Uongozi wa Yanga ulimharibu Gamondi wenyewe, haribuni na huyu

Uongozi wa Yanga ulimharibu Gamondi wenyewe, haribuni na huyu

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Team working (kufanyakazi kwa pamoja) hakumaanishi kusogeleana sana kimwili kati ya viongozi na watumishi wake, bali ni kiongozi kufanya na kuwepo pale unapohitajika kuwepo kwa wakati na wale wanaokuhitaji na kufanya Yale unayopaswa kufanya kwenye taasisi kwa wakati.

Viongozi wa Yanga walikuwa wakiimba, kucheza, kunywa na kula na kocha Gamondi. Kuna wakati kiongozi alikuwa anambeba na kumsifia mno Gamondi. Hii ilisababisha kocha kufanya kazi kwa mazoea badala ya malengo ya club.

Viongozi wakuu walikuwa karibu mno na kocha na wachezaji kiasi cha kupoteza hofu ya kazi kwa kocha na wachezaji na kocha alikuwa karibu mno na wachezaji wake kiasi cha kupoteza hofu ya kazi kati ya wachezaji na kocha wao.

Hofu ya kazi ikipotea inashusha ufanisi katika kazi. Yaani mfano, kama mhudumu wa vinywaji atakuwa karibu sana na supervisor hata wateja hawatapata huduma iliyotukuka.

Viongozi wakuu acheni kusogelea sana makocha na wachezaji wenu. Nyie jikiteni zaidi katika kutimiza majukumu yenu TU ili Kila mtu ajihisi Yuko kazini na ni sehemu ya timu. Kiongozi mkuu anaposifia wachezaji hawa hadharani na kuwaacha wale inashusha morali kambini. Kama Kuna Aziz Ki day lakini hakuna Kibwana day unategemea nini? Bacca day bila Mzize day ni upuuzi sawa na upuuzi mwingine TU.
 
Walifanya hayo makosa lakini Yanga akawa bingwa
Yanga inacheza CAFCL lakini timu lako Linacheza mashindano ya akina mama aka shirikisho
Vijana wanaongeza kwa mtindo wa "try and error", hawana principles Wala falsafa inayowaongoza. Wanaongea na kutenda bila kujua wanapatia au wanakosea. Lazima kuwe na social distance kati na mwajili na mwajiliwa ili heshima na nidhamu kazini ibaki pahala pake.

Mgema akisifiwa sana tembo atalitia maji. Hata wazee waliokuja na misemo hii walikuwa na akili kuliko hawa. Hata kwenye ngazi ya familia hawezi mzazi kumsifu saaaana mtoto mmoja mbele ya watoto wenzake, watamuua mwezao huyo. Kiongozi huwezi kujitokeza hadharani mbele ya kamera na kumsifia mchezaji kama vile wale wengine hukuwaleta wewe. Wacha kazi zao zishindane zenyewe uwanjani ili wajihukumu wenyewe kwa maslahi ya timu.
 
Vijana wanaongeza kwa mtindo wa "try and error", hawana principles Wala falsafa inayowaongoza. Wanaongea na kutenda bila kujua wanapatia au wanakosea. Lazima kuwe na social distance kati na mwajili na mwajiliwa ili heshima na nidhamu kazini ibaki pahala pake.

Mgema akisifiwa sana tembo atalitia maji. Hata wazee waliokuja na misemo hii walikuwa na akili kuliko hawa. Hata kwenye ngazi ya familia hawezi mzazi kumsifu saaaana mtoto mmoja mbele ya watoto wenzake, watamuua mwezao huyo. Kiongozi huwezi kujitokeza hadharani mbele ya kamera na kumsifia mchezaji kama vile wale wengine hukuwaleta wewe. Wacha kazi zao zishindane zenyewe uwanjani ili wajihukumu wenyewe kwa maslahi ya timu.
Tulia kolo wewe
 
Team working (kufanyakazi kwa pamoja) hakumaanishi kusogeleana sana kimwili kati ya viongozi na watumishi wake, bali ni kiongozi kufanya na kuwepo pale unapohitajika kuwepo kwa wakati na wale wanaokuhitaji na kufanya Yale unayopaswa kufanya kwenye taasisi kwa wakati.

Viongozi wa Yanga walikuwa wakiimba, kucheza, kunywa na kula na kocha Gamondi. Kuna wakati kiongozi alikuwa anambeba na kumsifia mno Gamondi. Hii ilisababisha kocha kufanya kazi kwa mazoea badala ya malengo ya club.

Viongozi wakuu walikuwa karibu mno na kocha na wachezaji kiasi cha kupoteza hofu ya kazi kwa kocha na wachezaji na kocha alikuwa karibu mno na wachezaji wake kiasi cha kupoteza hofu ya kazi kati ya wachezaji na kocha wao.

Hofu ya kazi ikipotea inashusha ufanisi katika kazi. Yaani mfano, kama mhudumu wa vinywaji atakuwa karibu sana na supervisor hata wateja hawatapata huduma iliyotukuka.

Viongozi wakuu acheni kusogelea sana makocha na wachezaji wenu. Nyie jikiteni zaidi katika kutimiza majukumu yenu TU ili Kila mtu ajihisi Yuko kazini na ni sehemu ya timu. Kiongozi mkuu anaposifia wachezaji hawa hadharani na kuwaacha wale inashusha morali kambini. Kama Kuna Aziz Ki day lakini hakuna Kibwana day unategemea nini? Bacca day bila Mzize day ni upuuzi sawa na upuuzi mwingine TU.
Kunamchezaji amepata day mara zaidi ya moja na wengine wakakosa?
 
Vijana wanaongeza kwa mtindo wa "try and error", hawana principles Wala falsafa inayowaongoza. Wanaongea na kutenda bila kujua wanapatia au wanakosea. Lazima kuwe na social distance kati na mwajili na mwajiliwa ili heshima na nidhamu kazini ibaki pahala pake.

Mgema akisifiwa sana tembo atalitia maji. Hata wazee waliokuja na misemo hii walikuwa na akili kuliko hawa. Hata kwenye ngazi ya familia hawezi mzazi kumsifu saaaana mtoto mmoja mbele ya watoto wenzake, watamuua mwezao huyo. Kiongozi huwezi kujitokeza hadharani mbele ya kamera na kumsifia mchezaji kama vile wale wengine hukuwaleta wewe. Wacha kazi zao zishindane zenyewe uwanjani ili wajihukumu wenyewe kwa maslahi ya timu.
N
Vijana wanaongeza kwa mtindo wa "try and error", hawana principles Wala falsafa inayowaongoza. Wanaongea na kutenda bila kujua wanapatia au wanakosea. Lazima kuwe na social distance kati na mwajili na mwajiliwa ili heshima na nidhamu kazini ibaki pahala pake.

Mgema akisifiwa sana tembo atalitia maji. Hata wazee waliokuja na misemo hii walikuwa na akili kuliko hawa. Hata kwenye ngazi ya familia hawezi mzazi kumsifu saaaana mtoto mmoja mbele ya watoto wenzake, watamuua mwezao huyo. Kiongozi huwezi kujitokeza hadharani mbele ya kamera na kumsifia mchezaji kama vile wale wengine hukuwaleta wewe. Wacha kazi zao zishindane zenyewe uwanjani ili wajihukumu wenyewe kwa maslahi ya timu.
Nakuunga mkono hilo la kusifia wachezaji wa kigeni mbele ya kamera
 
Vijana wanaongeza kwa mtindo wa "try and error", hawana principles Wala falsafa inayowaongoza. Wanaongea na kutenda bila kujua wanapatia au wanakosea. Lazima kuwe na social distance kati na mwajili na mwajiliwa ili heshima na nidhamu kazini ibaki pahala pake.

Mgema akisifiwa sana tembo atalitia maji. Hata wazee waliokuja na misemo hii walikuwa na akili kuliko hawa. Hata kwenye ngazi ya familia hawezi mzazi kumsifu saaaana mtoto mmoja mbele ya watoto wenzake, watamuua mwezao huyo. Kiongozi huwezi kujitokeza hadharani mbele ya kamera na kumsifia mchezaji kama vile wale wengine hukuwaleta wewe. Wacha kazi zao zishindane zenyewe uwanjani ili wajihukumu wenyewe kwa maslahi ya timu.
Kolo una muhaho
 
Huo ushauri ungejikita zaidi kwa timu yako huko shirikisho, Ya wakubwa waachie wakubwa.
 
Ahsante kwa taarifa!
Yanga Iko imara kwakuwa wanayanga Wana tabia ya kuzipenda timu yao na kuupenda mpira. Hawapendi kiongozi, kocha Wala mchezaji. Kila mtu anaweza kuondolewa wakati wowote ispokuwa shabiki na mwanachama TU.
 
Yanga Iko imara kwakuwa wanayanga Wana tabia ya kuzipenda timu yao na kuupenda mpira. Hawapendi kiongozi, kocha Wala mchezaji. Kila mtu anaweza kuondolewa wakati wowote ispokuwa shabiki na mwanachama TU.
Pole umesema ukweli wamekubadilishia timu umekuwa Simba.
Sasa hivi katangazwa Dube Day.Kenge hasikii mpaka atoke damu puani.Akiona damu ndio anazinduka.
Anayewajaza upepo wachezaji wenu ni msema ovyo Ali Kamwe. Sifa zikizidi uwezo ndio bakora huwa zinafuatia.
 
A
Pole umesema ukweli wamekubadilishia timu umekuwa Simba.
Sasa hivi katangazwa Dube Day.Kenge hasikii mpaka atoke damu puani.Akiona damu ndio anazinduka.
Anayewajaza upepo wachezaji wenu ni msema ovyo Ali Kamwe. Sifa zikizidi uwezo ndio bakora huwa zinafuatia.
Ali Kamwe ni shabiki zaidi kuliko kiongozi, ameshindwa kuvitumikia vyote kwa wakati mmoja .
 
Kama viongozi wanatafutia wachezaji mademu,hiyo ni timu ama kundi la wapuuzi
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Back
Top Bottom