rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Rweymamu aliwahi kugombana na uchebe siku simba inacheza na mbeya city sababu uchebe anataka deo kanda aingie yeye anataka dilunga aingie mwisho kanda akaingia na akafunga goli. Baada ya kufunga uchebe akamfata rweymamu na kumwambia dilunga, dilunga. Pia ni mvushaji mkubwa wa taarifa za simba kwa vyombo vya habari. Yeye kama meneja wa timu anahusikaje na sub. Kama simba inataka kufanya vizuri wapelekwe timu b