KERO Upandaji wa madaraja Singida DC viongozi wana janja janja kibao ambazo hazina tija

KERO Upandaji wa madaraja Singida DC viongozi wana janja janja kibao ambazo hazina tija

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hili suala sio la SINGIDA DC pekee, ndugu.Hili suala lipo kwenye halmashauri nyingi nchini, Maelekezo ya serikalu yalikuwa wazi na yalitolewa mapema hivyo kutakiwa kufanyiwa kazi mapema ili walimu wapate mshahara mpya tarehe 23 kune -2024. Lkn kwenye halmashauri nyingi, mambo sivyo kwani walimu hawajabadilishiwa madaraja yao ili hali barua ya Katibu mkuu ilisema mwisho tarehe 6.6.2024. Waziri wa UTUMISHI wa Umma na OR-TAMISEMI Fuatilieni hili jambo.
Una haraka sana, unaandika kama Bambo comedian. Serikalu, 23 kune /June? La msingi ni Dm hako kabarua ka GS basi 😊😊
 
Ndugu hay



Ndugu habari za PEPMIS ni hadithi 2 ambazo hazina msingi wowote bali HRM wa Wilaya wanalitumia kujifichia
Ooh sikuwa nimekupata mwanzo. Nilidhani unazungumzia matatizo ya mfumo wenyewe.

Kuhusu mfumo kutumika kama chaka la kujifichia limeshakuwa tatizo jingine, na tunakoelekea litakuwa sugu kwelikweli kwa hao magaidi waliojisimika maofisini.
 
SINGIDA DC kuna uozo wa kutisha,baadhi ya wakuu wa idara wanapiga michongo na hao maofisa utumishi, kimsingi kuna makusudi hufanyika kukomoa watumishi wa chini.Mchengerwa iangalieni Singida DC kwa jicho la tatu
iyo ishu inaendelea hata chemba DC pesa za uhamisho zinaliwa tu n wakuu wa idara
 
Mkuu umemaliza kila kitu...Halmashauri ya Nachingwea ndio ipo ivo
Ni sehemu nyingi tu. Yaani utadhani kuna mafunzo maalum wameyapitia kwa pamoja.
s
Nilishangaa sana niliyoyaona kule kwa mwendazake, tena katikati ya awamu yake ya urais na ukali wote ule na halmashauri ipo jirani kabisa na kwake kwa mpaka wa barabara, ila wale wana hata hawakuwahi kuogopa ngurumo za simba
 
Wizara ya OR_TAMISEMI na Utumishi iangalieni halmashauri ya Singida kwa jicho la tatu, upandaji wa madaraja unaweza usiwezekane kwa uzembe wa maofisa wa ofisi hizo. Naomba wakubwa lifuatilieni hili watumishi wapate haki zao, janjajanja kibao ambazo hazina tija, inshort kuna uzembe wa wazi
Waalimu punguzeni kulalamika hata mishahara bado haijatoka unanalimika hujapanda cheo
 
Ooh sikuwa nimekupata mwanzo. Nilidhani unazungumzia matatizo ya mfumo wenyewe.

Kuhusu mfumo kutumika kama chaka la kujifichia limeshakuwa tatizo jingine, na tunakoelekea litakuwa sugu kwelikweli kwa hao magaidi waliojisimika maofisini.
Is that a delay tactic!?,
Una haraka sana, unaandika kama Bambo comedian. Serikalu, 23 kune /June? La msingi ni Dm hako kabarua ka GS

Waalimu punguzeni kulalamika hata mishahara bado haijatoka unanalimika hujapanda cheo
We jamaa hujui çhochote,lengo ni kua utendaji kazi wa hawa watu uñatia mashaka,suala hili sio la jana wala juzi jielimishe k ndugu.Mpaka unaona yanasemwa haya jua tunajifunza kutoka kwenye yaliyopita.Ni walimu wangapi walipanda madaraja 2021 mwezi wa sita km barua zinavyoonyesha ila mabadiliko wakayaona mwezi wa kumi.Acha dharau wewe au ninyi ndio mnaoshiriki vitendo hivyo,mpaka leo hakuna malipo ya areas.Kiufupi ofisi nyingi za utumishi zimeoza
 
Wewe kama ni mwalimu nakupa [emoji736] nimewachokoza kunawalimu wanatoka matusi yakipepo na wamesoma saikolojia lkn mapepo yamewazidi nguvu [emoji20]

Kwan shida ni nini kaka? Hata km walimu wana shida kwann usiwaache na shida zao? Mbona hili andiko sijaona umetajwa ww personally kiasi uwaseme walimu? Na kwann unajumlisha walimu wote? Respect basi hata hao wachache waliokufundisha kpnd unasoma. Pia walimu ndio waliokutoa tongotongo au mwanetu ulifundishwa na babaako km Peter Stockmann wa kitabu cha An Enemy of the People?
 
Pole ticha 🤣🤣🤣
Huwa mnadhani daraja litabadili maisha yenu lkn mpaka mnazeeka bado mnaandamwa na kausha damu...
Mtotowangu wa kiume akijakuwa mwalimu Natalia sanaaa😭😭😭
Uzuri maisha hayana guarantee unaweza ukadharau kazi za wenzio halafu ukafa na usishuhudie mwanao anavyo pakua ndizi pale mahakama ya ndizi.
 
Kwan shida ni nini kaka? Hata km walimu wana shida kwann usiwaache na shida zao? Mbona hili andiko sijaona umetajwa ww personally kiasi uwaseme walimu? Na kwann unajumlisha walimu wote? Respect basi hata hao wachache waliokufundisha kpnd unasoma. Pia walimu ndio waliokutoa tongotongo au mwanetu ulifundishwa na babaako km Peter Stockmann wa kitabu cha An Enemy of the People?
Walimu Tz mnaudhi maana mnatumika vibakya kisa njaa!! natunajua mnavyoiba "kula" zingatia neno "kula".
Tizama walimu KE au UG jinsi wanamisimamo na wanafanya kazi kwa bidii,maarifa na misimamo imara kama mfano. Ninyi CWT tuu inawahenyesha na hamjui cha kufanya!! Poleni walimu Tz ila badilikeni
 
Uzuri maisha hayana guarantee unaweza ukadharau kazi za wenzio halafu ukafa na usishuhudie mwanao anavyo pakua ndizi pale mahakama ya ndizi.
Walimu nchi nyingi wanaheshimika kutokana na uthabiti,uwezo wakitaaluma,uchapakazi nk.
Hapakwetu walimu hutumika mfano kukwiba "kula" weka r mwenyewe... Been there done that!!! Saii mate yanawadondoka kwaelections za 2025
Mnanyonywa na CWT na hamuwezi kusimamia ipasavyo, mnahenyeshwa hata nakamati za siasa na mnanywea hamna uhuru,mnasahihisha mitihani kwamateso nakulala vitanda vya kunguni na mnalilia mpewe iyonafasi!!!
Nimekaa huko nikatoka nikazi niliyoichukia maana Kwa Tz imekuwa kazi dhalili sema mnavumilia kama wanafunzi.... Bora niwe dalali kitaa sipelekeshwi hadi na visekretari halmashauri 😞! Sana visekretari vinanishobokea
 
Watumishi wa umma wa nchi hii wataanza kupata haki zao kwa wakati pale tu serikali itakapoanza kushughulikia stahili za watumishi pasipo kuwategemea maafisa toka mamlaka za serikali za mitaa ambao wamejaa urasimu unaochochewa na chembechembe za jealous.Watu wa utumishi na Tamisemi huko Dodoma anzeni kueffect stahili za watumishi wenu nyie wenyewe pasipo kutegemea hawa wasio na nia njema na ustawi wa watumishi waliojazana halmashauri
 
Walimu nchi nyingi wanaheshimika kutokana na uthabiti,uwezo wakitaaluma,uchapakazi nk.
Hapakwetu walimu hutumika mfano kukwiba "kula" weka r mwenyewe... Been there done that!!! Saii mate yanawadondoka kwaelections za 2025
Mnanyonywa na CWT na hamuwezi kusimamia ipasavyo, mnahenyeshwa hata nakamati za siasa na mnanywea hamna uhuru,mnasahihisha mitihani kwamateso nakulala vitanda vya kunguni na mnalilia mpewe iyonafasi!!!
Nimekaa huko nikatoka nikazi niliyoichukia maana Kwa Tz imekuwa kazi dhalili sema mnavumilia kama wanafunzi.... Bora niwe dalali kitaa sipelekeshwi hadi na visekretari halmashauri [emoji20]! Sana visekretari vinanishobokea

Nimesoma comments zako hizi za mwisho nimeona huna akili. Kumbe ishu ni uchaguzi na si vingine. Anyway sheria ishapitishwa wasimamizi wa uchaguzi hawatokua watumishi wa serikali. Nfkr chuki zako kwa walimu zitaisha. Case closed
 
Back
Top Bottom