ThugMaster
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 1,594
- 2,234
Nukta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao fomu foo felia walifeli Masomo darasani lkn hawakufeli mafunzo ya kijeshi bwana hebu acha dharau, hata wewe unaweza kufaulu history kwa alama A lkn ukafeli mafunzo ya mgambo. Hapa TATIZO ni mfumo wetu ndio uliofeli, na wakulaumiwa ni sisi WANANCHI ambao hatukui hatuaHili ndilo neno maana form four failures ndiyo wanaolinda maslahi ya nchi...
Ugumu ni kwamba..
Hao form four failures ndiyo wamejaa jeshini,polisi na kwenye vitengo vinavyotumia silaha kwahiyo mapinduzi ni ngumu kiasi
Kwamba hao waliofeli elimu upande wa darasani wakijifunza mbinu za kumlinda raia na mali zake watafaulu...🤔🤔😄😄😄😄.Hao fomu foo felia walifeli Masomo darasani lkn hawakufeli mafunzo ya kijeshi bwana hebu acha dharau, hata wewe unaweza kufaulu history kwa alama A lkn ukafeli mafunzo ya mgambo. Hapa TATIZO ni mfumo wetu ndio uliofeli, na wakulaumiwa ni sisi WANANCHI ambao hatukui hatua
Akiweza kupita tu form 2 atapita popote paleKwamba hao waliofeli elimu upande wa darasani wakijifunza mbinu za kumlinda raia na mali zake watafaulu...🤔🤔😄😄😄😄.
Kumbuka aliyeleta elimu ya darasani ndiye aliyetuletea elimu na mbinu za jeshini na zote ni written na practical..
UmebugiThread yako natabiri itakufa kifo cha mende, ,japo kuna hoja ndani yake
Kwamba form 2 afundishwe jinsi ya kuwalinda ma-bilionea dhidi ya mwizi mwenye Phd?😄😄😄😄Akiweza kupita tu form 2 atapita popote pale
Kwamba form 2 afundishwe jinsi ya kuwalinda ma-bilionea dhidi ya mwizi mwenye Phd?Akiweza kupita tu form 2 atapita popote pale
Unatoa taarifa uku wewe unatolewa taarifaTISS kwa kipindi hiki ni pahala salama sana ingawa sacrifice ni nyingi unachunguza suala huku nawe unachunguzwa.
🤔Linaweza kuwa swali lisiloeleweka haraka, Labda nianze na simulizi kwanza
Mwaka 1979 Tanzania iliingia kwenye vita na Uganda maarufu kama vita ya KAGERA. Mwaka 1995 nilikutana na mzee Mkumbi(marehemu) mmoja wa watu ambao walikaribia kabisa kupigana vita hiyo. Miongoni mwa mambo aliyonisimulia ni kuwa yeye alirudia eneo la mwisho ambalo angetoka hapo ilikuwa ni moja kwa moja anaingia uwanja wa vita. Anasema alifurahi sana kwani akiwa kwenye eneo la mwisho ambalo daktari alikuwa anawapima afya ndipo alinusurika, kilichomnusuru ni kukutana na daktari ambaye alikuwa ndugu yake, akamuokoa kwa kueleza kuwa afya yake si mzuri.
Binafsi ingawa sikusema nilimshangaa sana huyu mzee kwa sababu alichokifurahia ni kukwepa majukumu yake ya msingi kama Mwanajeshi, hata huyo daktari kwangu bado hakuwa Mzalendo alitaka mtoto wa nani afe na wa nani abaki? Na hawa ndio wale ambao ni wengi wanaajiriwa kwenye majeshi yetu kwa njia za upendeleo lakini je tumeangalia nini athari yake?
Kuna hii idara maarufu ambayo wengi wanatamani kuajiriwa ambayo ni usalama wa Taifa, Licha ya mshahara na marupurupu yake upande wa pili wa idara hii ukoje(side effect yake ni ipi?) Kuna jamaa waliibuka kwa ahadi za kuajiri watu kwenye Idara hiyo ambapo walikuwa wanahongwa Mil 1 na kuendelea ili kuwapatia watu kazi kwenye Idara hiyo, Hivi ni kweli watu wanaoingia kwa mtindo huo watayaweza hayo majukumu? Au kazi yenyewe ni ile ya kupita kurekodi tu watu wanaomkosoa Rais kwenye vijiwe vya kahawa? Hakuna majukumu ambayo yanamtaka mtu kujitoa ambayo yanaweza kumfanya mtu akwepe kutimiza wajibu wake kama yule mzee aliyekwepa kwenda kupambana Uganda?
NAULIZA TU.