Uongozi wa Yanga, mnapotaka twende ndiyo tunapataka

Mtalinywa ninyi mnaodai point 3 kwenye mechi iliyopigwa kalenda.Mmeingia hasara ya maandalizi na hasara mtapata zaidi πŸ˜‚
Unaumia na Yanga ukiwa wapi? Tuje kukupoza machungu. Hii ndiyo Yanga kama maji. Msipoyaoga mtayanywa tu. Sisi ndiyo wana wa Jangwani πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°
 
Tushamaliza tukutane mechi ijayo.

Nyie endeleeni na msimamo wa kugomea mechi zote zilizo bakia.
 
Yaani mnakimbia mechi kwa sababu ya kuogopa kufungwa, halafu bado mnapata ujasiri wa kuendelea kutuletea mashudu yenu humu jukwaani.
Tate mkuu YAANI KUMBE YANGA MNAOGOPA MBUZI KIASI HICHO.Mnataka kuchoma basi sababu ya mbuzi kweli
 
Siimba yupo shirikisho hukoo.
 
Mtalinywa ninyi mnaodai point 3 kwenye mechi iliyopigwa kalenda.Mmeingia hasara ya maandalizi na hasara mtapata zaidi πŸ˜‚
Hili sasa ndilo lililokua lengo la simba kuwaingiza hasara wenzao. Naanza kupata picha. Haikua bahati mbaya ile sinema pale
 
haya mambo msifike huko please. yaishe mpira uchezeke . mnataka yapeleka mbali sana msitake kuharibu image ya yanga nje ya nchi. haya mambo yawe yana baki humu humu ndani sababu hata ligi yetu itaonekana ni dhaifu
 
Mlishauriwa msajili wachezaji wa maana mkawa mnafanya mchezo mkitegemea mbeleko ya Tff, ona sasa mnavyo dhalilika.
Simba ina aibika, Tff ina aibika, mbinu zilizobaki ni kukimbia mechi.

Poleni sana, Mpira ni uwekezaji mtaendelea kutandikwa uwanjani mpaka mtakapo jifunza.
 
 
Usitutishe we KOLO WA MAKOLO
 
wacha nyenyenye wewe andazi...point 3 na goli 3 za mezani ni lazma kwa yanga
 
GSM alikupa mimba akaikataa
Mbona una chuki na mfanyabiashara anayetangaza bidhaa zake
Aliondoa udhamini wewe una bidhaa ya kwenda kutangaza na kudhamini hizo timu
Yaani GSM asidhamini timu kisa wewe masikini unaandika mashudu na ki infinix chako
 
Kenge maji wewe. Unaweweseka nini?
 
Mbona mnachelewa? Wewe uitishe Yanga????? Kafufueni hata ya mwaka 1950. Hatujali na hatutishiki. Mfanye uhuni kwenye soka, halafu mnataka tuwafate kama kondoo, mlioenda nao usiku Taifa thubutu. Mmelikoroga lazima mlinywe.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Kumbe walienda mpaka na kondoo.! mimi nilifikiri walibeba njiwa na mzoga wa kichwa cha mbuzi tu
 
Wacha nikusaide vielelezo mkuu
 

Attachments

  • 20241229_070802.jpg
    100 KB · Views: 1
  • 20241225_065945.jpg
    116.7 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…