii ya Ufafanuzi ili Kuwalinda akina Matola na Rweymamu ambao ni Virusi ndani ya Kikosi na ndiyo wanaotumika mno na Manara na GSM katika Kuisaliti Simba SC kwa kutoa Siri za Kiufundi na Kamati ya Ufundi ( Uchawi ) kwa Yanga SC ambapo hupewa Pesa nyingi inayopitia kwa Mratibu Mkuu wa Mpango huu Said Tully.
Na kwa msiojua Washamba na Wapuuzi kama Dabil huyu Patrick Rweymamu ni Rafiki mkubwa wa Mnafiki Maulid Kitenge ( Mtangazaji wa EFM na TvE ) kisha Haji Manara na ndiyo huvujisha Kwao Siri nyingi ( za ndani ) za Simba SC Kwake.Rweymamu aliwahi kugombana na uchebe siku simba inacheza na mbeya city sababu uchebe anataka deo kanda aingie yeye anataka dilunga aingie mwisho kanda akaingia na akafunga goli. Baada ya kufunga uchebe akamfata rweymamu na kumwambia dilunga, dilunga. Pia ni mvushaji mkubwa wa taarifa za simba kwa vyombo vya habari. Yeye kama meneja wa timu anahusikaje na sub. Kama simba inataka kufanya vizuri wapelekwe timu b
Unateseka na Mimi ukitokea wapi 'Tula Tula' Mmoja Wewe?Ukimuona mtu leo anasema hivi kesho anageuka na kusema tofauti na alivyosema mwanzo ujue huyo ni MUHUNI. Maneno ya H.Polepole,mtu anayejitambua hawezi kusema Jambo bila kulifanyia utafiti wa kutosha Swot Analysis na akisema ujue ndiyo utakuwa msimamo wake.Watu wengi ambao leo husema hivi na baadae kubadilika hao ni wahuni wanasema Jambo kwa maslahi yao binafsi.
Huo ndio ukweli na hii ilikuwa imepangwa njama wala haikuwa bahati mbaya!! Ufahamu wa Pablo ndio uliotuokoa, aatu wanalazimisha kitu ambacho hata kocha amekipinga, amesema tatizo si la matola!!Kwani ishu si ilikua ni sub ambayo kimsingi ilipaswa waingie wachezaji wawili kwa mpigo ila refa aliruhusu kuendeleza mpira wakati mchezaji mwingine yuko nje, na kumfanya pablo asimruhusu wawa kwasababu angefanya hivyo ni kosa ambalo lingeweza kuigharimu timu na kunyang'anywa point
Wewe mchambuzi chupli chupli /mchambuzi wa mchongo unafanya kazi kwa majungu na manufaa yako binafsi.Kinyonga mkubwa wewe leo unasema hivi kesho unasema vile huna msimamo.Hovyo kabisa njaa inakusumbuaNa kwa msiojua Washamba na Wapuuzi kama Dabil huyu Patrick Rweymamu ni Rafiki mkubwa wa Mnafiki Maulid Kitenge ( Mtangazaji wa EFM na TvE ) kisha Haji Manara na ndiyo huvujisha Kwao Siri nyingi ( za ndani ) za Simba SC Kwake.
Aondolewe upesi Klabuni kwani ni Kirusi na kuendelea kuwa nae Meneja huyu wa Simba SC Rweymamu ni Kujitafutia 'Balaa' zaidi huko mbele ya Safari na msije Kulalamika kuwa sikuwashtueni na Kuwaonyeni pia hapa JamiiForums.