DOKEZO Uongozi wa UDOM unazuia matokeo ya mitihani kwa Wanafunzi ambao tumecheleweshewa malipo ya ada kutoka Bodi ya Mikopo

DOKEZO Uongozi wa UDOM unazuia matokeo ya mitihani kwa Wanafunzi ambao tumecheleweshewa malipo ya ada kutoka Bodi ya Mikopo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nimepigiwa sim juzi na mdogo wangu akinitaka ada ya scenario kama hiyo na Chuo iko iko Udom, sema yeye alikuwa mkweli kuwa hakusaini ada na basa kamuonesha kabisa zile sheet na anadai watu wengi tu hawajasaini tena kwa uzembe wao wenyewe, bodi wamesharejssha pesa hazina hivyo inatakiwa walipe ili wafunguliwe matokeo

Wewe mleta mada unakuja kuchafua reputation ya Chuo huku mtandaoni unashindwa kusema kuwa hukusaini ada....

Kuna taasisi brand yake ni kubwa sana kuchafua reputation zao kienyeji kama hivi ni uongo
Hii ndio shida vijana wengi awasemi ukweli wakijua sisi kaka zao atujapitia hayo wanayotupiga chenga yaaani hapo piga hua kwenye hii issues huyu alikimbia kusaini ada udom uwa sio wahuni kiasi hicho Hila ukizingua wanakuzingua wanasisitizaga sana kusaini ada wakiwa na maana lakini vijana wa Sasa wa hovyo kabisa wanaona wanapoteza mda wakipanga foleni ya kusaini ada matokeo yake ndo haya vilio vingi kipindi hiki
 
Juzi nilikua naongea na mwanachuo mmoja aseee Loan board sikuhizi mambo mengi sana yamebadilika!
 
Anasemaje mkuu
Ilikua kwenye mambo ya pesa ambazo HELSB huitoa kwa beneficiaries wao nowdays kuna mabadiliko tofauti na enzi hizo ! Sikuhizi kuna pesa haitolewi na wengine zikitolewa mara wanapewa wachawe hekaheka tupu!
Alikua BAED UDOM
 
Tatizo la bodi kuchelewasha pesa za ada lipo sana tu hasa kwa vyuo vya serikali

Lakini kwa ninavyo fahamu, chuo huwa kinaruhusu tu wanafunzi wafanye mitihani kama pesa imekuwa allocated tayari. Ndiyo utamaduni wa vyuo vingi vya serikali. Serikali ikileta, zitalipwa.

Japo viongozi wa hicho chuo wanaweza kuwa wazembe, sina shaka serikali ya wanafunzi hapo UDOM imejaa vilaza.
Kazi yao ni nini hasa??

Hili jambo lingetokea kipindi fulani tungeshuhudia kundi la wanafunzi wakiandama kutetea haki yao tena wakiongozwa na viongozi wa serikali ya wanafunzi. Hawa viongozi wa siku hizi wapo tu kuitukuza serikali. Waoga kupindukia. Wala hawajali matatizo ya wanafunzi wenzao.

Poleni.
Ukweli
 
Ilikua kwenye mambo ya pesa ambazo HELSB huitoa kwa beneficiaries wao nowdays kuna mabadiliko tofauti na enzi hizo ! Sikuhizi kuna pesa haitolewi na wengine zikitolewa mara wanapewa wachawe hekaheka tupu!
Alikua BAED UDOM
Mambo yanabadilika kila siku kadiri wanufaika wanavyozidi kuwa wengi
 
Back
Top Bottom