Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

huku kwetu polisi!!!mimi sio polisi mkuu.

unaposema naandika tu,sijajua unakuwa umetumia rejea gani??kwani si kila mtu anaandika tu humu chochote,na watu wanasoma wanafurahi,ila nyuma ya pazia ni ukuta mnene kwa jf au vijiweni.
Kwanini mnakataa kazi zinazowaweka mjini???Punguza ujuaji
 
Upande wa pili wa usalama wa taifa ndyo mdudu gain?
 

Ukiwa na akili nyingi huwezi kuwa mtumishi wa umma
 
Kuwa polisi,mwanajeshi au afisa wa jeshi hapa nchini ni ujanja na mafanikio, wengi wetu tunachukulia kama ni sehemu ya kazi tu kama zilivyo kazi nyingine. Tunaitaji kupata mshahara kwa wakati na faida kibao ikiwemo heshima mtaani na sio uzarendo kazini katika kulitumikia vyema taifa.
Lakini aina hii ya wanataasisi husika wasiotekeleza majukumu yao vyema ni mavuno ya mazao yaliopandwa na serikali yenyewe. Hapa nikimaanisha unakuta katika kuchagua watu husika wakufanya kazi katika kitengo fulani muhimu ndani ya taifa, watu waliopaswa kusimamia vyema kazi hiyo wanachanganya na maamuzi yao binafsi ikiwa ni kuingiza vitendo vya rushwa ndani yake, kuweka nafasi za upendeleo na undugu huku wakiwaacha Watanzania wengi wenye sifa hizo husika mitaani na kulibebesha taifa wataalamu na watendaji kazi fake.
 
The best comment ever in this thread katika kuwaelezea hawa watu. CEO wa sasa wa eagle wing alikuwa BOT, Then NIDA sidhani kama sisi watu wa kawaida tulifahamu kuwa Mkuu yule ni jasus hadi alipoteuliwa kuwa CEO wa pale kitengo. Kwa maana hiyo wakuu wote wa tasisi nyeti sio RAIA wa kawaida Bali hawa jamaa. Pia ni jambo sahihi katika kulinda maslahi ya nchi na usalama kwa ujumla
 
mimi napendekeza badala ya kununua bombadia tuu ,tununue na ndege moja ya kisasa ya kijeshi kama vile F-16
 
Sasa kama alikuwa NIDA kivipi alishindwa kuzuia ufisadi uliotokea pale??? Ifike mahala hawa TISS wapewe nguvu kisheria haya mambo ya kushauri shauri tu hayatufikishi popote ndio maana unajiuliza kipindi cha ufisadi wa ESCROW huyo MK alikuwa BOT ila hakuzuia lolote zaidi ya kutoa macho tu Tanzania ikiibiwa Billion 320+ sasa kuna faida gani ya kuwajaza kwenye hizi taasisi kama hawana impact yeyote?? Huko NEC mbona hawazuii wizi wa kura..... Vipi bungeni mbona sioni wakizuia miswada mibovu inayoweza kuweka usalama wa taifa kwenye rehani???

Hapo tu ndio huwa sielewi sheria zetu zimekaaje
 
Mbona hawakuzuia wizi wa tembo,vifaru mpaka wameisha kabisa......makinikia tumeibiwa miaka 20 walikuwa wapi hawa TISS..... Kura zinaibwa huko ZEC na NEC,miswada mibovu bungeni ila bado watu mnawapa credit hao TISS wakati sioni la maana wanalolifanya kwenye ngazi ya kitaifa labda mngesema kusaka petty criminals ila wale moguls sioni hata wakibanwa na TISS ingawa ni mafia wa miaka mingi

TISS is overrated
 
bas na wewe mkuu naomb hyo copy ya hiki kitabu ulichosoma sote tupate hyo burudan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…