Uongozi wa Yanga, mnapotaka twende ndiyo tunapataka

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Kumbe walienda mpaka na kondoo.! mimi nilifikiri walibeba njiwa na mzoga wa kichwa cha mbuzi tu
Acha kabisa, si kondoo tu kulikuwa na mbuzi na vibabu vyote vifupi 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 litimu linaamini uchawi. Wakiambiwa wasajili wachezaji wazuri, wanabania fedha.
 
Aliyeandika hii alikuwa amelewa?
 
Hawa sio wakusubiri simba nemdeni FIFA mkaanike uozo wa Yanga hata sisi mashabiki wa Simba tutasaidia ushahidi bila kupepesa macho
 
haya mambo msifike huko please. yaishe mpira uchezeke . mnataka yapeleka mbali sana msitake kuharibu image ya yanga nje ya nchi. haya mambo yawe yana baki humu humu ndani sababu hata ligi yetu itaonekana ni dhaifu
Tumeshachoka na kudhoofika na Yanga hii inayojiona kama Nchi ndani ya Nchi chini ya Rais fake non eng. Herness
 
acha kutishia,kama una ushahidi si uutoe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…