KERO Upandaji wa madaraja Singida DC viongozi wana janja janja kibao ambazo hazina tija

KERO Upandaji wa madaraja Singida DC viongozi wana janja janja kibao ambazo hazina tija

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Afadhali yenu huku mwalimu mkuu anadai kwenye mfumo yy Kam supervisor walimu wake wote hawaon kwenye mfumo wiki nzma sasa
Hiyo mbona ni ishu ndogo tu ya kiuelewa, hao wawasiliane na hiyo ofisi ya utumishi na IT wa halmashauri tatizo watalitatua.

Huwezi kuilinganisha na kero anayoizungumzia mtoa mada ambayo sasa imekuwa sugu kwenye halmashauri nyingi.
 
Pole ticha 🤣🤣🤣
Huwa mnadhani daraja litabadili maisha yenu lkn mpaka mnazeeka bado mnaandamwa na kausha damu...
Mtotowangu wa kiume akijakuwa mwalimu Natalia sanaaa😭😭😭
Acha kujifanya umeyapatia buana wewe inakuhusu nini wewe mbona unauza hyo kitu yako ya nyuma mpaka unaona maisha marahisi kuna mtu amekuingilia?usitake kila mtu ajue kuwa una enjoy michakato yako ya kupumuliwa kisogoni kenge wewe
 
Ifike wakati akina Mchengerwa waanze kuchukua hatua moja kwa moja, huo ukali bila kuchukua hatua ni sawa na picha ya chui tu kwenye karatasi.

Kuna maafisa utumishi nchi hii wana roho mbaya sana kiasi kwamba unajiuliza hawa ni binadamu wa kawaida au ni ukoo wa shetani! Na unakuta safu nzima ni roho mbaya tupu, idara zote humo ndani zinashindana kufanya roho mbaya! Mijitu hela haitoi mifukoni ila haiwezi kuwalipa watumishi fedha zao za kujikimu, likizo, safari, extra duty, uzazi, madaraja nayo ishu, yaani kila kitu shida hadi watu wagombane haswa na asiye mtata anadhulumiwa!

Wizara si kwamba haya hawayajui au wanayajua juujuu tu, hapana, maana watumishi huyaripoti hivyo wanayajua kwa undani kabisa, ila huo ukali bila hatua bado sishawishiki kuamini wapo serious. Ingawa kwa upande wao wanajitahidi sana kutekeleza majukumu yao mengine, ila kwa hili wanapwaya sana. Wajue tu watumishi hawana uwezo wa kuchukua hatua yoyote, wao pekee ndo msaada maana hata vyama vya wafanyakazi vilishawekwa mifukoni mwa hao maafisa, na vinaongozwa na watu dhaifu wenye elimu duni, uwezo duni na hawajui powers zao kama viongozi wa hivyo vyama, wanahitaji kuishi kwa kujikomba na kuhofia vibarua vyao visiote.

Ajabu kuna halmashauri chache ukifika unakuta safu nzima ina watu safi kweli, idara zote watu wana ubinadamu, wanawapenda watumishi wao, wanawajali, wanavaa vitatu vyao na kuhamasika kutatua matatizo yao kadri ya uwezo wao. Nilichobaini ni kuwa roho mbaya au nzuri inaingia sehemu ya utamaduni wa ofisi husika(organizational culture), na ina nguvu sana.

Jukumu kuu la afisa utumishi ni kuhakikisha ustawi wa watumishi na ofisi. Kazi zote anazozifanya zinalenga kuboresha maisha ya mtumishi na ofisi. Kama huwezi kujali rasilimali kuu (watu) uliyonayo hata hiyo ofisi yako itadumaa tu, hakuna muujiza utakaoiinua. Shida ya ofisi za umma zinafanya kazi kwa mazoea hivyo kipaumbele kinakuwa ni maisha yaende tu, mafanikio tunajikuta tunaachia sekta binafsi huko.
 
Ifike wakati akina Mchengerwa waanze kuchukua hatua moja kwa moja, huo ukali bila kuchukua hatua ni sawa na picha ya chui tu kwenye karatasi.

Kuna maafisa utumishi nchi hii wana roho mbaya sana kiasi kwamba unajiuliza hawa ni binadamu wa kawaida au ni ukoo wa shetani! Na unakuta safu nzima ni roho mbaya tupu, idara zote humo ndani zinashindana kufanya roho mbaya! Mijitu hela haitoi mifukoni ila haiwezi kuwalipa watumishi fedha zao za kujikimu, likizo, safari, extra duty, uzazi, madaraja nayo ishu, yaani kila kitu shida hadi watu wagombane haswa na asiye mtata anadhulumiwa!

Wizara si kwamba haya hawayajui au wanayajua juujuu tu, hapana, maana watumishi huyaripoti hivyo wanayajua kwa undani kabisa, ila huo ukali bila hatua bado sishawishiki kuamini wapo serious. Ingawa kwa upande wao wanajitahidi sana kutekeleza majukumu yao mengine, ila kwa hili wanapwaya sana. Wajue tu watumishi hawana uwezo wa kuchukua hatua yoyote, wao pekee ndo msaada maana hata vyama vya wafanyakazi vilishawekwa mifukoni mwa hao maafisa, na vinaongozwa na watu dhaifu wenye elimu duni, uwezo duni na hawajui powers zao kama viongozi wa hivyo vyama, wanahitaji kuishi kwa kujikomba na kuhofia vibarua vyao visiote.

Ajabu kuna halmashauri chache ukifika unakuta safu nzima ina watu safi kweli, idara zote watu wana ubinadamu, wanawapenda watumishi wao, wanawajali, wanavaa vitatu vyao na kuhamasika kutatua matatizo yao kadri ya uwezo wao. Nilichobaini ni kuwa roho mbaya au nzuri inaingia sehemu ya utamaduni wa ofisi husika(organizational culture), na ina nguvu sana.

Jukumu kuu la afisa utumishi ni kuhakikisha ustawi wa watumishi na ofisi. Kazi zote anazozifanya zinalenga kuboresha maisha ya mtumishi na ofisi. Kama huwezi kujali rasilimali kuu (watu) uliyonayo hata hiyo ofisi yako itadumaa tu, hakuna muujiza utakaoiinua. Shida ya ofisi za umma zinafanya kazi kwa mazoea hivyo kipaumbele kinakuwa ni maisha yaende tu, mafanikio tunajikuta tunaachia sekta binafsi huko.
Mkuu umemaliza kila kitu...Halmashauri ya Nachingwea ndio ipo ivo
 
Hivi maafsa utumishi naonaga kila siku watumishi wakiwalalamikia ni kwamba huko vyuoni kuna somo la dharau na uzembe wanasoma?
Mkuu nikuhakikishie tu kuwa huko vyuoni huwa wale maprofesa na madaktari wanawafundisha vizuri sana, sijui wadau wakifika kazini hupatwa na nini!

Mfano ukifika pale mzumbe ambapo watu hao (administrators & hr officers) huandaliwa kwa wingi ukaona wanavyofundishwa utasema sasa tunaenda kupata watu safi! Wakute kazini Sasa, fedha za dhuluma zimeshawanogea, utafikiri wamesoma vyuo vya kuzimu.
 
Ndugu hay
Afadhali yenu huku mwalimu mkuu anadai kwenye mfumo yy Kam supervisor walimu wake wote hawaon kwenye mfumo wiki nzma sas

Ukali wake audhihirishe kwa kuchukua hatua. Walishamzoea akiunguruma wala hawashtuki wanaendeleza upuuzi
Ndugu habari za PEPMIS ni hadithi 2 ambazo hazina msingi wowote bali HRM wa Wilaya wanalitumia kujifichia
 
Taarifa kama hizi andika Kwa ufasaha,Nini exactly wafuatilie na wapi uzembe upo,siyo haraka hivi
Sawa ndugu,ni kwamba suala la upandishwaji wa madaraja kwa halmashauri hii taarifa hazikutolewa kwa wakati na zilikua za kufichwafichwa wakati zoezi hili kwa halmashauri nyingine taarifa zilitolewa mapema
 
Afadhali yenu huku mwalimu mkuu anadai kwenye mfumo yy Kam supervisor walimu wake wote hawaon kwenye mfumo wiki nzma sasa
Uafadhali uko wapi hapo ndugu
 
Ndugu hay



Ndugu habari za PEPMIS ni hadithi 2 ambazo hazina msingi wowote bali HRM wa Wilaya wanalitumia kujifichia
Serikali iwaangalie hawa maofisa husika
 
Wizara ya OR_TAMISEMI na Utumishi iangalieni halmashauri ya Singida kwa jicho la tatu, upandaji wa madaraja unaweza usiwezekane kwa uzembe wa maofisa wa ofisi hizo. Naomba wakubwa lifuatilieni hili watumishi wapate haki zao, janjajanja kibao ambazo hazina tija, inshort kuna uzembe wa wazi
Mkuu hongera kumbe wewe ni mtumishi wa umma? hivi huwa mnapanda kama desturi au kuna vigezo vyovyote? maana hatuoni ufanisi kwa watumishi wengi wa umma.
 
Mkuu hongera kumbe wewe ni mtumishi wa umma? hivi huwa mnapanda kama desturi au kuna vigezo vyovyote? maana hatuoni ufanisi kwa watumishi wengi wa uN

Mkuu hongera kumbe wewe ni mtumishi wa umma? hivi huwa mnapanda kama desturi au kuna vigezo vyovyote? maana hatuoni ufanisi kwa watumishi wengi wa umma.
We jamaa kwani kua mtumishi ni dhambi!?,af kuhusu ufanisi si mamlaka za kusimamia ufanisi zipo!?
 
Back
Top Bottom