RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,564
Na overpayment hawakupi.Chuo Cha hovyo Sana hicho Kama unashindwa vipi kuwapa watu matokeo na unajua hela zao zipo Allocated na zote hizo ni Taasisi za Ccm ila haziaminiani what shit is?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na overpayment hawakupi.Chuo Cha hovyo Sana hicho Kama unashindwa vipi kuwapa watu matokeo na unajua hela zao zipo Allocated na zote hizo ni Taasisi za Ccm ila haziaminiani what shit is?
Una ushahidi?Menejimenti ya chuo cha UDOM huwa inauzembe mwingi tena wakukusudia.
Hasa, wahasibu. Hao ni tatizo. Wazembe, wapenda ngono mpaka basi.
Je Kama hajaona matokeo what if ana sup ? Na hajaona matokeo Bora alipe tu aangalie kama Hana supUsilipe ada direct. UDOM hawatarudisha hizo hela hasahasa hela ndogo .Kuna mshkaji wangu hakurudishiwa , aliishia kuzungushwa sana.
Kuna dogo mmoja alikuwa anamkatikia mhasibu bila kupenda pale udomNgono tena imeingiaje[emoji2]?
Tatizo mkuu hawalipi overpayment.Je Kama hajaona matokeo what if ana sup ? Na hajaona matokeo Bora alipe tu aangalie kama Hana sup
Eee bhana kisa nini?Kuna dogo mmoja alikuwa anamkatikia mhasibu bila kupenda pale udom
Ndo side effects za kuweka ngono na Kazi . Lazima mtumbwi uzameTatizo mkuu hawalipi overpayment.
Labda aitoe sadaka hiyo pesa.
Wanafunzi wameandika barua za kurejeshewa pesa zao tangu July but chuo kipo kimya.Usilipe ada direct. UDOM hawatarudisha hizo hela hasahasa hela ndogo .Kuna mshkaji wangu hakurudishiwa , aliishia kuzungushwa sana.
Wakubwa zako wanao!Una ushahidi?
Kisa?Kuna dogo mmoja alikuwa anamkatikia mhasibu bila kupenda pale udom
Hivi vyuo ni noma,Kuna kitu kinaendelea Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) baadhi ya Wanafunzi wanaolipiwa hela na mkopo na Bodi ya Mikopo (HESLB) wamefungiwa matokeo yao na chuo kwa madai Bodi haijaingiza pesa za ada chuoni.
Hivyo, uongozi wa UDOM umewataarifu Wanafunzi kuwa walipie wenyewe ada direct na kama bodi wakiingiza pesa wataandika barua kuzirudisha hela.
Kushindwa kufanya hivyo basi tambua kuwa hutapata matokeo na kama ulifeli utadisco, maana muda wa kufanya ‘SUP’ utakuwa umeisha ambao ni mwezi mmoja baada ya matokeo.
Je, hii ni sawa? na kwanini Bodi ya Mikopo icheleweshe pesa? Hili ni kosa la nani? Na Kwa wale wasio na uwezo wa kulipa hiyo pesa haraka hivyo hatima yao ikoje?
Ndio mkome kuchagua serikali ya wanafunzi vilaza
Mwanafunzi wa chuo kikuu Tanzania toka familia masikini anazama ktk mkondo wa madeni ya fedha za mkopo wa elimu ya juu huku akiwa anaimani na matumaini potofu ya Ilani ya CCM imeandika ahadi ya mambo ya uongo ya kupata ajira, mazingira ruhani kuwa wataweza kupata vyeo vya ulaji vya kisiasa UVCCM, kuwa MNEC Halmashauri Kuu ya CCM, mbunge wa CCM n.k au kuwepo mazingira (hewa) ya kujiajiri.Gabriel Boric on the Chilean Student Movement:
59,554Views :2017 14 Jun
In a presentation at the School of Public Policy on June 7, 2017; Gabriel Boric offers a historical perspective and reflects on lessons learned. He focuses especially on the role of social movements in a well-developed democracy and provides insights on how to sustain collective action over an extended period of time. He speaks also about his transition from being a member of a political movement to being a member of Parliament. Gabriel Boric is a Chilean parliamentarian, and a former leader of the national student movement. He was the president of the Student Federation of the Universidad de Chile, one of the most important student unions in the country. Boric currently represents the Magallanes and Antarctic Region in Chile’s Chamber of Deputies. He was elected as an independent candidate and is not associated with either one of the two political coalitions that have traditionally dominated politics in Chile. Source:
Department of Public Policy at CEU
Waende pale mlimani wakaulize kimetokea nini baada ya kulipa.Wasijichanganye kulipia ada zao...hizo pesa hata wakija kuandika barua mia moja hazitarudi...kutoa pesa kwenye account ya chuo ni mtihani sana...
Kuna kitu kinaendelea Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) baadhi ya Wanafunzi wanaolipiwa hela na mkopo na Bodi ya Mikopo (HESLB) wamefungiwa matokeo yao na chuo kwa madai Bodi haijaingiza pesa za ada chuoni.
Hivyo, uongozi wa UDOM umewataarifu Wanafunzi kuwa walipie wenyewe ada direct na kama bodi wakiingiza pesa wataandika barua kuzirudisha hela.
Kushindwa kufanya hivyo basi tambua kuwa hutapata matokeo na kama ulifeli utadisco, maana muda wa kufanya ‘SUP’ utakuwa umeisha ambao ni mwezi mmoja baada ya matokeo.
Je, hii ni sawa? na kwanini Bodi ya Mikopo icheleweshe pesa? Hili ni kosa la nani? Na Kwa wale wasio na uwezo wa kulipa hiyo pesa haraka hivyo hatima yao ikoje?
Kama Bodi wameshaingiza pesa za ada kwanini wanafunzi wenye over payments zao hawajalipwa?Nimepigiwa sim juzi na mdogo wangu akinitaka ada ya scenario kama hiyo na Chuo iko iko Udom, sema yeye alikuwa mkweli kuwa hakusaini ada na basa kamuonesha kabisa zile sheet na anadai watu wengi tu hawajasaini tena kwa uzembe wao wenyewe, bodi wamesharejssha pesa hazina hivyo inatakiwa walipe ili wafunguliwe matokeo
Wewe mleta mada unakuja kuchafua reputation ya Chuo huku mtandaoni unashindwa kusema kuwa hukusaini ada....
Kuna taasisi brand yake ni kubwa sana kuchafua reputation zao kienyeji kama hivi ni uongo