Uongozi wa Yanga umuonye Haji Manara, utoe tamko tafadhali hatutaki shida za Simba Yanga

Uongozi wa Yanga umuonye Haji Manara, utoe tamko tafadhali hatutaki shida za Simba Yanga

Kama uwe na msemaji wa serikali na uwe na waziri wa habari.

Ni vitu tofauti na havihusiani.
Nafikiri shida ni kwamba manara hapendwi na wanayanga, wanamchekea tu kinafki lakini hawajasahu matusi na dhihaka zake kipindi yupo simba., hata ivyo idara ya habari hakuna pengo kiasi kwamba iwe lazima manara apenyeshwe.
 
Yanga ni taasisi inayoheshimika inayojiheshimu

Sidhani huuu uhuni unaotokea kwenye redio za heshima ukifanywa na Haji Manara kama unakubalika

Haiwezekana taasisi moja ikawa na wasemaji wawili

Ali Kamwe ana haki kuimba kujiuzulu hamuwezi kumkalia kimya mpaka sasa Haji akitamka yeye ndie msemaji wa Yanga.

Kama mnawasemaji wawili tunaomba mamlaka za uongozi zitoe tamko pls mbele ya waandishi wa habari

Na kama ni mmoja mtoe tamko na mumwonye Haji Manara kujitangaza yeye ni msemaji wa Yanga

Haya mambo hayavumiliki hii sio Simba
Yanga hawakuwa na sababu za kumrudisha huyo jumapili. Zama zake zilishapita na dirisha mango alioingilia alipaswa kurudia huo huo. Tambo zake za kizamani nahisi yeye ndiyo ana mdomo Afrika nzima.
 
Kama uwe na msemaji wa serikali na uwe na waziri wa habari.

Ni vitu tofauti na havihusiani.
Mlinganisho batili. Waziri wa Habari hajihusishi na habari za serikali pekee bali na kuisimamia tasnia ya habari kiujumla. Msemaji wa Serikali anahusika na utoaji wa habari za serikali na siyo kuizungumzia tasnia nzima ya habari. Sioni ni jinsi gani mfano huu unalingana na hao kina Kamwe.

Kiufupi, wamejaribu tu kuweka mazingira ya wote wawili wawepo ila katika mazingira ya kawaida isingekuwa mtu wa level ya Manara, alitakiwa mmoja apewe majukumu mengine au apigwe chini.

By the way, cheo cha "Waziri wa Habari" kimepitwa na wakati ila huo ni mjadala mwingine.
 
Yanga wanajichanganya wenyewe. Club licencing inasema kuwe na msemaji wa club ili kuepusha mmololongo wa watu watoa taarifa kama zamani ilivyokuwa katibu mwenezi naongea, mwenyekiti anaongea, katibu anaongea, mweka hazina anaongea kifupi ilikuwa vurugu. Sasa hawa Yanga sijui wanaendesha vipi ofisi yao, wachague mmoja awe msemaji basi kuepusha hii mikanganyiko isiyo na faida. Juzi nmeshangaa kwenye press ndogo ya kutangaza mdhamini anaendesha press mwanasheria wa club badala ya CEO.
 
Nafikiri shida ni kwamba manara hapendwi na wanayanga, wanamchekea tu kinafki lakini hawajasahu matusi na dhihaka zake kipindi yupo simba., hata ivyo idara ya habari hakuna pengo kiasi kwamba iwe lazima manara apenyeshwe.
Yanga wanajichanganya wenyewe. Club licencing inasema kuwe na msemaji wa club ili kuepusha mmololongo wa watu watoa taarifa kama zamani ilivyokuwa katibu mwenezi naongea, mwenyekiti anaongea, katibu anaongea, mweka hazina anaongea kifupi ilikuwa vurugu. Sasa hawa Yanga sijui wanaendesha vipi ofisi yao, wachague mmoja awe msemaji basi kuepusha hii mikanganyiko isiyo na faida. Juzi nmeshangaa kwenye press ndogo ya kutangaza mdhamini anaendesha press mwanasheria wa club badala ya CEO.
Siwashangai, hawaelewi umuhimu wa uwepo wake hapo Yanga.
 
Hana umuhimu wowote, hatumtaki Yanga.

Kama mnapenda sana mchukuweni awe msemaji wa msikiti wa Mtoro.

Kumbuka huyu domo bwabwaja hata ccm wamenawa mikono hatakiwi.
Umeshaambiwa huyo mzima mzima ni kitendea kazi na si kiungo kimoja ambacho kinatafutwa. Yanga hii ina imani nyeusi sana
 
Hakuna mwana Uto mwenye ubavu wa kumrekebisha Manara
 
Na leo ndiyo kawatia dole kabisa watu wamekereka sana kwa mbwembe zake za kitoto na kupoteza muda
 
Back
Top Bottom