KERO Upandaji wa madaraja Singida DC viongozi wana janja janja kibao ambazo hazina tija

KERO Upandaji wa madaraja Singida DC viongozi wana janja janja kibao ambazo hazina tija

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Gichbo

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2023
Posts
350
Reaction score
390
Wizara ya OR_TAMISEMI na Utumishi iangalieni halmashauri ya Singida kwa jicho la tatu, upandaji wa madaraja unaweza usiwezekane kwa uzembe wa maofisa wa ofisi hizo. Naomba wakubwa lifuatilieni hili watumishi wapate haki zao, janjajanja kibao ambazo hazina tija, inshort kuna uzembe wa wazi
 
Pole ticha 🤣🤣🤣
Huwa mnadhani daraja litabadili maisha yenu lkn mpaka mnazeeka bado mnaandamwa na kausha damu...
Mtotowangu wa kiume akijakuwa mwalimu Natalia sanaaa😭😭😭
 
rWizara ya OR_TAMISEMI na Utumishi iangalieni halmashauri ya Singida kwa jicho la tatu,upandaji wa madaraja unaweza usiwezekane kwa uzembe wa maofisa wa ofisi hizo.Naomba wakubwa lifuatilieni hili watumishi wapate haki zao,janjajanja kibao ambazo hazina tija, inshort kuna uzembe wa wazi
Taarifa kama hizi andika Kwa ufasaha,Nini exactly wafuatilie na wapi uzembe upo,siyo haraka hivi
 
Wizara ya OR_TAMISEMI na Utumishi iangalieni halmashauri ya Singida kwa jicho la tatu,upandaji wa madaraja unaweza usiwezekane kwa uzembe wa maofisa wa ofisi hizo.Naomba wakubwa lifuatilieni hili watumishi wapate haki zao,janjajanja kibao ambazo hazina tija, inshort kuna uzembe wa wazi
Uzembe upi?
 
Wizara ya OR_TAMISEMI na Utumishi iangalieni halmashauri ya Singida kwa jicho la tatu,upandaji wa madaraja unaweza usiwezekane kwa uzembe wa maofisa wa ofisi hizo.Naomba wakubwa lifuatilieni hili watumishi wapate haki zao,janjajanja kibao ambazo hazina tija, inshort kuna uzembe wa wazi
Hili suala sio la SINGIDA DC pekee, ndugu.Hili suala lipo kwenye halmashauri nyingi nchini, Maelekezo ya serikalu yalikuwa wazi na yalitolewa mapema hivyo kutakiwa kufanyiwa kazi mapema ili walimu wapate mshahara mpya tarehe 23 june -2024. Lkn kwenye halmashauri nyingi, mambo sivyo kwani walimu hawajabadilishiwa madaraja yao ili hali barua ya Katibu mkuu ilisema mwisho tarehe 6.6.2024. Waziri wa UTUMISHI wa Umma na OR-TAMISEMI Fuatilieni hili jambo.
 
Hawa watu wa utumishi huwa wanajiona miungu watu, serikali ninapendekeza iwachukulie hatua kali kwa uzembe wa makusudi
Hili suala sio la SINGIDA DC pekee, ndugu.Hili suala lipo kwenye halmashauri nyingi nchini, Maelekezo ya serikalu yalikuwa wazi na yalitolewa mapema hivyo kutakiwa kufanyiwa kazi mapema ili walimu wapate mshahara mpya tarehe 23 kune -2024. Lkn kwenye halmashauri nyingi, mambo sivyo kwani walimu hawajabadilishiwa madaraja yao ili hali barua ya Katibu mkuu ilisema mwisho tarehe 6.6.2024. Waziri wa UTUMISHI wa Umma na OR-TAMISEMI Fuatilieni hili jambo.
 
Hawa watu wa utumishi huwa wanajiona miungu watu, serikali ninapendekeza iwachukulie hatua kali kwa uzembe wa makusudi
Kabisaa,yaani hatari sana, Mheshimiwa Mchengelwa huwa ni mkali kwenye hili.
 
Kazi kwelikweli.
Shida inaanzia kwenye CV za hao maafsa utumishi. Wanajiendeleza kielimu kiasi Gani kuendana na mabadiliko ya sasa.
Wengi wao wamekalia vyeo tu Kwa michango na kubaki kufuata maagizo tu Toka juu. Ubunifu ni sifuri.
 
Hizo Ni mbwinu tu... Wala usiwalaumu Halmashauri.
Anyway , Kama ipo ipo tu
 
Wizara ya OR_TAMISEMI na Utumishi iangalieni halmashauri ya Singida kwa jicho la tatu, upandaji wa madaraja unaweza usiwezekane kwa uzembe wa maofisa wa ofisi hizo. Naomba wakubwa lifuatilieni hili watumishi wapate haki zao, janjajanja kibao ambazo hazina tija, inshort kuna uzembe wa wazi
We ticha kazana kujaza taarifa zako za kiutendaji kwenye PEPMIS Kila siku. Ukifikisha wastani wa asilimia 60% utapanda automatically. Huna haja ya kugombana na mtu.
 
We ticha kazana kujaza taarifa zako za kiutendaji kwenye PEPMIS Kila siku. Ukifikisha wastani wa asilimia 60% utapanda automatically. Huna haja ya kugombana na mtu.
Ndugu ishu siyo ujazaji ni umangimeza wa maofisa husika utadhani wao wanatoa fedha mifukoni mwao,wanapenda kuabudiwa mnoo as if wao ni Mungu
 
SINGIDA DC kuna uozo wa kutisha,baadhi ya wakuu wa idara wanapiga michongo na hao maofisa utumishi, kimsingi kuna makusudi hufanyika kukomoa watumishi wa chini.Mchengerwa iangalieni Singida DC kwa jicho la tatu
Kabisaa,yaani hatari sana, Mheshimiwa Mchengelwa huwa ni mkali kwenye hili.
 
R
Kazi kwelikweli.
Shida inaanzia kwenye CV za hao maafsa utumishi. Wanajiendeleza kielimu kiasi Gani kuendana na mabadiliko ya sasa.
Wengi wao wamekalia vyeo tu Kwa michango na kubaki kufuata maagizo tu Toka juu. Ubunifu ni sifuri.
Roho mbaya,kujuana na rushwa kiufupi utumishi kumeoza,watumishi wa chini wanaonekana km vibarua
 
Hivi maafsa utumishi naonaga kila siku watumishi wakiwalalamikia ni kwamba huko vyuoni kuna somo la dharau na uzembe wanasoma?
Vyeo vya michongo wengi wao,hofu ya Mungu 0, unategemea nini hapo na wakubwa wamefumba macho
 
Back
Top Bottom