one wisow
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,303
- 1,901
Za ndaaaani huko........
Inasemekana gsmu ajawapa bahasha leo dodoma jiji hivo bench la ufundi na wachezaji wamekosa motisha na wameshindwa kuikamia Simba kama ilivyokua kwa michezo ya awali.
Kwa hiyo lawama zote ziende kwa nyuma mwiko kwa kutotoa motisha na bahasha na dau nono kwa dodoma jiji ili waikamie simba.
Inasemekana gsmu ajawapa bahasha leo dodoma jiji hivo bench la ufundi na wachezaji wamekosa motisha na wameshindwa kuikamia Simba kama ilivyokua kwa michezo ya awali.
Kwa hiyo lawama zote ziende kwa nyuma mwiko kwa kutotoa motisha na bahasha na dau nono kwa dodoma jiji ili waikamie simba.