Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,159
- 2,844
Acheni ujinga mechanical faults ni kitu cha kawaida hauja wahi kuharibikiwa gari wewe? watanzania mna ujuaji wa kijinga mechi ipo Friday upuliziwe sumu Tuesday? punguzeni ujuaji hebu niambie kile kitendo cha kukwama pale dakika 30 kinauhusiano gani na matokeo ya uwanjani?Kama viongozi mnania ya kuihujumu timu, tuambieni mapema tujiandae kisaikolojia na tusipoteze mda wa kwenda vibanda umiza kucheck game.
KUKUBALI KUPANDA GARI LA MAMELODI WKT MNAJUA UWEZEKANO WA KUWEKEWA SUMU NI UPUUZI.
NA KAMA MLIKUWA MEKOSA NAULI YA KUKODI BASI BINAFSI MNGESEMA TUPITISHE BAKURI
Bila picha au video ni alkasusu iliyofubaa.Kama viongozi mnania ya kuihujumu timu, tuambieni mapema tujiandae kisaikolojia na tusipoteze mda wa kwenda vibanda umiza kucheck game.
KUKUBALI KUPANDA GARI LA MAMELODI WKT MNAJUA UWEZEKANO WA KUWEKEWA SUMU NI UPUUZI.
NA KAMA MLIKUWA MEKOSA NAULI YA KUKODI BASI BINAFSI MNGESEMA TUPITISHE BAKURI
Possession haifuzu, bali magoli yanaiwezesha timu kufuzuNani akuwekee sumu wakati timu haina uwezo inapigiwa possession 74 kwa 26 tena ikiwa kwao sasa wakuwekee sumu ya nini na umesha jifia
Possession FCNani akuwekee sumu wakati timu haina uwezo inapigiwa possession 74 kwa 26 tena ikiwa kwao sasa wakuwekee sumu ya nini na umesha jifia
Kila msimu wanakuja na makombe tofauti, hili la possession nalo ni kombe usikute.
Timu imepokelewa na Watanzania wakiongozwa na balozi punguzeni ujuwaji.Imenifikirisha sana kutoka Jose hadi Pretoria nadhani haizidi saa Moja tena inaweza kuwa chini ya hapo wangekodi
Wasiwaamini sana wala wasiwe wastaraabu wachukue tahadhari
Pia wachezaji walipaswa kupunga mikono na ku show love kwa wale jamaa waliowapokea pale airport badala yake vimeweka ustar tena
Hadi kibwana.
Baki nyumbaniKama viongozi mnania ya kuihujumu timu, tuambieni mapema tujiandae kisaikolojia na tusipoteze mda wa kwenda vibanda umiza kucheck game.
KUKUBALI KUPANDA GARI LA MAMELODI WKT MNAJUA UWEZEKANO WA KUWEKEWA SUMU NI UPUUZI.
NA KAMA MLIKUWA MEKOSA NAULI YA KUKODI BASI BINAFSI MNGESEMA TUPITISHE BAKURI
wewe wala kanuni za caf huzijui ukae kimyaKama viongozi mnania ya kuihujumu timu, tuambieni mapema tujiandae kisaikolojia na tusipoteze mda wa kwenda vibanda umiza kucheck game.
KUKUBALI KUPANDA GARI LA MAMELODI WKT MNAJUA UWEZEKANO WA KUWEKEWA SUMU NI UPUUZI.
NA KAMA MLIKUWA MEKOSA NAULI YA KUKODI BASI BINAFSI MNGESEMA TUPITISHE BAKURI
Na ile ya juzi juzi hapa kwa mkapa
Ni kanuni bro, tena za caf na sio yanga... Mwenyeji anamuandalia mgeni usafiriKama viongozi mnania ya kuihujumu timu, tuambieni mapema tujiandae kisaikolojia na tusipoteze mda wa kwenda vibanda umiza kucheck game.
KUKUBALI KUPANDA GARI LA MAMELODI WKT MNAJUA UWEZEKANO WA KUWEKEWA SUMU NI UPUUZI.
NA KAMA MLIKUWA MEKOSA NAULI YA KUKODI BASI BINAFSI MNGESEMA TUPITISHE BAKURI
Hahahahaha..kuna timu wote ni mbumbumbu ujue