PUFF DADDY
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 391
- 803
uto Acha zarauWewe ulipelekwa Kwa mchezaji Gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uto Acha zarauWewe ulipelekwa Kwa mchezaji Gani?
Nambie kijanauto Acha zarau
Chikolaaaaaaaaaaaaa..!!Nambie kijana
Leo weekend sibanduki jf
Nawapopoa wahafidhina wote
Time ninayo ya kutosha
Nenda shirikishoChikolaaaaaaaaaaaaa..!!
Naona leo mmeamua kupasuana wenyewe kwa wenyewe uto kwa uto ngoja tuwaache mtoane kamasi.Nambie kijana
Leo weekend sibanduki jf
Nawapopoa wahafidhina wote
Time ninayo ya kutosha
Tupo club bingwaNaona leo mmeamua kupasuana wenyewe kwa wenyewe uto kwa uto ngoja tuwaache mtoane kamasi.
sawa kafiri wamotoniNambie kijana
Leo weekend sibanduki jf
Nawapopoa wahafidhina wote
Time ninayo ya kutosha
Unakunywa ngada...Walifanya hayo makosa lakini Yanga akawa bingwa
Yanga inacheza CAFCL lakini timu lako Linacheza mashindano ya akina mama aka shirikisho
,😄😄Unakunywa ngada...
Sasa imekuwaje tena anafukuzwa?Walifanya hayo makosa lakini Yanga akawa bingwa
Yanga inacheza CAFCL lakini timu lako Linacheza mashindano ya akina mama aka shirikisho
Yanga Kuna utoto mwingi, kinachofanya Yanga ishinde ni uimara wa wachezaji (GSM) walionao.Sasa imekuwaje tena anafukuzwa?
Nani kawa tena kuwadi?Kama viongozi wanatafutia wachezaji mademu,hiyo ni timu ama kundi la wapuuzi
Katika washabiki wajinga wa Yanga wewe pia umo.Walifanya hayo makosa lakini Yanga akawa bingwa
Yanga inacheza CAFCL lakini timu lako Linacheza mashindano ya akina mama aka shirikisho
Uongozi ni taaluma yenye elimu, ujuzi na misingi yake, tunawakumbusha TU maana tunajua kuwa wanajua ila wanajisahau tyuu. Wao Wanazo faidi mbili za ajira na furaha lakini ss tunayo faida Moja TU ya furaha. Hivyo tunakumnushana ili furaha yetu isituponyoke kiboyaboya.Naona leo mmeamua kupasuana wenyewe kwa wenyewe uto kwa uto ngoja tuwaache mtoane kamasi.
Ha ha ha, mashindano ya rede ya loosers aka single mothers!!Walifanya hayo makosa lakini Yanga akawa bingwa
Yanga inacheza CAFCL lakini timu lako Linacheza mashindano ya akina mama aka shirikisho