Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Mataputapu ya hivi huwa wanaandika mandunduka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Konde boy sio mchezaji muhimuKwa maandishi haya kweli huko nyuma mwiko wenye akili ni wawili tu
Vipi Simba nao wafuatilie maongezi ya percy tau na Konde boy?
Kwa akili hizi sijui tunaenda wapi! Yaani uzuie hata watu kuongea? Huu ni upumbavu! Scudu ameanzia soka kwenye academy ya Mamelodi unataka kumzuia asiongee na ndugu zake? Aziz Ki ni mchezaji mkubwa unataka kumzuia asiongee na makocha? Hii mbona hata Ulaya ipo sana!Nakumbuka baada ya game yao pale kwa Mkapa walipokuwa wanaongea, body language ilikuwa inaonyesha Kacha wa Mamelod kama anamsihi na kumsisitizia jambo fulani halafu Aziz kii akaonyesha kukubali kwa msisitizo wa kitikisa kichwa juu chini.
Pia lile kumbatio la Kocha wa Mamelod na Scudu nalo liliambatana na msisitizo fulani hivi
Wewe ndie ulisema una miaka 60 ?Nakumbuka baada ya game yao pale kwa Mkapa walipokuwa wanaongea, body language ilikuwa inaonyesha Kacha wa Mamelod kama anamsihi na kumsisitizia jambo fulani halafu Aziz kii akaonyesha kukubali kwa msisitizo wa kitikisa kichwa juu chini.
Pia lile kumbatio la Kocha wa Mamelod na Scudu nalo liliambatana na msisitizo fulani hivi
aziz ki hata akiondoka hakuna madhara makubwa yanga. ila pacome, na yule dogo wa ghana wakiondoka, ni shida
Watakusajiri wewe bintiYaani mamelodi wamsajiri Aziza? Acheni makusudi nyie.
Sawa mama yangu wa kambo.Watakusajiri wewe binti
HayaKonde boy sio mchezaji muhimu
acha wivu wa kike kila mtu anatafta maishaNakumbuka baada ya game yao pale kwa Mkapa walipokuwa wanaongea, body language ilikuwa inaonyesha Kacha wa Mamelod kama anamsihi na kumsisitizia jambo fulani halafu Aziz kii akaonyesha kukubali kwa msisitizo wa kitikisa kichwa juu chini.
Pia lile kumbatio la Kocha wa Mamelod na Scudu nalo liliambatana na msisitizo fulani hivi
Kwani kuna shida gani wewe dunduka? waache waongee tu simba ingekuwa na wachezaji wazuri kocha wa al ahly nae angefanya kama mwenzake wa mamelodi.Nakumbuka baada ya game yao pale kwa Mkapa walipokuwa wanaongea, body language ilikuwa inaonyesha Kacha wa Mamelod kama anamsihi na kumsisitizia jambo fulani halafu Aziz kii akaonyesha kukubali kwa msisitizo wa kitikisa kichwa juu chini.
Pia lile kumbatio la Kocha wa Mamelod na Scudu nalo liliambatana na msisitizo fulani hivi
Okay baby girlSawa mama yangu wa kambo.
Okay baby girlSawa mama yangu wa kambo.
Kumbe bado unakumbuka baba anavyokuitaga!Okay baby girl
NotedK
Kumbe bado unakumbuka baba anavyokuitaga!
Uwe unamfanyia yeye tu hivyo ila ukae ukijua baba asipokuwepo ukazidisha mazoea ninakupelekea moto tu bila kujali kuwa wewe ni mke wa baba.
Jangwani hakuna timu ya kushinda!Mtashinda msiwe na wasiwasi